2467 | EXO 32:28 | Walawi wakafanya kama Mose alivyoamuru, siku ile wakafa watu wapatao 3,000. |
2660 | EXO 38:26 | Kila mtu alitoa beka moja, ambayo ni sawa na nusu shekeli ya fedha, kwa kazi ya mahali patakatifu, kutoka kwa kila mtu aliyekuwa amehesabiwa mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi, ambao jumla yao walikuwa wanaume 603,550. |
2663 | EXO 38:29 | Shaba iliyopatikana kutokana na sadaka ya kuinuliwa ilikuwa na uzito wa talanta 70 na shekeli 2,400. |
3626 | NUM 1:21 | Idadi kutoka kabila la Reubeni ilikuwa watu 46,500. |
3628 | NUM 1:23 | Idadi kutoka kabila la Simeoni walikuwa watu 59,300. |
3630 | NUM 1:25 | Idadi kutoka kabila la Gadi walikuwa watu 45,650. |
3632 | NUM 1:27 | Idadi kutoka kabila la Yuda walikuwa watu 74,600. |
3634 | NUM 1:29 | Idadi kutoka kabila la Isakari walikuwa watu 54,400. |
3636 | NUM 1:31 | Idadi kutoka kabila la Zabuloni walikuwa watu 57,400. |
3638 | NUM 1:33 | Idadi kutoka kabila la Efraimu walikuwa watu 40,500. |
3640 | NUM 1:35 | Idadi kutoka kabila la Manase walikuwa watu 32,200. |
3642 | NUM 1:37 | Idadi kutoka kabila la Benyamini walikuwa watu 35,400. |
3644 | NUM 1:39 | Idadi kutoka kabila la Dani walikuwa watu 62,700. |
3646 | NUM 1:41 | Idadi kutoka kabila la Asheri walikuwa watu 41,500. |
3648 | NUM 1:43 | Idadi kutoka kabila la Naftali walikuwa watu 53,400. |
3651 | NUM 1:46 | Jumla ya hesabu yao ilikuwa watu 603,550. |
3663 | NUM 2:4 | Kundi lake lina watu 74,600. |
3665 | NUM 2:6 | Kundi lake lina watu 54,400. |
3667 | NUM 2:8 | Kundi lake lina watu 57,400. |
3668 | NUM 2:9 | Wanaume wote walio katika kambi ya Yuda, kufuatana na makundi yao, ni 186,400. Wao watatangulia kuondoka. |
3670 | NUM 2:11 | Kundi lake lina watu 46,500. |
3672 | NUM 2:13 | Kundi lake lina watu 59,300. |
3674 | NUM 2:15 | Kundi lake lina watu 45,650. |
3675 | NUM 2:16 | Wanaume wote walio katika kambi ya Reubeni, kufuatana na makundi yao, ni 151,450. Nao watakuwa nafasi ya pili kuondoka. |
3678 | NUM 2:19 | Kundi lake lina watu 40,500. |
3680 | NUM 2:21 | Kundi lake lina watu 32,200. |
3682 | NUM 2:23 | Kundi lake lina watu 35,400. |
3683 | NUM 2:24 | Wanaume wote walio katika kambi ya Efraimu kufuatana na makundi yao ni 108,100. Nao watakuwa nafasi ya tatu kuondoka. |
3685 | NUM 2:26 | Kundi lake lina watu 62,700. |
3687 | NUM 2:28 | Kundi lake lina watu 41,500. |
3689 | NUM 2:30 | Kundi lake lina watu 53,400. |
3690 | NUM 2:31 | Wanaume wote walio katika kambi ya Dani ni 157,600. Wao watakuwa wa mwisho kuondoka chini ya alama yao. |
3691 | NUM 2:32 | Hawa ndio Waisraeli, wakiwa wamehesabiwa kufuatana na jamaa zao. Wote walio kambini kwa makundi yao ni watu 603,550. |
3715 | NUM 3:22 | Idadi ya waume wote waliokuwa na mwezi mmoja au zaidi waliohesabiwa walikuwa 7,500. |
3721 | NUM 3:28 | Hesabu ya waume wote wenye mwezi mmoja au zaidi ilikuwa watu 8,600. Wakohathi waliwajibika kutunza mahali patakatifu. |
3727 | NUM 3:34 | Hesabu ya waume wote wenye umri wa mwaka mmoja au zaidi waliohesabiwa walikuwa 6,200. |
