Wildebeest analysis examples for:   swh-swh1850   Word.”)    February 25, 2023 at 01:16    Script wb_pprint_html.py   by Ulf Hermjakob

24387  MRK 3:30  (Yesu alisema hivyo kwa sababu walikuwa wanasema, “Ana pepo mchafu.”)
24441  MRK 5:8  (Alisema hivyo kwa kuwa Yesu alikuwa amemwambia, “Pepo mchafu, mtoke mtu huyu.”)
26710  JHN 13:11  (Yesu alimjua yule ambaye atamsaliti, ndiyo maana alisema: “Ninyi mmetakata, lakini si nyote.”)
26863  JHN 18:9  (Alisema hayo ili yapate kutimia yale aliyosema: “Wale ulionipa sikumpoteza hata mmoja.”)
30133  HEB 7:2  naye Abrahamu akampa sehemu ya kumi ya vitu vyote alivyokuwa navyo. (Maana ya kwanza ya jina hili Melkisedeki ni “Mfalme wa Uadilifu”; na, kwa vile yeye alikuwa mfalme wa Salemu, jina lake pia lina maana ya “Mfalme wa Amani.”)