112 | GEN 5:6 | Sethi alipokuwa ameishi miaka 105, akamzaa Enoshi. |
116 | GEN 5:10 | Baada ya kumzaa Kenani, Enoshi aliishi miaka 815, naye alikuwa na watoto wengine wa kiume na wa kike. |
117 | GEN 5:11 | Enoshi aliishi jumla ya miaka 905, ndipo akafa. |
123 | GEN 5:17 | Mahalaleli aliishi jumla ya miaka 895, ndipo akafa. |
129 | GEN 5:23 | Enoki aliishi jumla ya miaka 365. |
136 | GEN 5:30 | Baada ya Noa kuzaliwa, Lameki aliishi miaka 595, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike. |
138 | GEN 5:32 | Baada ya Noa kuishi miaka 500, aliwazaa Shemu, Hamu na Yafethi. |
184 | GEN 7:24 | Maji yakaifunika dunia kwa siku 150. |
187 | GEN 8:3 | Maji yakaendelea kupungua taratibu katika nchi. Kunako mwisho wa siku ya 150, maji yalikuwa yamepungua, |
234 | GEN 9:28 | Baada ya gharika Noa aliishi miaka 350. |
235 | GEN 9:29 | Noa alikuwa na jumla ya miaka 950, ndipo akafa. |
278 | GEN 11:11 | Baada ya kumzaa Arfaksadi, Shemu aliishi miaka 500, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike. |
299 | GEN 11:32 | Tera alikufa huko Harani akiwa na miaka 205. |
666 | GEN 25:7 | Kwa jumla, Abrahamu aliishi miaka 175. |
2406 | EXO 30:23 | “Chukua vikolezi bora vifuatavyo: shekeli 500 za manemane ya maji, shekeli 250 za mdalasini wenye harufu nzuri, shekeli 250 za miwa yenye harufu nzuri, |
2407 | EXO 30:24 | shekeli 500 za aina nyingine ya mdalasini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, pia hini ya mafuta ya zeituni. |
2659 | EXO 38:25 | Fedha iliyopatikana kutokana na jumuiya ya watu waliohesabiwa ilikuwa yenye uzito wa talanta mia moja na shekeli 1,775, kulingana na shekeli ya mahali patakatifu. |
2660 | EXO 38:26 | Kila mtu alitoa beka moja, ambayo ni sawa na nusu shekeli ya fedha, kwa kazi ya mahali patakatifu, kutoka kwa kila mtu aliyekuwa amehesabiwa mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi, ambao jumla yao walikuwa wanaume 603,550. |
2662 | EXO 38:28 | Akatumia zile shekeli hizo 1,775 kutengeneza kulabu za nguzo, kufunika ncha za nguzo na kutengeneza vitanzi vyake. |
3626 | NUM 1:21 | Idadi kutoka kabila la Reubeni ilikuwa watu 46,500. |
3628 | NUM 1:23 | Idadi kutoka kabila la Simeoni walikuwa watu 59,300. |
3630 | NUM 1:25 | Idadi kutoka kabila la Gadi walikuwa watu 45,650. |
3634 | NUM 1:29 | Idadi kutoka kabila la Isakari walikuwa watu 54,400. |
3636 | NUM 1:31 | Idadi kutoka kabila la Zabuloni walikuwa watu 57,400. |
3638 | NUM 1:33 | Idadi kutoka kabila la Efraimu walikuwa watu 40,500. |
3642 | NUM 1:37 | Idadi kutoka kabila la Benyamini walikuwa watu 35,400. |
3646 | NUM 1:41 | Idadi kutoka kabila la Asheri walikuwa watu 41,500. |
3648 | NUM 1:43 | Idadi kutoka kabila la Naftali walikuwa watu 53,400. |
3651 | NUM 1:46 | Jumla ya hesabu yao ilikuwa watu 603,550. |
3665 | NUM 2:6 | Kundi lake lina watu 54,400. |
3667 | NUM 2:8 | Kundi lake lina watu 57,400. |
3670 | NUM 2:11 | Kundi lake lina watu 46,500. |
3672 | NUM 2:13 | Kundi lake lina watu 59,300. |
3674 | NUM 2:15 | Kundi lake lina watu 45,650. |
3675 | NUM 2:16 | Wanaume wote walio katika kambi ya Reubeni, kufuatana na makundi yao, ni 151,450. Nao watakuwa nafasi ya pili kuondoka. |
3678 | NUM 2:19 | Kundi lake lina watu 40,500. |
3682 | NUM 2:23 | Kundi lake lina watu 35,400. |
3687 | NUM 2:28 | Kundi lake lina watu 41,500. |
3689 | NUM 2:30 | Kundi lake lina watu 53,400. |
