|
24574 | Akawauliza, “mna vipande vingapi vya mikate?” Wakasema, “Saba”. | |
24650 | Kama mkono wako ukikukosesha ukate. Ni heri kuingia katika uzima bila mkono kuliko kuingia kwenye hukumu ukiwa na mikono yote. Katika moto “usiozimika”. | |
25277 | Alipomwona, Bwana akamsogelea kwa huruma kubwa sana juu yake na akamwambia, “Usilie”. |