Wildebeest analysis examples for:   swh-swhonen   7    February 25, 2023 at 01:16    Script wb_pprint_html.py   by Ulf Hermjakob

113  GEN 5:7  Baada ya kumzaa Enoshi, Sethi aliishi miaka 807, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
131  GEN 5:25  Methusela alipokuwa ameishi miaka 187, akamzaa Lameki.
132  GEN 5:26  Baada ya kumzaa Lameki, Methusela aliishi miaka 782, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
137  GEN 5:31  Lameki aliishi jumla ya miaka 777, ndipo akafa.
288  GEN 11:21  Baada ya Reu kumzaa Serugi, aliishi miaka 207, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.
666  GEN 25:7  Kwa jumla, Abrahamu aliishi miaka 175.
676  GEN 25:17  Kwa jumla Ishmaeli aliishi miaka 137. Akapumua pumzi ya mwisho, akafa, naye akakusanywa pamoja na watu wake.
1449  GEN 47:28  Yakobo akaishi Misri miaka kumi na saba, nayo miaka ya maisha yake ilikuwa 147.
1672  EXO 6:16  Haya ndiyo majina ya wana wa Lawi kufuatana na orodha zao: Gershoni, Kohathi na Merari. Lawi aliishi miaka 137.
1676  EXO 6:20  Amramu akamwoa Yokebedi, shangazi yake, ambaye alimzalia Aroni na Mose. Amramu aliishi miaka 137.
2658  EXO 38:24  Jumla ya dhahabu iliyopatikana kutokana na sadaka ya kuinuliwa kwa ajili ya kazi ya mahali patakatifu ilikuwa na uzito wa talanta 29 na shekeli 730, kulingana na shekeli ya mahali patakatifu.
2659  EXO 38:25  Fedha iliyopatikana kutokana na jumuiya ya watu waliohesabiwa ilikuwa yenye uzito wa talanta mia moja na shekeli 1,775, kulingana na shekeli ya mahali patakatifu.
2662  EXO 38:28  Akatumia zile shekeli hizo 1,775 kutengeneza kulabu za nguzo, kufunika ncha za nguzo na kutengeneza vitanzi vyake.
2663  EXO 38:29  Shaba iliyopatikana kutokana na sadaka ya kuinuliwa ilikuwa na uzito wa talanta 70 na shekeli 2,400.
3632  NUM 1:27  Idadi kutoka kabila la Yuda walikuwa watu 74,600.
3636  NUM 1:31  Idadi kutoka kabila la Zabuloni walikuwa watu 57,400.
3644  NUM 1:39  Idadi kutoka kabila la Dani walikuwa watu 62,700.
3663  NUM 2:4  Kundi lake lina watu 74,600.
3667  NUM 2:8  Kundi lake lina watu 57,400.
3685  NUM 2:26  Kundi lake lina watu 62,700.
3690  NUM 2:31  Wanaume wote walio katika kambi ya Dani ni 157,600. Wao watakuwa wa mwisho kuondoka chini ya alama yao.
3715  NUM 3:22  Idadi ya waume wote waliokuwa na mwezi mmoja au zaidi waliohesabiwa walikuwa 7,500.
3736  NUM 3:43  Jumla ya hesabu ya wazaliwa wa kwanza waume wenye umri wa mwezi mmoja au zaidi, walioorodheshwa kwa majina, walikuwa 22,273.
3739  NUM 3:46  Ili kukomboa wazao wa kwanza 273 wa Waisraeli ambao wamezidi hesabu ya Walawi,
3780  NUM 4:36  waliohesabiwa kwa koo zao, walikuwa 2,750.
4244  NUM 17:14  Lakini walikufa watu 14,700 kutokana na tauni hiyo, licha ya wale waliokuwa wamekufa kwa sababu ya Kora.
4498  NUM 26:7  Hizi zilikuwa ndizo koo za Reubeni; wale waliohesabiwa walikuwa 43,730.
4513  NUM 26:22  Hizi ndizo zilizokuwa koo za Yuda; wale waliohesabiwa walikuwa 76,500.
4525  NUM 26:34  Hizi ndizo zilizokuwa koo za Manase; wale waliohesabiwa walikuwa 52,700.
4542  NUM 26:51  Jumla ya hesabu ya wanaume wa Israeli ilikuwa 601,730.
4698  NUM 31:32  Nyara zilizobaki kutoka mateka ambayo askari walichukua ni kondoo 675,000,
4699  NUM 31:33  ngʼombe 72,000,
4702  NUM 31:36  Nusu ya fungu la wale waliokwenda kupigana vitani lilikuwa: Kondoo 337,500
4703  NUM 31:37  ambayo ushuru kwa ajili ya Bwana ilikuwa kondoo 675;
4704  NUM 31:38  ngʼombe 36,000 ambao ushuru kwa ajili ya Bwana ulikuwa ngʼombe 72;
4709  NUM 31:43  nusu iliyokuwa ya jumuiya, ilikuwa kondoo 337,500,
4718  NUM 31:52  Dhahabu yote kutoka kwa wakuu wa jeshi wa maelfu na wakuu wa jeshi wa mamia ambavyo Mose na kuhani Eleazari walimletea Bwana kama zawadi ilikuwa shekeli 16,750
6747  JDG 8:26  Uzito wa pete za dhahabu alizoomba zilifikia shekeli 1,700, bila kuhesabu mapambo mengine, pete za masikio na mavazi ya zambarau yaliyovaliwa na wafalme wa Midiani, au mikufu iliyokuwa kwenye shingo za ngamia zao.
