2 | GEN 1:2 | Nayo nchi haikuwa na umbo na ilikuwa tupu. Giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji. Roho wa Mungu alikuwa akielea juu ya uso wa maji. |
44 | GEN 2:13 | Jina la mto wa pili ni Gihoni. Huu unatiririka kupitia nchi yote ya kushi. |
237 | GEN 10:2 | Wana wa Yafethi walikuwa Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Masheki, na Tirasi. |
238 | GEN 10:3 | Na wana wa Gomeri walikuwa Ashikenazi, Rifathi na Togama. |
254 | GEN 10:19 | Mpaka wa Wakanaani ulianzia Sidoni, katika mwelekeo wa Gerari, hata Gaza, na kama kuelekea Sodoma, Gomora, Adma, na Seboimu hata Lasha. |
258 | GEN 10:23 | Wana wa Aramu walikuwa ni Usi, Huli, Getheri, na Mashi. |
329 | GEN 13:10 | Kwa hiyo Lutu akatazama, na akaona kuwa nchi yote tambarare ya Yorodani ilikuwa na maji kila mahali hadi Zoari, kama vile bustani ya Yahwe, na kama nchi ya Misri. Hii ilikuwa ni kabla Yahwe hajaiangamiza Sodoma na Gomora. |
338 | GEN 14:1 | Ikiwa katika siku za Amrafeli, mfalme wa shinari, Arioko, mfalme wa Elasari, Kedorlaoma, mfalme wa Elam na Tidali, mfalme wa Goimu, |
339 | GEN 14:2 | walifanya vita dhidi ya Bera mfalme wa Sodoma, Birsha, mfalme wa Gomora, Shinabu, mfalme wa Adma, Shemeberi, mfalme wa Seboim, na mfalme wa Bela(pia ikiitwa Soari). |
345 | GEN 14:8 | Kisha mfalme wa Sodoma, mfalme wa Gomora, mfalme wa Adma, mfalme wa Seboim, na mfalme wa Bela (pia ikiitwa Soari) walikwenda na kuandaa vita |
346 | GEN 14:9 | dhidi ya Kadorlaoma, mfalme wa Elam, Tidali mfalme wa Goim, Amrafeli, mfalme wa Shinari, Arioki, mfalme wa Elasari; wafme wanne dhidi ya wale watano. |
347 | GEN 14:10 | Na sasa bonde la Sidimu lilikuwa limejaa mashimo ya lami, na wafalme wa Sodoma na Gomora walipokimbia, wakaanguka pale. Wale waliosalia wakakimbilia milimani. |
348 | GEN 14:11 | Kwa hiyo adui akachukua mali zote za Sodoma na Gomora na vyakula vyao vyote, na wakaenda zao, |
445 | GEN 18:20 | Kisha Yahwe akasema, “Kwa sababu kilio cha Sodoma na Gomora ni kikuu, na kwa kuwa dhambi yao ni kubwa, |
482 | GEN 19:24 | Kisha Yahwe akanyesha juu ya Sodoma na Gomora kiberiti na moto toka kwa Yahwe mbinguni. |
486 | GEN 19:28 | Akatazama chini kuelekea Sodoma na Gomora na kuelekea katika nchi yote bondeni. Akaona na tazama, moshi ulikuwauki ukienda juu kutoka chini kama moshi wa tanuru. |
497 | GEN 20:1 | Abraham akasafiri kutoka pale hadi nchi ya Negebu, na akakaa kati ya Kadeshi na Shuri. Akawa mgeni akiishi Gerari. |
498 | GEN 20:2 | Abraham akasema kususu mkewe Sara, “ni dada yangu.” Kwa hiyo Abimeleki mfalme wa Gerari akatuma watu wake kumchukua Sara. |
572 | GEN 22:24 | Suria wake, ambaye aliitwa Reuma, pia akamzaa Teba, Gahamu, Tahashi, na Maaka. |
694 | GEN 26:1 | Basi njaa ikatokea katika nchi, mbali na njaa ya kwanza iliyotokea siku za Ibrahimu. Isaka akaenda kwa Abimeleki, mfalme wa Wafilisiti huko Gerari. |
699 | GEN 26:6 | Hivyo Isaka akakaa Gerari. |
710 | GEN 26:17 | Hivyo Isaka akaondoka pale na kukaa katika bonde la Gerari, na kuishi pale. |
713 | GEN 26:20 | Wachungaji wa Gerari wakagombana na wachungaji wa Isaka, na kusema, “Haya ni maji yetu.”Hivyo Isaka akakiita kisima hicho “Eseki,” kwa sababu waligombana naye. |
