113 | GEN 5:7 | Baada ya kumzaa Enoshi, akaishi miaka 807 na akawazaa wana wengi waume na wake. |
131 | GEN 5:25 | Wakati Methusela alipokuwa ameishi miaka 187, alimzaa Lameki. |
132 | GEN 5:26 | Baada ya kumzaa Lameki, Methusela aliishi miaka 782. Akawazaa wana wengi wa ume na wake. |
137 | GEN 5:31 | Lameki aliishi miaka 777. Kisha akafariki. |
288 | GEN 11:21 | Reu aliishi miaka207 baada ya kumzaa Seregu. Akawazaa pia wana wengine wa kiume na wa kike. |
666 | GEN 25:7 | Hizi ndizo zilikuwa siku za miaka ya uhai wake Abraham alizoishi, miaka 175. |
676 | GEN 25:17 | Hii ndiyo ilikuwa miaka ya Ishimaeli, miaka 137: akapumua pumzi yake ya mwisho na akafa, na akakusanywa pamoja na watu wake. |
1672 | EXO 6:16 | Hapa yameorodheshwa majina ya wana wa Lawi, pamoja na uzo wao. Walikuwa ni Gerishoni, Kohathi, na Merari. Lawi aliishi mpaka alipo kuwa na miaka 137. |
1676 | EXO 6:20 | Amramu alimuoa Yokebedi, dada yake baba yake. Alimzalia Aruni na Musa. Amramu aliishi miaka 137 na akafa. |
2658 | EXO 38:24 | Dhahabu yote iliyotumiwa kwa ajili ya kazi katika kazi yote ya mahali patakatifu ikawa jumla ya dhahabu ya toleo la kutikisa, + talanta ishirini na tisa na shekeli 730 kulingana na shekeli+ ya mahali patakatifu. |
2659 | EXO 38:25 | Nayo fedha ya wale walioandikishwa kati ya kusanyiko ilikuwa talanta mia moja na shekeli 1, 775 kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, |
2662 | EXO 38:28 | Na kutokana na zile shekeli 1, 775 alifanyiza vibanio vya nguzo na kuvifunika sehemu yake ya juu na kuviunganisha pamoja. |
3632 | NUM 1:27 | walihesabiwa wanume 74, 000 kutoka kabila la Yuda. |
3636 | NUM 1:31 | Walihesabiwa wanume 57, 400 kutoka kabila la Zabuloni. |
3663 | NUM 2:4 | Idadi ya watu wa Yuda ni 74, 600. |
3667 | NUM 2:8 | Idadi ya kikosi chake ni 57, 400. |
3685 | NUM 2:26 | Hesabu ya kikosi hiki ni 62, 700. |
3690 | NUM 2:31 | Wote waliohesabiwa kwenye kambi ya Dani ni 157, 600. Hawa watakuwa wa mwisho kuondoka kambini, wakifuata bango lao. |
3715 | NUM 3:22 | Wanaume wote wenye umri wa mwezi mmoja au zaidi walihesabiwa na kufikia idadi ya 7, 500. |
3736 | NUM 3:43 | Aliwahesabu wazaliwa wote wa kwanza kwa mjina, wenye umri wa mwezi mmoja na zaidi. Alihesabu wanaume 22, 273. |
3739 | NUM 3:46 | Unikusanyie shekeli tano za wokovu kwa kila hao 273 za hao wazaliwa wa kwanza wa Israeli za hao wanaozidi idadi ya Walawi. |
3780 | NUM 4:36 | Waliwahesabu wanaume 2, 750 kwa kufuata koo zao. |
4498 | NUM 26:7 | Hizi ndizo zilikuwa koo za uzao wa Reubeni, ambzo idadi yao ilikuwa wanaume 43, 730. |
4513 | NUM 26:22 | Hizi ndizo zilizokuwa koo za Yuda, idadi yao ilikuwa wanaume 76, 500. |
4525 | NUM 26:34 | Hizi ndizo koo za Manase, idadi yao ilikuwa wanaume 52, 700. |
4542 | NUM 26:51 | Hii ndiyo iliyokuwa jumla kuu ya wanaume wa Israeli: 601, 730. |
4698 | NUM 31:32 | Sasa zile nyara zilizokuwa zimebaki ambazo wanajeshi walikuwa wameteka zilikuwa kondoo 675, 000, |
4702 | NUM 31:36 | Ile hesabu ya nusu iliyokuwa imetunzwa kwa ajili ya wanajeshi ilikuwa kondoo 337, 000. Ile sehemu ya |
4703 | NUM 31:37 | BWANA ya kondoo ilikuwa kondoo 675. |