3690 | NUM 2:31 | Wanaume wote walio katika kambi ya Dani ni 157,600. Wao watakuwa wa mwisho kuondoka chini ya alama yao. |
3691 | NUM 2:32 | Hawa ndio Waisraeli, wakiwa wamehesabiwa kufuatana na jamaa zao. Wote walio kambini kwa makundi yao ni watu 603,550. |
3715 | NUM 3:22 | Idadi ya waume wote waliokuwa na mwezi mmoja au zaidi waliohesabiwa walikuwa 7,500. |
3743 | NUM 3:50 | Kutokana na wazaliwa wa kwanza wa Waisraeli alikusanya fedha yenye uzito wa shekeli 1,365 kufuatana na shekeli ya mahali patakatifu. |
3780 | NUM 4:36 | waliohesabiwa kwa koo zao, walikuwa 2,750. |
3792 | NUM 4:48 | walikuwa watu 8,580. |
4197 | NUM 16:2 | wakainuka dhidi ya Mose. Pamoja nao walikuwepo wanaume wa Kiisraeli 250, watu waliojulikana, viongozi wa jumuiya waliokuwa wameteuliwa kuwa wakuu wa kusanyiko. |
4212 | NUM 16:17 | Kila mtu atachukua chetezo chake na kuweka uvumba ndani yake, vyetezo 250 kwa jumla, na kukileta mbele za Bwana. Wewe na Aroni mtaleta vyetezo vyenu pia.” |
4230 | NUM 16:35 | Moto ukaja kutoka kwa Bwana, ukawateketeza wale watu 250 waliokuwa wakifukiza uvumba. |
4501 | NUM 26:10 | Ardhi ilifunua kinywa chake na kuwameza pamoja na Kora, ambaye wafuasi wake walikufa wakati moto ulipowateketeza wanaume 250. Nao walikuwa kama alama ya onyo. |
4509 | NUM 26:18 | Hizi ndizo zilizokuwa koo za Gadi; wale waliohesabiwa walikuwa 40,500. |
4513 | NUM 26:22 | Hizi ndizo zilizokuwa koo za Yuda; wale waliohesabiwa walikuwa 76,500. |
4518 | NUM 26:27 | Hizi ndizo zilizokuwa koo za Zabuloni, wale waliohesabiwa walikuwa 60,500. |
4525 | NUM 26:34 | Hizi ndizo zilizokuwa koo za Manase; wale waliohesabiwa walikuwa 52,700. |
4528 | NUM 26:37 | Hizi ndizo zilizokuwa koo za Efraimu; wale waliohesabiwa walikuwa 32,500. Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yosefu kwa koo zao. |
4532 | NUM 26:41 | Hizi ndizo zilizokuwa koo za Benyamini; wale waliohesabiwa walikuwa 45,600. |
4538 | NUM 26:47 | Hizi ndizo zilizokuwa koo za Asheri; wale waliohesabiwa walikuwa 53,400. |
4541 | NUM 26:50 | Hizi ndizo zilizokuwa koo za Naftali; wale waliohesabiwa walikuwa 45,400. |
4698 | NUM 31:32 | Nyara zilizobaki kutoka mateka ambayo askari walichukua ni kondoo 675,000, |
4702 | NUM 31:36 | Nusu ya fungu la wale waliokwenda kupigana vitani lilikuwa: Kondoo 337,500 |
4703 | NUM 31:37 | ambayo ushuru kwa ajili ya Bwana ilikuwa kondoo 675; |
4705 | NUM 31:39 | punda 30,500 ambao ushuru kwa ajili ya Bwana ulikuwa punda 61; |
4709 | NUM 31:43 | nusu iliyokuwa ya jumuiya, ilikuwa kondoo 337,500, |
4711 | NUM 31:45 | punda 30,500, |
4718 | NUM 31:52 | Dhahabu yote kutoka kwa wakuu wa jeshi wa maelfu na wakuu wa jeshi wa mamia ambavyo Mose na kuhani Eleazari walimletea Bwana kama zawadi ilikuwa shekeli 16,750 |
4851 | NUM 35:4 | “Maeneo ya malisho kuzunguka miji hiyo ambayo mtawapa Walawi yataenea mita 450 kutoka kwenye ukuta wa miji. |
6731 | JDG 8:10 | Wakati huu Zeba na Salmuna walikuwa Karkori wakiwa na jeshi lenye watu wapatao 15,000 wale wote waliokuwa wamesalia wa mataifa ya mashariki, kwa kuwa watu wapatao 120,000 wenye panga walikuwa wameuawa. |
7091 | JDG 20:35 | Bwana akawashinda Wabenyamini mbele ya Waisraeli na siku ile Waisraeli wakawaua Wabenyamini watu waume 25,100, wote wakiwa wenye kujifunga silaha za vita. |
7101 | JDG 20:45 | Walipogeuka na kukimbia kuelekea nyikani hata kufikia mwamba wa Rimoni, Waisraeli wakawaua watu 5,000 wakiwa njiani. Wakawafuata kwa kasi mpaka Gidomu huko wakawaua watu wengine 2,000. |
