109 | GEN 5:3 | Wakati Adamu alipokuwa ameishi miaka 130, akamzaa mwana katika sura yake mwenyewe, kwa mfano wake, na akamuita jina lake Sethi. |
111 | GEN 5:5 | Adamu akaishi miaka 930 kisha akafariki. |
122 | GEN 5:16 | Baada ya kumzaa Yaredi, Mahalaleli aliishi miaka 830. Akazaa wana wengi wa ume na wake. |
129 | GEN 5:23 | Henoko aliishi miaka 365. |
280 | GEN 11:13 | Alfaksadi aliishi miaka 403 baada ya kumzaa Shela. Akawazaa pia wana wengine wa kiume na wa kike. |
282 | GEN 11:15 | Shela aliishi miaka 403 baada ya kumzaa Eberi. Akawazaa pia wana wengine wa kiume na wa kike. |
284 | GEN 11:17 | Eberi aliishi miaka 430 baada ya kumzaa Pelegi. Akawazaa pia wana wengine wa kiume na wa kike. |
351 | GEN 14:14 | Abram aliposikia kuwa maadui wamemteka ndugu yake, akawaongoza wanaume waliofunzwa na kuzaliwa nyumbani mwake 318 na akawaongoza hadi Dani. |
676 | GEN 25:17 | Hii ndiyo ilikuwa miaka ya Ishimaeli, miaka 137: akapumua pumzi yake ya mwisho na akafa, na akakusanywa pamoja na watu wake. |
1672 | EXO 6:16 | Hapa yameorodheshwa majina ya wana wa Lawi, pamoja na uzo wao. Walikuwa ni Gerishoni, Kohathi, na Merari. Lawi aliishi mpaka alipo kuwa na miaka 137. |
1674 | EXO 6:18 | Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Izhari, Hebroni, na uzieli. Kohathi aliishi hadi miaka 133. |
1676 | EXO 6:20 | Amramu alimuoa Yokebedi, dada yake baba yake. Alimzalia Aruni na Musa. Amramu aliishi miaka 137 na akafa. |
1857 | EXO 12:40 | Waisraeli waliishi Misri kwa miaka 430. |
1858 | EXO 12:41 | Baada ya miaka 430, siku hiyo hiyo, majeshi yote ya Yahweh yalio jiami waliondoka kutoka nchi ya Misri. |
2658 | EXO 38:24 | Dhahabu yote iliyotumiwa kwa ajili ya kazi katika kazi yote ya mahali patakatifu ikawa jumla ya dhahabu ya toleo la kutikisa, + talanta ishirini na tisa na shekeli 730 kulingana na shekeli+ ya mahali patakatifu. |
2660 | EXO 38:26 | ile nusu shekeli kwa ajili ya mtu mmoja ilikuwa nusu shekeli kulingana na shekeli ya mahali patakatifu,. Kwa kila mtu aliyekuwa akipita kuingia upande wa wale waliokuwa wameandikishwa kuanzia miaka ishirini na zaidi, jumla ya watu 603, 550. |
3628 | NUM 1:23 | Walihesabu wanaume 59, 300 kutoka kabila la Simeoni. |
3640 | NUM 1:35 | Walihesabiwa wanaume 32, 000 kutoka kabila la Manase. |
3642 | NUM 1:37 | Walihesabiwa wanaume 35, 000 kutoka kabila la Benjamini. |
3648 | NUM 1:43 | Walihesabiwa wanaume 53, 400 kutoka kabila la Naftari |
3651 | NUM 1:46 | Walihesabu wanaume 603, 550. |
3672 | NUM 2:13 | Waliohesabiwa kwenye kikosi chake ni 59, 300. |
3680 | NUM 2:21 | Hesabu ya kikosi hiki ni 32, 200. |
3682 | NUM 2:23 | Hesabu ya kikosi hiki ni 35, 000 |
3689 | NUM 2:30 | Hesabu ya kikosi hiki ni 53, 400. |
3691 | NUM 2:32 | Hawa ndio Waisraeli, waliohesabiwa kufuata familia zao. Wote waliohesabiwa kwenye kambi zao, kwa kufuata vikosi vyao ni 603, 550. |
3736 | NUM 3:43 | Aliwahesabu wazaliwa wote wa kwanza kwa mjina, wenye umri wa mwezi mmoja na zaidi. Alihesabu wanaume 22, 273. |
3739 | NUM 3:46 | Unikusanyie shekeli tano za wokovu kwa kila hao 273 za hao wazaliwa wa kwanza wa Israeli za hao wanaozidi idadi ya Walawi. |