4709 | NUM 31:43 | ile nusu y a watu ilikuwa kondoo 337, 500, |
4718 | NUM 31:52 | Vitu vyote vya sadaka ya dhahabu ambavyo walimpa BWANA- sadaka toka kwa makamanda wa maelfu na kutoka kwa makepteni wa mamia - vilikuwa na uzito wa shekeli 16, 750. |
4851 | NUM 35:4 | Hayo malisho yatakayozunguka miji hiyo ambayo mtawapa Walawi yataanzia kwenye maboma kwa ukubwa wa “mita 457” kila upande. |
6747 | JDG 8:26 | Uzito wa pete za dhahabu alizoomba zilikuwa shekeli 1, 700 za dhahabu. Nyara hizi zilikuwa ni pamoja na mapambo ya makoja, vidani, nguo ya rangi ya zambarau waliyovaa na wafalme wa Midiani, na zaidi ya minyororo iliyokuwa karibu na shingo za ngamia zao. |
8216 | 2SA 8:4 | Daudi aliteka magari 1, 700 ya farasi na askari ishirini elfu waendao kwa miguu. Daudi akawakata miguu farasi wa magari, lakini akahifadhi wakutosha magari mia moja. |
8901 | 1KI 6:2 | Hekalu ambalo mfalme Sulemani alimjengea BWANA lilikuwa na urefu wa mita 27, na upana wa mita 9, na kimo cha mita 13. 5. |
8947 | 1KI 7:10 | Msingi ulijengwa kwa mawe makubwa sana na ya thamani yenye urefu wa mita 3. 7 na mengine mita 4. 8. |
8960 | 1KI 7:23 | Tena akafanya bahari ya kusubu ya, yenye mita 2. 3 kutoka ukingo hadi ukingo, kimo chake kilikuwa mita 4. 6, mziingo wake ulikuwa mita 13. 7. |
10550 | 1CH 7:11 | Wote hawa waikuwa wana wa Yediaeli. Waliorodheshwa katika ukoo orodha ilikuwa 17, 200 viongozi na wanaume wa vita imara kwa kazi ya jeshi. |
10632 | 1CH 9:13 | Ndugu zao, ambao walikuwa viongozi katika koo za mababu zao, idadi ya 1, 760. Walikuwa ni wanaume wenye uwezo sana wa kufanya kazi katika nyumba ya Mungu. |
10750 | 1CH 12:26 | Kutoka kwa Wasimeoni walikuwa 7, 100 wanaume wa mapambano. |
10752 | 1CH 12:28 | Yehoiada alikuwa kiongozi wa uzao wa Aruni, na kwa yeye walikuwa 3, 700. |
10944 | 1CH 21:5 | Yoabu akatoa taarifa ya idadi ya jumla ya wanaume wa mapambano kwa Daudi. Kulikuwa ndani ya Israeli wanaume 1, 100, 000 walio beba upanga. Yuda peke yake kulikuwa na wanajeshi 470, 000. |
11112 | 1CH 26:30 | Wa uzao wa Hebroni, Hashabia na kaka zake, wanaume wenye uwezo 1, 700, walikuwa wahusika wa kazi ya Yahweh na kazi ya mfalme. Walikuwa upande wa mgharibi mwa Yordani. |
11114 | 1CH 26:32 | Yerija alikuwa na ndugu 2, 700, walio kuwa viongozi wenye uwezo katika familia. Daudi aliwafanya waangalizi wa makabila ya Rubeni na Gadi, na nusu kabila la Manase, kwa kila jambo linalo muhusu Mungu, na kwa mambo ya mfalme. |
11539 | 2CH 17:11 | Baadhi ya Wafilisti wakamletea Yehoshafati zawadi, fedha kama kodi. Waarabu pia wakamletea makundi, 7, 700 kondoo waume, na mbuzi 7, 770. |
11750 | 2CH 26:13 | Chini ya mkono wao kulikuwa na jeshi la watu 307, 500 ambao walifanya vita kwa nguvu ili kumsaidia mfalme idi ya maadui. |
12035 | EZR 2:3 | Waporoshi: 2, 172 |
12036 | EZR 2:4 | Wana wa Shefatia: 372 |
12037 | EZR 2:5 | Wana wa Ara: 775. |
12041 | EZR 2:9 | Wana wa Zakai: 760. |
12065 | EZR 2:33 | Wanaume wa Lodi, na Hadidi, na Ono: 725. |
12068 | EZR 2:36 | Wana wa Yedaya kuhani wa nyumba ya Yoshua: 973. |
12070 | EZR 2:38 | Wana wa Pashuri: 1, 247. |
12071 | EZR 2:39 | Wana wa Harimu: 1, 017. |
