Wildebeest analysis examples for:   swh-swhulb   'Word,'    February 25, 2023 at 01:16    Script wb_pprint_html.py   by Ulf Hermjakob

54  GEN 2:23  Mwanaume akasema, “kwa sasa, huyu ni mfupa katika mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu. ataitwa 'mwanamke,' kwa sababu ametwaliwa katika mwanaume.
18630  ISA 44:27  awezae kusema kwa bahari kubwa, 'Kauka,' na yanakauka mda huo.'
21969  DAN 5:26  Maana yake ni: 'Mene,' 'Mungu ameuhesabu ufalme wako na ameukomesha.'
23997  MAT 23:10  Wala msije kuitwa 'walimu,' kwa kuwa mnaye Mwalimu mmoja tu, yaani Kristo.
25724  LUK 17:4  Kama akikukosea mara saba kwa siku moja na mara saba kwa siku moja akaja kwako akisema, 'ninatubu,' msamehe!”
26034  LUK 23:30  Ndipo watakapo anza kuiambia milima, 'Tuangukieni,' na vilima, 'Mtufunike.'
26151  JHN 1:38  Tena Yesu aligeuka na kuwaona wanafunzi wale wakimfuata, na akawambia, “Mnataka nini?” Wakajibu, “Rabbi, (maana yake 'mwalimu,' unaishi wapi?”
26505  JHN 8:55  Ninyi hamjamjua yeye, lakini mimi namjua yeye. Ikiwa nitasema, 'simjui,' nitakuwa kama nyinyi, muongo. Hata hivyo, ninamjua na maneno yake nimeyashika.
26550  JHN 9:41  Yesu akawaambia, “Kama mngelikuwa vipofu, msingelikuwa na dhambi. Hata hivyo, sasa mnasema, 'Tunaona,' dhambi yenu inakaa.”
26586  JHN 10:36  mnasema juu ya yule ambaye Baba alimtoa na kumtuma katika ulimwengu, 'Unakufuru,' kwa sababu nilisema, 'mimi ni Mwana wa Mungu'?