7102 | JDG 20:46 | Siku ile wakawaua Wabenyamini 25,000 waliokuwa mashujaa wa vita. |
8704 | 2SA 24:9 | Yoabu akatoa hesabu ya wapiganaji kwa mfalme: Katika Israeli kulikuwako watu 800,000 wenye uwezo wa kupigana, na katika Yuda watu 500,000. |
8879 | 1KI 5:12 | Akanena mithali 3,000 na nyimbo zake zilikuwa 1,005. |
9077 | 1KI 9:23 | Pia walikuwa maafisa wakuu wasimamizi wa miradi ya Solomoni: maafisa 550 waliwasimamia watu waliofanya kazi. |
9111 | 1KI 10:29 | Waliagiza magari kutoka Misri kwa bei ya shekeli 600 za fedha na farasi kwa shekeli 150. Pia waliwauza nje kwa wafalme wote wa Wahiti na wa Waaramu. |
10100 | 2KI 19:35 | Usiku ule, malaika wa Bwana akaenda, akawaua wanajeshi 185,000 katika kambi ya Waashuru. Wenzao walipoamka asubuhi yake, walikuta maiti kila mahali! |
10453 | 1CH 5:21 | Walitwaa mifugo ya Wahagari: ngamia 50,000, kondoo 250,000, punda 2,000. Pia wakateka watu 100,000, |
10619 | 1CH 8:40 | Wana wa Ulamu walikuwa mashujaa hodari walioweza kutumia upinde. Alikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla yao 150. Hawa wote ndio walikuwa wazao wa Benyamini. |
10628 | 1CH 9:9 | Watu kutoka Benyamini kama walivyoorodheshwa katika koo zao jumla yao ni 956. Watu hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao. |
10758 | 1CH 12:34 | Watu wa Zabuloni, askari wenye uzoefu mkubwa walioandaliwa tayari kwa vita wakiwa na silaha za kila aina, ili kumsaidia Daudi kwa uaminifu thabiti, walikuwa 50,000. |
11176 | 1CH 29:7 | Wakatoa kwa ajili ya kazi ya Hekalu la Mungu talanta 5,000 na darkoni 10,000 za dhahabu, talanta 10,000 za fedha, talanta 18,000 za shaba na talanta 100,000 za chuma. |
11216 | 2CH 1:17 | Waliagiza magari kutoka Misri kwa bei ya shekeli 600 za fedha, na farasi kwa shekeli 150. Pia waliwauza nje kwa wafalme wote wa Wahiti na wa Waaramu. |
11233 | 2CH 2:16 | Ndipo Solomoni akaamuru ifanyike hesabu ya wageni wote waliokuwa katika Israeli, baada ya ile hesabu iliyofanywa na Daudi; wakapatikana watu 153,600. |
11361 | 2CH 8:10 | Pia walikuwa maafisa wakuu wa Mfalme Solomoni, yaani, maafisa wakaguzi 250 waliosimamia watu. |
11369 | 2CH 8:18 | Naye Hiramu alimpelekea meli zilizoongozwa na maafisa wake mwenyewe, watu waliokuwa na ujuzi wa baharini. Hawa watu pamoja na wale wa Solomoni wakasafiri kwa bahari mpaka Ofiri, wakaleta kutoka huko talanta 450 za dhahabu, ambazo walimkabidhi Mfalme Solomoni. |
11475 | 2CH 13:17 | Abiya na watu wake wakawachinja kwa machinjo makuu, hata wakawepo majeruhi 500,000 miongoni mwa watu wenye uwezo wa Israeli. |
11750 | 2CH 26:13 | Chini ya uongozi wao kulikuwa na jeshi la askari 307,500 watu waliofundishwa kwa ajili ya vita, jeshi lenye nguvu la kumsaidia mfalme dhidi ya adui zake. |
11980 | 2CH 35:9 | Konania na nduguze wawili, Shemaya na Nethaneli, pamoja na Hashabia, Yeieli na Yozabadi waliokuwa viongozi wa Walawi, nao pia wakawapa Walawi wana-kondoo na wana-mbuzi 5,000 na mafahali 500, kwa ajili ya sadaka za Pasaka. |
12032 | EZR 1:11 | Kwa ujumla, kulikuwa na vyombo 5,400 vya dhahabu na vya fedha. Sheshbaza akavileta hivi vyote wakati watu walipotoka uhamishoni Babeli kwenda Yerusalemu. |
12037 | EZR 2:5 | wazao wa Ara 775 |
12039 | EZR 2:7 | wazao wa Elamu 1,254 |
12040 | EZR 2:8 | wazao wa Zatu 945 |
12046 | EZR 2:14 | wazao wa Bigwai 2,056 |
12047 | EZR 2:15 | wazao wa Adini 454 |
12052 | EZR 2:20 | wazao wa Gibari 95 |
12054 | EZR 2:22 | watu wa Netofa 56 |