Wildebeest analysis examples for:   swh-swhonen   9    February 25, 2023 at 01:16    Script wb_pprint_html.py   by Ulf Hermjakob

111  GEN 5:5  Adamu aliishi jumla ya miaka 930, ndipo akafa.
114  GEN 5:8  Sethi aliishi jumla ya miaka 912, ndipo akafa.
117  GEN 5:11  Enoshi aliishi jumla ya miaka 905, ndipo akafa.
120  GEN 5:14  Kenani aliishi jumla ya miaka 910, ndipo akafa.
123  GEN 5:17  Mahalaleli aliishi jumla ya miaka 895, ndipo akafa.
126  GEN 5:20  Yaredi aliishi jumla ya miaka 962, ndipo akafa.
133  GEN 5:27  Methusela aliishi jumla ya miaka 969, ndipo akafa.
136  GEN 5:30  Baada ya Noa kuzaliwa, Lameki aliishi miaka 595, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
235  GEN 9:29  Noa alikuwa na jumla ya miaka 950, ndipo akafa.
286  GEN 11:19  Baada ya Pelegi kumzaa Reu, aliishi miaka 209, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.
292  GEN 11:25  Baada ya Nahori kumzaa Tera, aliishi miaka 119, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.
2658  EXO 38:24  Jumla ya dhahabu iliyopatikana kutokana na sadaka ya kuinuliwa kwa ajili ya kazi ya mahali patakatifu ilikuwa na uzito wa talanta 29 na shekeli 730, kulingana na shekeli ya mahali patakatifu.
3628  NUM 1:23  Idadi kutoka kabila la Simeoni walikuwa watu 59,300.
3672  NUM 2:13  Kundi lake lina watu 59,300.
4852  NUM 35:5  Nje ya mji, pima mita 900 upande wa mashariki, upande wa kusini mita 900, upande wa magharibi mita 900, na upande wa kaskazini mita 900, na mji utakuwa katikati. Eneo hili litakuwa lao kwa ajili ya malisho.
6604  JDG 4:3  Kwa kuwa Sisera alikuwa na magari ya chuma yapatayo 900, naye alikuwa amewatesa Waisraeli kwa ukatili kwa muda wa miaka ishirini, Waisraeli wakamlilia Bwana wakaomba msaada.
10625  1CH 9:6  Kwa wana wa Zera: Yeueli. Watu wa Yuda jumla yao walikuwa watu 690.
10628  1CH 9:9  Watu kutoka Benyamini kama walivyoorodheshwa katika koo zao jumla yao ni 956. Watu hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao.
12030  EZR 1:9  Hii ilikuwa ndio orodha ya vifaa: masinia ya dhahabu yalikuwa 30 masinia ya fedha yalikuwa 1,000 vyetezo vya fedha vilikuwa 29
12040  EZR 2:8  wazao wa Zatu 945
12048  EZR 2:16  wazao wa Ateri (kupitia Hezekia) 98
12052  EZR 2:20  wazao wa Gibari 95
12068  EZR 2:36  Makuhani: wazao wa Yedaya (kwa jamaa ya Yeshua) 973
12074  EZR 2:42  Mabawabu wa lango la Hekalu: wazao wa Shalumu, Ateri, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai 139
12090  EZR 2:58  Watumishi wa Hekalu wote na wazao wa watumishi wa Solomoni 392
12446  NEH 7:21  wazao wa Ateri (kupitia Hezekia) 98
12450  NEH 7:25  wazao wa Gibeoni 95
12463  NEH 7:38  wazao wa Senaa 3,930
12464  NEH 7:39  Makuhani: wazao wa Yedaya (kwa jamaa ya Yeshua) 973
12485  NEH 7:60  Watumishi wa Hekalu wote na wazao wa watumishi wa Solomoni 392
12600  NEH 11:8  na wafuasi wake, Gabai na Salai watu 928.
20603  EZK 4:5  Nimekupangia idadi ya siku kama miaka ya dhambi yao. Kwa hiyo kwa siku 390 utabeba dhambi za nyumba ya Israeli.
20607  EZK 4:9  “Chukua ngano na shayiri, maharagwe na dengu, mtama na mawele, uviweke na kuvihifadhi vyote kwenye gudulia la kuhifadhia, na uvitumie kujitengenezea mkate. Utaula mkate huo kwa hizo siku 390 utakazokuwa umelala kwa upande mmoja.
22161  DAN 12:11  “Tangu wakati ule wa kukomeshwa dhabihu ya kila siku na kusimamishwa kwa chukizo la uharibifu, kutakuwako siku 1,290.