3732 | NUM 3:39 | Jumla ya hesabu ya Walawi waliohesabiwa na Mose na Aroni kwa amri ya Bwana, kufuatana na koo, pamoja na kila mume mwenye umri wa mwezi mmoja au zaidi, walikuwa 22,000. |
3736 | NUM 3:43 | Jumla ya hesabu ya wazaliwa wa kwanza waume wenye umri wa mwezi mmoja au zaidi, walioorodheshwa kwa majina, walikuwa 22,273. |
3780 | NUM 4:36 | waliohesabiwa kwa koo zao, walikuwa 2,750. |
3784 | NUM 4:40 | waliohesabiwa kwa koo zao na jamaa zao, walikuwa 2,630. |
3788 | NUM 4:44 | waliohesabiwa kwa koo zao, walikuwa 3,200. |
3792 | NUM 4:48 | walikuwa watu 8,580. |
4481 | NUM 25:9 | Lakini wale waliokufa kwa hiyo tauni walikuwa watu 24,000. |
4498 | NUM 26:7 | Hizi zilikuwa ndizo koo za Reubeni; wale waliohesabiwa walikuwa 43,730. |
4505 | NUM 26:14 | Hizi ndizo koo za Simeoni; walikuwa 22,200. |
4509 | NUM 26:18 | Hizi ndizo zilizokuwa koo za Gadi; wale waliohesabiwa walikuwa 40,500. |
4513 | NUM 26:22 | Hizi ndizo zilizokuwa koo za Yuda; wale waliohesabiwa walikuwa 76,500. |
4516 | NUM 26:25 | Hizi ndizo zilizokuwa koo za Isakari; wale waliohesabiwa walikuwa 64,300. |
4518 | NUM 26:27 | Hizi ndizo zilizokuwa koo za Zabuloni, wale waliohesabiwa walikuwa 60,500. |
4525 | NUM 26:34 | Hizi ndizo zilizokuwa koo za Manase; wale waliohesabiwa walikuwa 52,700. |
4528 | NUM 26:37 | Hizi ndizo zilizokuwa koo za Efraimu; wale waliohesabiwa walikuwa 32,500. Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yosefu kwa koo zao. |
4532 | NUM 26:41 | Hizi ndizo zilizokuwa koo za Benyamini; wale waliohesabiwa walikuwa 45,600. |
4534 | NUM 26:43 | Wote walikuwa koo za Washuhamu; wale waliohesabiwa walikuwa 64,400. |
4538 | NUM 26:47 | Hizi ndizo zilizokuwa koo za Asheri; wale waliohesabiwa walikuwa 53,400. |
4541 | NUM 26:50 | Hizi ndizo zilizokuwa koo za Naftali; wale waliohesabiwa walikuwa 45,400. |
4542 | NUM 26:51 | Jumla ya hesabu ya wanaume wa Israeli ilikuwa 601,730. |
4553 | NUM 26:62 | Wanaume wote wa Walawi wa umri wa mwezi mmoja na zaidi walikuwa 23,000. Wao hawakuhesabiwa pamoja na Waisraeli wengine kwa sababu hawakupokea urithi miongoni mwao. |
4712 | NUM 31:46 | na wanadamu 16,000. |
6615 | JDG 4:14 | Ndipo Debora akamwambia Baraka, “Nenda! Hii ndiyo siku ambayo Bwana amemtia Sisera mikononi mwako. Je, Bwana hakukutangulia mbele yako?” Hivyo Baraka akashuka kutoka Mlima Tabori, akifuatwa na watu 10,000. |
6699 | JDG 7:3 | kwa hiyo sasa tangaza jeshi lote likiwa linasikia, kwamba: Yeyote anayeogopa na kutetemeka, yeye na arudi nyumbani, aondoke katika Mlima Gileadi.’ ” Hivyo watu 22,000 walirudi, wakabaki 10,000. |
6946 | JDG 15:15 | Ndipo akaona mfupa mpya wa taya la punda, akanyoosha mkono, akauchukua na kuua nao Wafilisti wapatao 1,000. |
7101 | JDG 20:45 | Walipogeuka na kukimbia kuelekea nyikani hata kufikia mwamba wa Rimoni, Waisraeli wakawaua watu 5,000 wakiwa njiani. Wakawafuata kwa kasi mpaka Gidomu huko wakawaua watu wengine 2,000. |
7455 | 1SA 11:8 | Sauli alipowakusanya huko Bezeki, watu wa Israeli walikuwa 300,000 na watu wa Yuda 30,000. |
8261 | 2SA 10:18 | Lakini Waaramu wakakimbia mbele ya Israeli, naye Daudi akawaua waendesha magari mia saba na askari wao wa miguu 40,000. Vilevile alimpiga Shobaki jemadari wa jeshi lao, naye akafa huko. |