3743 | NUM 3:50 | Musa akakusanya zile fedha kutoka kwa hao wazaliwa wa kwanza wa wana wa Israeli. Alikusanya jumla ya shekeli 1, 365, zenye kipimo sawa na mahali patakatifu. Musa akamlipa Haruni na wanawe hizo shekeli za wokovu. |
3784 | NUM 4:40 | Wanaume wote waliohesabiwa kufuata koo na familia za mababu zao walikuwa 2, 630. |
3788 | NUM 4:44 | Wanaume wote waliohesabiwa kupitia koo za familia za mababu zao walikuwa 3. 200. |
3864 | NUM 7:13 | Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli moja ya fedha ambayo uzito wake ni shekeli sabini, kwa kipimo cha mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga. |
3870 | NUM 7:19 | Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha ya uzito wa shekeli130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa sheli sabini, kwa kipimo cha mahali patakatifu. Viyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kwa sadaka ya unga. |
3876 | NUM 7:25 | Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha lenye uzito wa shekeli sabini kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. vyombo vyote hivi vilikuwa vimeja unga mwembemba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga. |
3882 | NUM 7:31 | Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo hivi vyote vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga. |
3888 | NUM 7:37 | Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shaekali 130 na bakuli mojala fedha lenye uzani wa shekeli sabini kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga. |
3894 | NUM 7:43 | Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli la shaba lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo hivi vyote vilikuwa vimejaa unga mwembemba uliochanganywa na mafuta kwa ajili ya sadaka ya unga. |
3900 | NUM 7:49 | Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli la fedha lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo hivi vyote ilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga. |
3906 | NUM 7:55 | Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga. |
3912 | NUM 7:61 | Sadaka yake ilikuwa sahani moja yafedha yenye uzani wa sheli 130 na bakuli moja la fedha lenye uzito wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga. |
3918 | NUM 7:67 | Alitoa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shaekeli 130 na bakuli moja lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga. |
3924 | NUM 7:73 | Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabani, kwa kipimo cha shekeli ya mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi ilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga. |
3930 | NUM 7:79 | Sadaka yake ailikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shaekeli 130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba ulichanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga. |
3936 | NUM 7:85 | Zile sahani za fedha kila moja ilikuwa na uzani wa shaekeli 130 na kila bakuli ye fedha ilikuwa na uzani wa shekeli sabini. Vyombo vyote vya fedh vilikuwa na ujumla ya uzani wa shekeli 2, 400, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. |