719 | GEN 26:26 | Kisha Abimeleki akamwendea kutoka Gerari, pamoja na Ahuzathi, rafiki yake, na Fikoli, jemedari wa jeshi. |
842 | GEN 30:11 | Lea akasema, “Hii ni bahati njema!” Hivyo akamwita jina lake Gadi. |
895 | GEN 31:21 | Hivyo akaondoka na vyote alivyokuwa navyo na kwa haraka akavuka mto, na akaenda kuelekea nchi ya vilima ya Gileadi. |
897 | GEN 31:23 | Hivyo akawachukua ndugu zake pamoja naye na kumfuatia kwa safari ya siku saba. Akampata katika nchi ya vilima ya Gileadi. |
899 | GEN 31:25 | Labani akampata Yakobo. Basi Yakobo alikuwa amepiga hema yake katika nchi ya vilima. Labani pia akapiga kambi pamoja na ndugu zake katika nchi ya kilima ya Gileadi. |
921 | GEN 31:47 | Labani aliliita Yega Saha Dutha, lakini Yakobo akaiita Galeedi |
922 | GEN 31:48 | Labani akasema, “Rundo hili ni shahidi kati yangu nawe leo.” Kwa hiyo jina lake likaitwa Galedi. |
1038 | GEN 35:26 | Wana wa Zilpa, mjakazi wa Lea, walikuwa Gadi na Asheri. Hawa wote walikuwa wana wa Yakobo waliozaliwa kwake huko Padani Aramu. |
1052 | GEN 36:11 | Wana wa Elifazi walikuwa Temani, Omari, Zefo, Gatamu, na Kenazi. |
1057 | GEN 36:16 | Gatamu, na Amaleki. Hivi vilikuwa vizazi vya koo kutoka kwa Elifazi katika nchi ya Edomu. Walikuwa wajukuu wa Ada. |
1109 | GEN 37:25 | Wakakaa chini kula mkate. Walipoinua macho yao na kuangalia, na, tazama, msafara wa Waishmaeli ulikuwa ukija kutoka Gileadi, pamoja na ngamia wao waliochukua viungo, malhamu na manemane. Walikuwa wakisafiri kuvichukua kuelekea Misri. |
1369 | GEN 45:10 | Utaishi katika nchi ya Gosheni, nawe utakuwa karibu nami, wewe na watoto wako na watoto wa watoto wako, na kondoo wako na mbuzi wako, na yote uliyonayo. |
1398 | GEN 46:11 | wana wa Lawi Gershoni, Kohathi, na Merari. |
1403 | GEN 46:16 | Wana wa Gadi walikuwa Zifioni, Hagi, Shuni, Ezboni, Eri, Arodi, na Areli. |
1408 | GEN 46:21 | Wana wa Benjamini walikuwa Bela, Bekeri, Ashbeli, Gera, Naamani, Ehi, Roshi, Mupimu, Hupimu, na Ardi. |
1411 | GEN 46:24 | Wana wa Naftali walikuwa Yahzeeli, Guni, Yezeri, na Shilemi. |
1415 | GEN 46:28 | Yakobo akamtuma Yuda kuwatangulia mbele kwa Yusufu kuonesha njia mbele yake kwenda Gosheni, nao wakaja katika eneo la Gosheni. |
1416 | GEN 46:29 | Yusufu akaandaa kibandawazi chake na akaenda kumlaki baba yake huko Gosheni. Akamwona, akaikumbatia shingo yake, na akalia shingoni mwake kwa kitambo. |
1421 | GEN 46:34 | mwambieni, 'Watumishi wako wamekuwa watunza wanyama tangu ujana wetu mpaka sasa, sisi, na baba zetu.' Fanyeni hivyo ili mweze kuishi katika nchi ya Gosheni, kwani kila mfugaji ni chukizo kwa Wamisri.” |
1422 | GEN 47:1 | Kisha Yusufu akaingia kwa Farao na kumwambia, “Baba yangu na ndugu zangu, kondoo wao, mbuzi wao, na yote waliyonayo, wamefika kutoka katika nchi ya Kanaani. Tazama, wapo katika nchi ya Gosheni.” |
1425 | GEN 47:4 | Kisha wakamwambia Farao, “Tumekuja kukaa kwa muda katika nchi. Hakuna malisho kwa ajili ya makundi ya watumishi wako, kwa maana njaa ni kali sana katika nchi ya Kanaani. Hivyo, tafadhari waache watumishi wako wakae katika nchi ya Gosheni.” |