8704 | 2SA 24:9 | Yoabu akatoa hesabu ya wapiganaji kwa mfalme: Katika Israeli kulikuwako watu 800,000 wenye uwezo wa kupigana, na katika Yuda watu 500,000. |
8873 | 1KI 5:6 | Solomoni alikuwa na mabanda 4,000 ya magari ya vita, na farasi 12,000. |
8879 | 1KI 5:12 | Akanena mithali 3,000 na nyimbo zake zilikuwa 1,005. |
8892 | 1KI 5:25 | naye Solomoni akampa Hiramu kori 20,000 za ngano kama chakula kwa ajili ya watu wa nyumbani mwake, pamoja na mafuta safi ya zeituni yaliyokamuliwa bathi 20,000. Solomoni aliendelea kumfanyia Hiramu hivyo mwaka baada ya mwaka. |
8963 | 1KI 7:26 | Ilikuwa na unene wa nyanda nne na ukingo wake ulifanana na ukingo wa kikombe, kama ua la yungiyungi iliyochanua. Iliweza kuchukua bathi 2,000. |
9051 | 1KI 8:63 | Solomoni akatoa dhabihu sadaka za amani kwa Bwana: ngʼombe 22,000, pamoja na kondoo na mbuzi 120,000. Hivyo ndivyo mfalme na Waisraeli wote walivyoweka wakfu Hekalu la Bwana. |
9426 | 1KI 20:15 | Kwa hiyo Ahabu akawaita maafisa vijana majemadari wa majimbo, wanaume 232. Kisha akawakusanya Waisraeli wote waliobaki, jumla yao 7,000. |
9584 | 2KI 3:4 | Basi Mesha mfalme wa Moabu akafuga kondoo, naye akawa ampatie mfalme wa Israeli wana-kondoo 100,000 pamoja na sufu ya kondoo dume 100,000. |
10453 | 1CH 5:21 | Walitwaa mifugo ya Wahagari: ngamia 50,000, kondoo 250,000, punda 2,000. Pia wakateka watu 100,000, |
10541 | 1CH 7:2 | Wana wa Tola walikuwa: Uzi, Refaya, Yerieli, Yahmai, Ibsamu na Shemueli waliokuwa viongozi wa jamaa zao. Wakati wa utawala wa Mfalme Daudi, wazao wa Tola walioorodheshwa kama wapiganaji katika ukoo wao walikuwa watu 22,600. |
10544 | 1CH 7:5 | Jamaa ya watu waliokuwa wapiganaji hodari kutoka koo zote za Isakari, kama ilivyoorodheshwa katika ukoo wao, jumla yao walikuwa 87,000. |
10546 | 1CH 7:7 | Wana wa Bela walikuwa: Esboni, Uzi, Uzieli, Yeremothi na Iri; walikuwa viongozi wa jamaa zao; wote ni watano. Watu wapiganaji walioorodheshwa katika ukoo wao walikuwa 22,034. |
10548 | 1CH 7:9 | Orodha ya ukoo wao iliyoandikwa viongozi wa jamaa zao walikuwa wapiganaji 20,200. |
10579 | 1CH 7:40 | Hawa wote ndio waliokuwa wazao wa Asheri, viongozi wa jamaa zao, watu bora, mashujaa walio hodari na viongozi maarufu. Idadi ya watu waliokuwa tayari kwa vita, kama ilivyoorodheshwa katika ukoo wao, walikuwa 26,000. |
10632 | 1CH 9:13 | Makuhani waliokuwa viongozi wa jamaa zao walikuwa 1,760. Walikuwa watu wenye uwezo, waliowajibika kuhudumu katika nyumba ya Mungu. |
10739 | 1CH 12:15 | Hawa Wagadi walikuwa majemadari. Aliyekuwa wa mwisho kuliko wote aliweza kuongoza askari 100, na aliyekuwa na uweza zaidi ya wote aliongoza 1,000. |
10750 | 1CH 12:26 | Watu wa Simeoni, mashujaa waliokuwa tayari kwa vita walikuwa 7,100. |
10756 | 1CH 12:32 | Watu wa nusu ya kabila la Manase, waliotajwa kwa majina ili waje kumweka Daudi kuwa mfalme, watu 18,000. |
10758 | 1CH 12:34 | Watu wa Zabuloni, askari wenye uzoefu mkubwa walioandaliwa tayari kwa vita wakiwa na silaha za kila aina, ili kumsaidia Daudi kwa uaminifu thabiti, walikuwa 50,000. |
