Wildebeest analysis examples for:   swh-swhonen   Word);    February 25, 2023 at 01:16    Script wb_pprint_html.py   by Ulf Hermjakob

4520  NUM 26:29  Wazao wa Manase: kutoka kwa Makiri, ukoo wa Wamakiri (Makiri alikuwa baba wa Gileadi); kutoka kwa Gileadi, ukoo wa Wagileadi.
6159  JOS 13:3  kutoka Mto Shihori ulioko mashariki mwa Misri, kuelekea kaskazini kwenye eneo la Ekroni, ambayo yote ilihesabika kama ya Wakanaani (maeneo yale matano ya watawala wa Kifilisti, ambayo ni Gaza, Ashdodi, Ashkeloni, Gathi na Ekroni: ndiyo nchi ya Waavi);
6240  JOS 15:36  Shaaraimu, Adithaimu na Gedera (au Gederothaimu); yote ni miji kumi na minne, pamoja na vijiji vyake.
8857  1KI 4:10  Ben-Hesedi: katika Arubothi (Soko na nchi yote ya Heferi zilikuwa zake);
8858  1KI 4:11  Ben-Abinadabu: katika Nafoth-Dori (alimwoa Tafathi binti Solomoni);
8860  1KI 4:13  Ben-Geberi: katika Ramoth-Gileadi (makao ya Yairi mwana wa Manase katika Gileadi ilikuwa miji yake, pamoja na wilaya ya Argobu katika Bashani na miji yake mikubwa sitini yenye kuzungukwa na kuta zenye makomeo ya shaba);
8862  1KI 4:15  Ahimaasi: katika Naftali (alikuwa amemwoa Basemathi binti Solomoni);
8979  1KI 7:42  makomamanga 400 kwa ajili ya hizo nyavu mbili (safu mbili za makomamanga kwa kila wavu, yakipamba hayo mataji mawili yenye umbo la bakuli juu ya hizo nguzo);
8986  1KI 7:49  vinara vya taa vya dhahabu safi (vitano upande wa kuume na vitano upande wa kushoto, mbele ya Patakatifu pa Patakatifu); kazi ya maua ya dhahabu na taa na makoleo;
11264  2CH 4:13  yale makomamanga 400 kwa ajili ya hizo nyavu mbili (safu mbili za makomamanga kwa kila wavu yakipamba hayo mataji mawili yenye umbo la bakuli juu ya hizo nguzo);
11272  2CH 4:21  maua ya dhahabu yaliyofanyizwa, taa na makoleo (vilikuwa vya dhahabu bora kabisa);
18273  ISA 29:10  Bwana amewaleteeni usingizi mzito: Ameziba macho yenu (ninyi manabii); amefunika vichwa vyenu (ninyi waonaji).
19623  JER 25:20  pia wageni wote walioko huko; wafalme wote wa nchi ya Usi; wafalme wote wa Wafilisti (wale wa Ashkeloni, Gaza, Ekroni na watu walioachwa huko Ashdodi);
24373  MRK 3:16  Hawa ndio wale kumi na wawili aliowachagua: Simoni (ambaye alimwita Petro);
24374  MRK 3:17  Yakobo mwana wa Zebedayo, na Yohana nduguye (ambao aliwaita Boanerge, maana yake Wana wa Ngurumo);