1427 | GEN 47:6 | Nchi ya Misri iko mbele yako. Mkalishe baba yako na ndugu zako katika eneo zuri, nchi ya Gosheni. Ikiwa unafahamu watu wenye uwezo miongoni mwao, uwaweke kuwatunza wanyama wangu.” |
1448 | GEN 47:27 | Hivyo Israeli akaishi katika nchi ya Misri, katika eneo la Gosheni. Watu wake wakapata umiliki pale. Walikuwa wenye kuzaa na kuongezeka sana. |
1493 | GEN 49:19 | Gadi - wapanda farasi watamshambulia, lakini yeye atawapiga katika visigino vyao. |
1515 | GEN 50:8 | pamoja na nyumba yote ya Yusufu na ndugu zake, na nyumba yote ya baba yake. Lakini watoto wao, kondoo wao na makundi ya mbuzi wao yaliachwa katika nchi ya Gosheni. |
1537 | EXO 1:4 | Dani, Naftali, Gadi, na Asheri. |
1577 | EXO 2:22 | Alizaa mtoto wa kiume, na Musa akamwita jina lake Geshomu; akisema; “Nimekuwa mkazi katika nchi ya ugeni.” |
1672 | EXO 6:16 | Hapa yameorodheshwa majina ya wana wa Lawi, pamoja na uzo wao. Walikuwa ni Gerishoni, Kohathi, na Merari. Lawi aliishi mpaka alipo kuwa na miaka 137. |
1673 | EXO 6:17 | Wana wa Gerishoni walikuwa Libni na Shimei. |
1733 | EXO 8:18 | Lakini katika siku hiyo nitaitendea nchi ya Gosheni tofauti, nchi ambayo watu wangu wanaishi, ilikwamba kusiwe na makundi ya nzi huko. Hili litatokea ili kwamba mjue mimi ni Yahweh katika hii nchi. |
1769 | EXO 9:26 | Isipo kuwa tu nchi ya Gosheni, walipo ishi Waisraeli, hapakuwa na mawe ya barafu. |
2003 | EXO 18:3 | na wana wake wawili; jina mmoja lilikuwa Gershomu, kwa kuwa Musa alisema, “Nimekuwa mgeni katika nchi ya kigeni.” |
2451 | EXO 32:12 | Kwa nini Wamisri kusema, 'Amewatoa kwa kuwatenda uovu, ili apate kuwaua milimani, na kuwaondoa watoke juu ya uso wa nchi?' Geuka katika hasira yako kali, ughairi uovu huu ulio nao juu ya watu wako. |
3596 | LEV 27:25 | Tathmani yote lazima ifanywe kwa uzani wa shekeli ya mahali pa patakatifu. Gera ishirini kwa shekeli moja. |
3615 | NUM 1:10 | kutoka kabila la Efraimu mwana wa Yusufu, Elishama mwana wa Ammihudi; kutoka kabila la Manase, Gamaliel mwan wa Pedazuri; |
3616 | NUM 1:11 | kutoka kabila la Benjamini mwana wa Ysufu, Abidani mwan wa Gidion; |
3619 | NUM 1:14 | kutoka kabila la Gadi, Eliasafu mwana wa Deuli; |
3629 | NUM 1:24 | Kutoka uzao wa Gadi yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia. |
3630 | NUM 1:25 | Walihesabu wanaume 45, 650 kutoka kabila la Gadi. |
3673 | NUM 2:14 | Kabila la Gadi litafuatia. Kiongozi wa watu wa Gadi ni Eliasafu mwana wa Deuli. |
3679 | NUM 2:20 | Baada ya hao lilifuata kabila la Manase. Kiongozi wa Manase ni Gamaliel mwana wa Pedazuri. |
3681 | NUM 2:22 | Kabila litakalofuata ni la Benjamini. Kiongozi wa Benjamini n Abidani mwana wa Gidioni. |
3710 | NUM 3:17 | Majina ya watoto waLawi yalikuwa Gerishoni, Kohathi, na Merari. |
3711 | NUM 3:18 | Ukoo uliotokana na watoto wa Gerishoni walikuwa ni Libni na Shimei. |
3718 | NUM 3:25 | Familia ya Gerishoni watalilinda hema la kukutania pamoja na hiyo masikani. Watalilinda hema, kifuniko chake, na lile pazia la lango la hema ya kukutania. |
3765 | NUM 4:21 | BWANA akanena na Musa tena, Akasema, “Fanya sensa kwa wana Gerishoni pia, kwa kufuata familia za mababu zao, koo zao. |
3768 | NUM 4:24 | Hii ndiyo itakuwa kazi ya koo za Gerishoni, wanapotumikia na wanachobeba. |