7071  JDG 20:15  Siku ile Wabenyamini wakakusanya watu 26,000 kutoka miji yao, waliojifunga panga, mbali na hao 700 waliochaguliwa miongoni mwa hao waliokaa Gibea.
7072  JDG 20:16  Miongoni mwa hao askari wote kulikuwa na watu 700 bora waliochaguliwa watumiao mkono wa kushoto, kila mmoja wao aliweza kutupa jiwe kwa kombeo na kulenga unywele mmoja bila kukosa.
8216  2SA 8:4  Daudi akateka magari yake ya vita 1,000, askari wapanda farasi 7,000 na askari 20,000 watembeao kwa miguu. Daudi akawakata wale farasi wote wakokotao magari mishipa ya miguu, isipokuwa farasi 100 hakuwakata.
8710  2SA 24:15  Basi Bwana akatuma tauni katika Israeli kuanzia asubuhi mpaka mwisho wa muda ulioamriwa, wakafa watu 70,000 kuanzia Dani hadi Beer-Sheba.
8896  1KI 5:29  Solomoni alikuwa na wachukuzi wa mizigo 70,000 na wachonga mawe 80,000 huko vilimani,
9114  1KI 11:3  Alikuwa na wake 700 mabinti wa uzao wa kifalme, na masuria 300, nao wake zake wakampotosha.
9426  1KI 20:15  Kwa hiyo Ahabu akawaita maafisa vijana majemadari wa majimbo, wanaume 232. Kisha akawakusanya Waisraeli wote waliobaki, jumla yao 7,000.
9441  1KI 20:30  Waliobaki wakatorokea katika mji wa Afeki, mahali ambapo watu 27,000 waliangukiwa na ukuta. Naye Ben-Hadadi akakimbilia mjini na kujificha kwenye chumba cha ndani.
9606  2KI 3:26  Mfalme wa Moabu alipoona kuwa vita vimekuwa vikali dhidi yake, akachukua watu 700 wenye panga ili kuingia kwa mfalme wa Edomu, lakini wakashindwa.
10450  1CH 5:18  Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase walikuwa na watu mashujaa 44,760 waliokuwa wameandaliwa kwa ajili ya vita: watu wenye nguvu, hodari wa kutumia ngao na upanga, mashujaa wa kutumia upinde, waliokuwa tayari kwa ajili ya kazi hiyo.
10544  1CH 7:5  Jamaa ya watu waliokuwa wapiganaji hodari kutoka koo zote za Isakari, kama ilivyoorodheshwa katika ukoo wao, jumla yao walikuwa 87,000.
10550  1CH 7:11  Hawa wana wote wa Yediaeli walikuwa viongozi wa jamaa zao. Kulikuwako wanaume wapiganaji 17,200 waliokuwa tayari kwenda vitani.
10632  1CH 9:13  Makuhani waliokuwa viongozi wa jamaa zao walikuwa 1,760. Walikuwa watu wenye uwezo, waliowajibika kuhudumu katika nyumba ya Mungu.
10750  1CH 12:26  Watu wa Simeoni, mashujaa waliokuwa tayari kwa vita walikuwa 7,100.
10752  1CH 12:28  pamoja na Yehoyada, kiongozi wa jamaa ya Aroni, aliyekuwa pamoja na watu 3,700,
10759  1CH 12:35  Watu wa Naftali, maafisa 1,000, pamoja na watu 37,000 waliochukua ngao na mikuki.
10899  1CH 18:4  Daudi akateka magari ya vita 1,000 miongoni mwa magari yake, waendesha hayo magari ya kukokotwa na farasi 7,000 na askari wa miguu 20,000. Daudi akakata mishipa ya miguu ya nyuma ya farasi wote wakokotao magari, ila akabakiza 100.
10930  1CH 19:18  Lakini Waaramu wakakimbia mbele ya Israeli, naye Daudi akawaua waendesha magari 7,000 na askari wao wa miguu 40,000. Pia akamuua Shofaki, jemadari wa jeshi lao.
10944  1CH 21:5  Yoabu akampa Daudi jumla ya idadi ya watu wanaoweza kupigana. Katika Israeli kulikuwa na watu 1,100,000 ambao wangeweza kutumia upanga na katika Yuda watu 470,000.
10953  1CH 21:14  Basi Bwana akatuma tauni katika Israeli, watu 70,000 wa Israeli wakafa.
