Wildebeest analysis examples for:   swh-swh1850   “Word.”)    February 11, 2023 at 19:39    Script wb_pprint_html.py   by Ulf Hermjakob

26155  JHN 1:42  Kisha akampeleka Simoni kwa Yesu. Naye Yesu akamtazama Simoni akasema, “Wewe ni Simoni mwana wa Yohane. Sasa utaitwa Kefa.” (maana yake ni Petro, yaani, “Mwamba.”)
30906  REV 8:11  (Nyota hiyo inaitwa “Uchungu.”) Basi, theluthi moja ya maji yakawa machungu; watu wengi wakafa kutokana na maji hayo, kwa sababu yaligeuka kuwa machungu.