7488 | 1SA 13:1 | Sauli alikwa na umri wa miaka [thelathini] alipoanza kutawala; alipokuwa ametawala Israeli kwa miaka [arobaini], |
9135 | 1KI 11:24 | Rezoni alijikusanyia wanaume naye akawa mkuu wa jeshi dogo, Daudi ali[owapiga wanaume wa Soba. Wale wanume Rezoni walienda Dameski kuishi huko, na Rezoni aliitawala Dameski. |
24041 | MAT 24:15 | Kwa hiyo, mtakapoona chukizo la uharibifu, lililosemwa na nabii Danieli limesimama mahali patakatifu [asomaye na afahamu], |
27545 | ACT 15:34 | [ Lakini ilionekana vyema Sila kubaki huko ] |