11112  1CH 26:30  Kutoka kwa wana wa Hebroni: Hashabia na jamaa zake, watu 1,700 wenye uwezo, waliwajibika katika Israeli magharibi ya Yordani kwa ajili ya kazi zote za Bwana na utumishi wa mfalme.
11114  1CH 26:32  Yeria alikuwa na jamaa ya watu 2,700 waliokuwa watu wenye uwezo na viongozi wa jamaa, naye Mfalme Daudi akawaweka kuangalia Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila Manase kuhusu kila jambo lililomhusu Mungu na shughuli za mfalme.
11173  1CH 29:4  talanta 3,000 za dhahabu (dhahabu ya Ofiri) na talanta 7,000 za fedha safi iliyosafishwa, kwa ajili ya kufunika kuta za Hekalu,
11218  2CH 2:1  Solomoni akaandika watu 70,000 kuwa wachukuzi wa mizigo, na watu 80,000 kuwa wachonga mawe vilimani, na watu 3,600 kuwa wasimamizi wao.
11234  2CH 2:17  Akawaweka watu 70,000 miongoni mwao kuwa wachukuzi wa mizigo, na 80,000 kuwa wachonga mawe vilimani, na 3,600 wakiwa wasimamizi juu yao ili wawahimize watu kufanya kazi.
11506  2CH 15:11  Wakati huo wakamtolea Bwana dhabihu za ngʼombe 700, kondoo na mbuzi 7,000 kutoka zile nyara walizoteka.
11539  2CH 17:11  Baadhi ya Wafilisti wakamletea Yehoshafati zawadi na fedha kama ushuru, nao Waarabu wakamletea mifugo: kondoo dume 7,700 na mbuzi 7,700.
11750  2CH 26:13  Chini ya uongozi wao kulikuwa na jeshi la askari 307,500 watu waliofundishwa kwa ajili ya vita, jeshi lenye nguvu la kumsaidia mfalme dhidi ya adui zake.
11856  2CH 30:24  Hezekia, mfalme wa Yuda akatoa mafahali 1,000, kondoo na mbuzi 7,000 kwa ajili ya kusanyiko, nao maafisa wakatoa mafahali 1,000 pamoja na kondoo na mbuzi 10,000. Idadi kubwa ya makuhani wakajiweka wakfu.
12035  EZR 2:3  wazao wa Paroshi 2,172
12036  EZR 2:4  wazao wa Shefatia 372
12037  EZR 2:5  wazao wa Ara 775
12041  EZR 2:9  wazao wa Zakai 760
12057  EZR 2:25  wazao wa Kiriath-Yearimu, Kefira na Beerothi 743
12065  EZR 2:33  wazao wa Lodi, Hadidi na Ono 725
12068  EZR 2:36  Makuhani: wazao wa Yedaya (kwa jamaa ya Yeshua) 973
12070  EZR 2:38  wazao wa Pashuri 1,247
12071  EZR 2:39  wazao wa Harimu 1,017
12072  EZR 2:40  Walawi: wazao wa Yeshua na Kadmieli (kupitia jamaa ya Hodavia) 74
12097  EZR 2:65  tena zaidi ya hao walikuwepo watumishi wa kiume na wa kike 7,337; pia walikuwamo waimbaji wanaume na wanawake 200.
12098  EZR 2:66  Walikuwa na farasi 736, nyumbu 245,
12099  EZR 2:67  ngamia 435 na punda 6,720.
12213  EZR 8:7  wa wazao wa Elamu, alikuwa Yeshaya mwana wa Athalia, na wanaume 70 pamoja naye;
12220  EZR 8:14  wa wazao wa Bigwai, walikuwa Uthai na Zakuri na wanaume 70 pamoja nao.
12433  NEH 7:8  wazao wa Paroshi 2,172
12434  NEH 7:9  wazao wa Shefatia 372
12439  NEH 7:14  wazao wa Zakai 760
12443  NEH 7:18  wazao wa Adonikamu 667
12444  NEH 7:19  wazao wa Bigwai 2,067
12454  NEH 7:29  watu wa Kiriath-Yearimu, Kefira na Beerothi 743
12462  NEH 7:37  wazao wa Lodi, Hadidi na Ono 721
12464  NEH 7:39  Makuhani: wazao wa Yedaya (kwa jamaa ya Yeshua) 973
12466  NEH 7:41  wazao wa Pashuri 1,247
12467  NEH 7:42  wazao wa Harimu 1,017
12468  NEH 7:43  Walawi: wazao wa Yeshua (kupitia Kadmieli kupitia jamaa ya Hodavia) 74
12492  NEH 7:67  tena zaidi ya hao walikuwepo watumishi wa kiume na wa kike 7,337; pia walikuwamo waimbaji wanaume na wanawake 245.
12493  NEH 7:68  Walikuwa na farasi 736, nyumbu 245 ngamia 435 na punda 6,720.