4498 | NUM 26:7 | Hizi ndizo zilikuwa koo za uzao wa Reubeni, ambzo idadi yao ilikuwa wanaume 43, 730. |
4516 | NUM 26:25 | Hizi ndizo zilikuwa koo za Isakari, Idadi yao ilikuwa wanaume 64, 300. |
4528 | NUM 26:37 | Hizi ndizo koo za uzao wa Efraimu, idadi yao ilikuwa wanaume 32, 500. Huu ndio uzao wa Yusufu, uliohesabiwa toka kila koo zao. |
4538 | NUM 26:47 | Hizi ndizo koo za uzao wa Asheri, idadi yao ilikuwa wanaume 53, 400. |
4542 | NUM 26:51 | Hii ndiyo iliyokuwa jumla kuu ya wanaume wa Israeli: 601, 730. |
4702 | NUM 31:36 | Ile hesabu ya nusu iliyokuwa imetunzwa kwa ajili ya wanajeshi ilikuwa kondoo 337, 000. Ile sehemu ya |
4705 | NUM 31:39 | Punda walikuwa 30, 500 ambao sehemu ya BWANA ilikuwa sitini na moja. |
4709 | NUM 31:43 | ile nusu y a watu ilikuwa kondoo 337, 500, |
4711 | NUM 31:45 | punda 30, 500, |
4801 | NUM 33:39 | Haruni alikuwa na umri wa mika 123 alipokufa pale juu ya Mlima Hori. |
8083 | 2SA 2:31 | Lakini watu wa Daudi walikuwa wameua watu 360 wa Benjamini na Abneri. |
8897 | 1KI 5:30 | zaidi ya hao, walikuwepo maakida 3, 300 ambao pia waliokuwa wakiisimamia hiyo kazi. |
8901 | 1KI 6:2 | Hekalu ambalo mfalme Sulemani alimjengea BWANA lilikuwa na urefu wa mita 27, na upana wa mita 9, na kimo cha mita 13. 5. |
8905 | 1KI 6:6 | Kile chumba cha chini kilikuwa na upana wa mita 2. 3, kile cha kati kilikuwa na upana wa mita 2. 8. na kile cha tatu kilikuwa na upana wa mita 3. 2. upande wa nje akaupunguza ukuta wa nyumba pande zote, ili boriti zisishikamane ukutani mwa nyumba. |
8909 | 1KI 6:10 | Akajenga vyumba vya pembeni mwa hekalu, kila upande mita 2. 3 kwenda juu. Navyo vikaunganishwa na hekalu kwa mbao za mierezi. |
8923 | 1KI 6:24 | Bawa moja la kerubi wa kwanza lilikuwa na urefu wa mita 2. 3. Kwa hiyo kutoka ncha ya bawa moja hadi ncha ya bawa lingine kulikuwa na umbali wa mita 4. 5. Yule |
8939 | 1KI 7:2 | Aliijenga ikulu iliyoitwa mwitu wa Lebanoni. Urefu wake ulikuwa mita 46, na upanawake ulikuwa mita 23, na kimo chake kilikuwa mita 14. Nayo ilikuwa na safu nne ya nguzo za mierezi na mithili ya mwerezi juu ya nguzo. |
8943 | 1KI 7:6 | Akatengeneza baraza lenye uerfu wa mita 23 na upana wa mita 14. Mbele yake kulikuwa na ukumbi ulioezekwa. |
8947 | 1KI 7:10 | Msingi ulijengwa kwa mawe makubwa sana na ya thamani yenye urefu wa mita 3. 7 na mengine mita 4. 8. |
8952 | 1KI 7:15 | Huramu alizilemba zile nguzo mbili za shaba, kila moja ilikuwa na kimo cha mita 8. 3 na mzingo wa mita 5. 5. |
8953 | 1KI 7:16 | Akatengeneza taji mbili za shaba za kuwekwa juu ya zile nguzo. Kimo cha kila taji ilikuwa mita 2. 3. |
8960 | 1KI 7:23 | Tena akafanya bahari ya kusubu ya, yenye mita 2. 3 kutoka ukingo hadi ukingo, kimo chake kilikuwa mita 4. 6, mziingo wake ulikuwa mita 13. 7. |
8964 | 1KI 7:27 | Huramu akatengeneza makalio kumi ya shaba. Kila kalio lilkuwa na urefu wa mita 1. 8, upana wa mita 1. 8, na kimo cha mita 1. 3. |