12097 | EZR 2:65 | ukiondoa watumishi na wasaidizi (wao walikuwa 7, 337) waimbaji Hekaluni wanaume na wanawake (mia mbili) |
12098 | EZR 2:66 | Farasi wao: 736, Nyumbu wao: 245. |
12099 | EZR 2:67 | Ngamia wao: 435. Punda wao: 6, 720. |
12433 | NEH 7:8 | Wana wa Paroshi, 2, 172. |
12434 | NEH 7:9 | Wana wa Shefatia, 372. |
12439 | NEH 7:14 | Wana wa Zatu, 845. Wana wa Zakai, 760. |
12443 | NEH 7:18 | Wana wa Adonikamu, 667. |
12444 | NEH 7:19 | Wana wa Bigwai, 2, 067. |
12454 | NEH 7:29 | Watu wa Kiriath Yearimu, Kefira, na Beerothi, 743. |
12462 | NEH 7:37 | Watu wa Lodi, Hadidi, na Ono, 721. |
12464 | NEH 7:39 | makuhani Wana wa Yedaya (wa nyumba ya Yeshua), 973. |
12466 | NEH 7:41 | Wana wa Pashuri, 1, 247. |
12467 | NEH 7:42 | Wana wa Harimu, 1, 017. |
12468 | NEH 7:43 | Walawi, wana wa Yeshua, wa Kadmieli, wa Binui, wa Hodavia, 74. |
12492 | NEH 7:67 | isipokuwa watumishi wao wa kiume na watumishi wao wa kike, ambao walikuwa 7, 337. Walikuwa na wanaume na wanawake wa kuimba 245. |
12493 | NEH 7:68 | Farasi zao zilikuwa 736 kwa idadi, nyumbu zao, 245, ngamia zao, 435, na punda zao, 6, 720. |
12611 | NEH 11:19 | Walinzi wa malango Akubu, Talmoni, na washirika wao, ambao waliolinda milango, wanaume 172. |
12707 | EST 1:1 | Katika siku za utawala wa Ahasuero (huyu ni Ahasuero aliyetawala toka India hadi Ethiopa, zaidi ya majimbo 127), |
12830 | EST 8:9 | Kisha waandishi wa mfalme wakakusanyika kwa wakati huo huo katika mwezi wa tatu, ambao ni mwezi wa Sivani, siku ya ishirini ya mwezi wa tatu. Mbiu iliandikwa yote ambayo Modekai aliyaamuru kwa Wayahudi watendewe na wenyeji wa kila jimbo. Mbiu iliandikwa kwa maakida magavana na wakuu wa majimbo yote yaliyokuwa toka India hadi Ethiopia, majimbo 127 kila jimbo iliandikwa kuwa maandishi yake, na kila watu kwa lugha yao, na kwa Wayahudi kwa maandishi na lugha yao. |
12868 | EST 9:30 | Barua zilipelekwa katika majimbo 127 ya mfalme Ahusiero, zikiwatakia Wayahudi wote amani na kweli. |
20375 | JER 52:30 | Katika mwaka wa ishirini na tatu wa Nebukadneza, Nebuzaradani, jemedari wa walinzi wa mfalme, aliwahamisha Wayudea 745. Jumla ya watu walioamishwa walikuwa 4, 600. |
26450 | JHN 7:53 | (Zingatia: Baadhi ya maneno ya Yohana 7: 53 - 8: 11 hayamo katika nakala bora za kale). Kisha kila mtu alienda nyumbani kwake. |
26451 | JHN 8:1 | (Zingatia: Angalia ufafanuzi wa Yohana 7: 53 - 8: 11 hapo juu). Yesu alienda mlima wa Mizeituni. |
26454 | JHN 8:4 | (Zingatia: Angalia ufafanuzi wa Yohana 7: 53 - 8: 11 hapo juu). Ndipo wakamwambia Yesu, “Mwalimu, mwanamke huyu amekamatwa katika uzinzi, katika kitendo kabisa. |
26457 | JHN 8:7 | (Zingatia: Angalia ufafanuzi wa Yohana 7: 53 - 8: 11 hapo juu). Walipoendelea kumwuliza, alisimama na kuwaambia, “Yeye asiyekuwa na dhambi miongoni mwenu, awe wa kwanza kumponda mawe.” |
26459 | JHN 8:9 | (Zingatia: Angalia ufafanuzi wa Yohana 7: 53 - 8: 11 hapo juu). Waliposikia hayo, waliondoka mmoja baada ya mwingine, kuanzia aliye mzee. Mwishowe Yesu aliachwa peke yake, pamoja na mwanamke aliyekuwa katikati yao. |
27960 | ACT 27:37 | Tulikuwa watu 276 ndani ya meli. |