3782 | NUM 4:38 | Uzao wa Gerishoni walihesabiwa kufuata koo na familia za mababu zao, |
3785 | NUM 4:41 | Musa na Haruni walizihesabu koo za uzao wa Gerishoni ambao watatumika kwenye hema ya kukutania. Walifanya hivi ili kutii ambacho BWANA aliwaamuru kufanya kuptia kwa Musa. |
3858 | NUM 7:7 | Aliwapa magari mawili na mafahari wanne wale wa uzao wa Gerishoni, kwa sababu ndivyo kazi yao ilivyohitaji. |
3893 | NUM 7:42 | Siku ya sita, Eliasafu mwana wa Deuli, kiongozi wa uzao wa Gadi, alitoa sadaka yake. |
3905 | NUM 7:54 | Siku y a nane, Gamaliel mwana wa Pedazuri, kiongozi wa uzao wa Manase, alitoa sadaka yake. |
3910 | NUM 7:59 | Alitoa maksai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Gamaliel mwana wa Pedazuri. |
3911 | NUM 7:60 | Siku ya tisa, Abidani mwana wa Gidioni, kiongozi wa uzao wa Benjamini, alitoa sadaka yake. |
3916 | NUM 7:65 | Alitoa makisai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Abidani mwana wa Gidioni. |
4006 | NUM 10:17 | Uzao wa Gerishoni na Merari, ambao walitunza masikani, na kuanza kusafiri. |
4009 | NUM 10:20 | Eliasafu mwana Deuli aliliongoza jeshi la kabila la uzao wa Gadi. |
4012 | NUM 10:23 | Gamalieli mwana wa Pedazuri aliongoza jeshi la uzao wa Manase. |
4013 | NUM 10:24 | Abidani mwana wa Gidioni aliongoza jeshi la uzao wa kabila la Benjamini. |
4086 | NUM 13:10 | kutoka kabila ya Zabuloni, Gadieli mwana wa Sodi; |
4087 | NUM 13:11 | kutoka kabila la Yusufu (hiyo inamaanisha kutoka kabila la Manase), Gadi mwana wa Susi; |
4088 | NUM 13:12 | kutoka kabila la Dani, Amieli mwana wa Gemalili; |
4091 | NUM 13:15 | kutoka kabila la Gadi, Geuli mwana wa Machi. |
4506 | NUM 26:15 | Koo za uzao wa Gadi zilikuwa hizi: Kwa Zefoni, Ukoo wa Wazefoni, kwa Hagi, ukoo wa Wahagi, kwa Shuni, ukoo wa Washuni, |
4509 | NUM 26:18 | Hizi ndizo koo za uzao wa Gadi, idadi yao walikuwa wanaume 40, 500. |
4520 | NUM 26:29 | Huu ndio uliokuwa uzao wa Manase: Kwa Machiri, ukoo wa Wamachiri (Machiri ndiye aliyekuwa baba wa Giliedi), kwa Giliedi, ukoo wa Wagiliedi. |
4521 | NUM 26:30 | Wazo wa Giliedi walikuwa hawa wfuatao: Kwa Lezeri, ukoo wa Walezeri, kwa Helweki, ukoo wa Waheleki, kwa Asrieli, |
4539 | NUM 26:48 | Koo za uzao wa Naftali zilikuwa zifuatazo: Kwa Jahazeeli, ukoo wa Wajahazeel, kwa Guni, ukoo wa Waguni, |
4548 | NUM 26:57 | Koo za Walawi, zilizohesabiwa kwa kufuata ukoo kwa ukoo, walikuwa hivi: Kwa Gerishoni, ukoo wa Wagerishoni, kwa Kohathi, ukoo wa Wakohathi, kwa Merari, ukoo wa Wamerari. |
4557 | NUM 27:1 | Kisah wakaja kwa Musa binti wa Zelofehadi mwana wa Hefa mwana wa Gilied mwana wa Machiri mwana wa Manase, wa ukoo wa Manase mwana wa Yusufu. Hawa ndio waliokuwa binti zake: Mahala, Noha, Hogla, Milika, na Tiriza. |
4721 | NUM 32:1 | Sasa wana wa uzao wa Reubeni na wa Gadi walikuwa na idadi kubwa ya wanyama. Waliiona ardhi ya Jazeri na Gileadi, kuwa ni ardhi nzuri kwa mifugo. |
4722 | NUM 32:2 | Kwa hiyo wana wa Gadi na wa Reubeni wakaja kumwambia Musa, na Eliazari kuhani, na viongozi wa watu. Wakasema, |
4726 | NUM 32:6 | Musa akawajibu wale wana wa auzao wa Gadi na Reubeni, “Je, mngependa ndugu zenu waende vitani wakati ninyi mkikaa hapa? |