10762 | 1CH 12:38 | Na pia watu kutoka mashariki ya Yordani, watu wa Reubeni, Gadi na nusu ya kabila la Manase, wakiwa na kila aina ya silaha, watu 120,000. |
10899 | 1CH 18:4 | Daudi akateka magari ya vita 1,000 miongoni mwa magari yake, waendesha hayo magari ya kukokotwa na farasi 7,000 na askari wa miguu 20,000. Daudi akakata mishipa ya miguu ya nyuma ya farasi wote wakokotao magari, ila akabakiza 100. |
10930 | 1CH 19:18 | Lakini Waaramu wakakimbia mbele ya Israeli, naye Daudi akawaua waendesha magari 7,000 na askari wao wa miguu 40,000. Pia akamuua Shofaki, jemadari wa jeshi lao. |
10944 | 1CH 21:5 | Yoabu akampa Daudi jumla ya idadi ya watu wanaoweza kupigana. Katika Israeli kulikuwa na watu 1,100,000 ambao wangeweza kutumia upanga na katika Yuda watu 470,000. |
10991 | 1CH 23:3 | Walawi waliokuwa na umri wa miaka thelathini au zaidi walihesabiwa, nayo hesabu ya wanaume ilikuwa 38,000. |
11115 | 1CH 27:1 | Hii ndiyo orodha ya Waisraeli: viongozi wa jamaa, majemadari wa maelfu, majemadari wa mamia na maafisa wao, waliomtumikia mfalme kwa lolote lililohusu vikosi vya jeshi vilivyokuwa zamu mwezi baada ya mwezi katika mwaka mzima. Kila kikosi kimoja kilikuwa na watu 24,000. |
11118 | 1CH 27:4 | Msimamizi wa kikosi kwa mwezi wa pili alikuwa Dodai Mwahohi. Miklothi ndiye alikuwa kiongozi wa kikosi chake. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000. |
11119 | 1CH 27:5 | Jemadari wa kikosi cha tatu kwa mwezi wa tatu alikuwa Benaya mwana wa kuhani Yehoyada. Ndiye alikuwa mkuu wa kikosi chake kilichokuwa na watu 24,000. |
11121 | 1CH 27:7 | Jemadari wa nne kwa mwezi wa nne alikuwa Asaheli nduguye Yoabu, mwanawe Zebadia ndiye aliingia mahali pake kwenye uongozi. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000. |
11122 | 1CH 27:8 | Jemadari wa kikosi cha tano kwa mwezi wa tano alikuwa Shamhuthi Mwizrahi. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000. |
11123 | 1CH 27:9 | Jemadari wa kikosi cha sita kwa mwezi wa sita alikuwa Ira, mwana wa Ikeshi Mtekoa. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000. |
11124 | 1CH 27:10 | Jemadari wa kikosi cha saba kwa mwezi wa saba alikuwa Helesi Mpeloni wa Waefraimu. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000. |
11125 | 1CH 27:11 | Jemadari wa nane kwa mwezi wa nane, alikuwa Sibekai Mhushathi wa Wazera. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000. |
11126 | 1CH 27:12 | Jemadari wa tisa kwa mwezi wa tisa alikuwa Abiezeri Mwanathothi wa Wabenyamini. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000. |
11127 | 1CH 27:13 | Jemadari wa kumi kwa mwezi wa kumi alikuwa Maharai Mnetofathi wa Wazera. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000. |
11128 | 1CH 27:14 | Jemadari wa kumi na moja kwa mwezi wa kumi na moja alikuwa Benaya Mpirathoni wa Waefraimu. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000. |
11129 | 1CH 27:15 | Jemadari wa kumi na mbili kwa mwezi wa kumi na mbili alikuwa Heldai Mnetofathi kutoka jamaa ya Othnieli. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000. |