9426 | 1KI 20:15 | Ndipo Ahabu alipowataarifu wale vijna wanaowatumikia maliwali wa wilaya. Idadi yao ilikuwa 232. Baada yao aliwahesabu wanajeshi wote, jeshi lote la Israeli; idadi yao ilikuwa elfu saba. |
10546 | 1CH 7:7 | Wana watano wa Bela walikuwa Ezibono, Uzi, Uzieli, Yerimoti, na Iri. Walikua ni wanajeshi na waanzilishi wa koo. Watu wao walikuwa na idadi ya wanaume wa vita 22, 034, kwa mujibu wa orodha zilizomilikiwa na koo za mababu zao. |
10752 | 1CH 12:28 | Yehoiada alikuwa kiongozi wa uzao wa Aruni, na kwa yeye walikuwa 3, 700. |
10803 | 1CH 15:7 | Kutoka uzao wa Gerishomu, palikuwa na Yoeli kiongozi na ndugu zake, wanaume 130. |
11218 | 2CH 2:1 | Selemeni akateua wanaume elfu sabini wabebe mizigo, na wanaume elfu themanini wa kukata mbao katika mlima, na wanaume 3, 600 kwa ajili ya kusimamia. |
11233 | 2CH 2:16 | Selemani akawahesabu watu wageni waliokuwa katika nchi ya Israeli, kwa kutumia njia ya Daudi, baba yake, aliyoitumia kuwahesabu. Walikutwa wako 153, 600. |
11234 | 2CH 2:17 | Miongoni mwao aliwateua sabini elfu ili wabebe mizigo, themanini elfu kuwa wakataji wa mbao katika milima, na 3, 600 kuwa wasimamizi wa kuwasimamia watu wafanye kazi. |
11488 | 2CH 14:7 | Asa alikuwa na jeshi ambalo lilibeba ngao na mikuki; kutoka Yuda alikuwa na wanaume 300, 000, na kutoka Benyamini, wanaume 280, 000 waliobeba ngao na kuvuta pinde. |
11542 | 2CH 17:14 | Hapa ni rodha yao, wamepangwa kwa majina ya nyumba za baba zo: Kutoka Yuda, maakida wa maelfu; Adna yule jemedari, na pamoja naye wanaume wa kwenda vitani 300, 000; |
11697 | 2CH 24:15 | Yehoyada akazeeka na alaaikuwa amejaa siku, na kisha akafa; alikuwa na umri wa mika 130 alipokufa. |
11714 | 2CH 25:5 | Aidha, Amazia aliwakusanya Yuda pamoja, na akawaandikisha kwa kufuata nyumba za babu zao, chini ya maakida wa maelfu na maakida wa mamia —wote wa Yuda na wa Benyamini. Akawahesabu kuanzia wa mika ishirini na kuendelea, na akawaona wako 300, 000 wanaume waliochaguliwa, wawezaoa kwenda vitani, walioweza kushika mkuki na ngao. |
11750 | 2CH 26:13 | Chini ya mkono wao kulikuwa na jeshi la watu 307, 500 ambao walifanya vita kwa nguvu ili kumsaidia mfalme idi ya maadui. |
12036 | EZR 2:4 | Wana wa Shefatia: 372 |
12043 | EZR 2:11 | Wana wa Bebai: 623. |
12049 | EZR 2:17 | Wana wa Besai: 323. |
12051 | EZR 2:19 | Wanaume wa Hashimu: 223. |
12053 | EZR 2:21 | Wanaume wa Bethlehemu: 123. |
12060 | EZR 2:28 | Wanaume wa Betheli, na Ai: 223. |
12064 | EZR 2:32 | nne. Wanaume wa Harimu: 320. |
12066 | EZR 2:34 | Wanaume wa Yeriko: 345. |
12067 | EZR 2:35 | Wanaume wa Senaa: 3, 630. |
12068 | EZR 2:36 | Wana wa Yedaya kuhani wa nyumba ya Yoshua: 973. |
12074 | EZR 2:42 | Walinzi: wana wa Shalumu, Ateri na, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai: 139 jumla. |
12096 | EZR 2:64 | Jumla ya kundi 42, 360, |
12097 | EZR 2:65 | ukiondoa watumishi na wasaidizi (wao walikuwa 7, 337) waimbaji Hekaluni wanaume na wanawake (mia mbili) |
12098 | EZR 2:66 | Farasi wao: 736, Nyumbu wao: 245. |
12099 | EZR 2:67 | Ngamia wao: 435. Punda wao: 6, 720. |
12434 | NEH 7:9 | Wana wa Shefatia, 372. |
12442 | NEH 7:17 | Wana wa Azgadi, 2, 322. |