111 | GEN 5:5 | Adamu akaishi miaka 930 kisha akafariki. |
114 | GEN 5:8 | Sethi akaishi miaka 912 kisha akafariki. |
117 | GEN 5:11 | Enoshi aliishi miaka 905 na kisha akafariki. |
120 | GEN 5:14 | Kenani aliishi miaka 910, na kisha akafariki. |
123 | GEN 5:17 | Mahalaleli aliishi miaka 895 na kisha akafariki. |
126 | GEN 5:20 | Yaredi aliishi miaka 962 na kisha akafariki. |
133 | GEN 5:27 | Methusela aliishi miaka 969. Kisha akafariki. |
136 | GEN 5:30 | Lameki aliishi miaka 595 baada ya kumzaa baba wa Nuhu. Akazaa wanawengi wa ume na wake. |
286 | GEN 11:19 | Pelegi aliishi miaka 209 baada ya kumza a Reu. Akawazaa pia wana wengine wa kiume na wa kike. |
292 | GEN 11:25 | Nahori aliishi mika 119 baada ya kumzaa Tera. Akawazaa pia wana wengine wa kiume na wa kike. |
3628 | NUM 1:23 | Walihesabu wanaume 59, 300 kutoka kabila la Simeoni. |
3672 | NUM 2:13 | Waliohesabiwa kwenye kikosi chake ni 59, 300. |
7696 | 1SA 18:18 | Daudi akamwambia Sauli, “Mimi ni nani, na maisha yangu yana nini, au hata maisha ya familia ya baba yangu katika Israeli, kiasi cha kuwa mkwe wa mfalme?” 1 Samweli 18-19-19 |
8901 | 1KI 6:2 | Hekalu ambalo mfalme Sulemani alimjengea BWANA lilikuwa na urefu wa mita 27, na upana wa mita 9, na kimo cha mita 13. 5. |
8902 | 1KI 6:3 | Na ukumbi uliokuwa mbele ya hekalu ulikuwa na urefu wa mita 9 na upana wa mita 4. 5 sawa na upana wa sehemu kuu ya hekalu. |
8915 | 1KI 6:16 | Alijenga mita 9 ndani ya hekalu kwa mbao za miberoshi kutoka sakafuni hadi juu. Hiki ni chumba cha ndani, cha patakatifu sana. |
8919 | 1KI 6:20 | Kile chumba cha ndani kilikuwa na upana wa mita 9, na kimo cha mita 9. Sulemani alizifunika kuta kwa dhabahu na madhabahu aliifunika kwa mbao za mierezi. |
10625 | 1CH 9:6 | Kati ya uzao wa Zera alikuwa Yeuli. Uzao wao ulikuwa na namba 690. |
10628 | 1CH 9:9 | Ndugu zao waliandika kwenye orodha ya namba 956 ya vizazi vyao. Wanaume wote hawa walikuwa viongozi wa koo za mababu zao. |
12040 | EZR 2:8 | Wana wa Zatu: 945. |
12068 | EZR 2:36 | Wana wa Yedaya kuhani wa nyumba ya Yoshua: 973. |
12074 | EZR 2:42 | Walinzi: wana wa Shalumu, Ateri na, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai: 139 jumla. |
12446 | NEH 7:21 | Wana wa Ateri, wa Hezekia, 98. |
12450 | NEH 7:25 | Wana wa Gibeoni, 95. |
12463 | NEH 7:38 | Watu wa Senaa, 3, 930. |
12464 | NEH 7:39 | makuhani Wana wa Yedaya (wa nyumba ya Yeshua), 973. |
12485 | NEH 7:60 | Watumishi wote wa hekalu, na wana wa watumishi wa Sulemani, walikuwa 392. |
12600 | NEH 11:8 | Na baada yake, Gabai na Salai, watu 928. |
20603 | EZK 4:5 | Mimi mwenyewe nakuagiza kwako siku moja kuwakilisha kila mwaka wa adhabu yao: siku 390! Katika njia hii, utachukua dhambi ya nyumba ya Israeli. |
20607 | EZK 4:9 | Chukua ngano kwa ajili yako, shayiri, dengu, mtama, kusemethi; viweke kwenye chombo kimoja na tengeneza mkate kwa ajili yako kulingana na hesabu ya siku ambazo utakazo lala katika ya upande wako. Kwa siku 390 utaula. |
22161 | DAN 12:11 | Katika muda ule ambapo sadaka ya kawaida ya kuteketezwa itakapokuwa imeondolewa na chukizo la uharibifu liliosababisha ukiwa limesimamishwa, kutakuwa na siku zipatazo 1, 290. |
24951 | MRK 16:9 | (Zingatia: Nakala za kale hazina Marko 16: 9-20) Mapema katika siku ya kwanza ya juma, baada ya kufufuka, alimtokea kwanza Mariamu Magdalena, ambaye kutoka kwake alimtoa mapepo saba. |
24954 | MRK 16:12 | (Zingatia: Nakala za kale hazina Marko 16: 9-20) Baada ya hayo, akajitokeza katika namna tofauti kwa watu wengine wawili, wakati walipokuwa wakitembea kutoka katika nchi. |
24956 | MRK 16:14 | (Zingatia: Nakala za kale hazina Marko 16: 9-20) Yesu baadaye akajitokeza kwa wale kumi na mmoja walipokuwa wameegama katika meza, na akawakemea kwa kutokuamini kwao na ugumu wa mioyo, kwa sababu hawakuwaamini wale waliomwona baada ya kufufuka kutoka kwa wafu. |
24959 | MRK 16:17 | (Zingatia: Nakala za kale hazina Marko 16: 9-20) Ishara hizi zitaambatana na wote waaminio. Kwa jina langu watatoa pepo. Watasema kwa lugha mpya. |