Wildebeest analysis examples for:   swh-swhonen   ]    February 11, 2023 at 19:39    Script wb_pprint_html.py   by Ulf Hermjakob

23364  MAT 6:13  Usitutie majaribuni, bali utuokoe kutoka kwa yule mwovu [kwa kuwa Ufalme ni wako, na nguvu, na utukufu, hata milele. Amen].’
23790  MAT 17:21  Lakini hali kama hii haitoki ila kwa kuomba na kufunga.]
23807  MAT 18:11  Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kuokoa kile kilichopotea.]
24001  MAT 23:14  Ole wenu walimu wa sheria na Mafarisayo, enyi wanafiki! Mnakula katika nyumba za wajane, nanyi kwa kujifanya kuwa wema, mnasali sala ndefu. Kwa hiyo hukumu yenu itakuwa kuu zaidi.]
24233  MAT 27:35  Walipokwisha kumsulubisha wakagawana mavazi yake kwa kuyapigia kura. [Hili lilifanyika ili litimie lile neno lililonenwa na nabii, “Waligawa nguo zangu miongoni mwao na vazi langu wakalipigia kura.”]
24548  MRK 7:16  Kama mtu yeyote ana masikio ya kusikia na asikie.]
24651  MRK 9:44  Mahali ambako funza wake hawafi wala moto wake hauzimiki.]
24653  MRK 9:46  Mahali ambako funza wake hawafi wala moto hauzimiki.]
24735  MRK 11:26  Lakini kama ninyi msiposamehe, wala Baba yenu aliye mbinguni hatawasamehe ninyi makosa yenu.]
24923  MRK 15:28  Nayo maandiko yakatimizwa, yale yasemayo, “Alihesabiwa pamoja na watenda dhambi.]
24962  MRK 16:20  Kisha wanafunzi wake wakatoka, wakahubiri kila mahali, naye Bwana akatenda kazi pamoja nao na kulithibitisha neno lake kwa ishara zilizofuatana nalo.]
25756  LUK 17:36  Wanaume wawili watakuwa wanafanya kazi pamoja shambani; mmoja atachukuliwa na mwingine ataachwa.]
26021  LUK 23:17  Kwa kuwa ilikuwa lazima kuwafungulia mfungwa mmoja wakati wa Sikukuu.]
26283  JHN 5:4  Kwa maana malaika alikuwa akishuka wakati fulani, akayatibua maji. Yule aliyekuwa wa kwanza kuingia ndani baada ya maji kutibuliwa alipona ugonjwa wowote aliokuwa nao].
26461  JHN 8:11  Yule mwanamke akajibu, “Hakuna hata mmoja Bwana.” Yesu akamwambia, “Hata mimi sikuhukumu. Nenda zako, kuanzia sasa usitende dhambi tena.”]
27282  ACT 8:37  Filipo akamwambia, “Kama ukiamini kwa moyo wako wote unaweza kubatizwa.” Akajibu, “Naamini kuwa Yesu Kristo ni Mwana wa Mungu.”]
27545  ACT 15:34  Lakini Sila bado akaendelea kukaa huko.]
27845  ACT 24:8  akiwaamuru washtaki wake waje mbele yako: ili] kwa kumchunguza wewe mwenyewe unaweza kujua kutoka kwake mambo yote tunayomshtaki kwayo.”
27996  ACT 28:29  Naye akiisha kusema maneno haya, Wayahudi wakaondoka wakiwa na hoja nyingi miongoni mwao.]
28428  ROM 16:24  Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe pamoja nanyi nyote. Amen.]
30699  1JN 5:8  Pia wako mashahidi watatu duniani]: Roho, Maji na Damu; hawa watatu wanakubaliana katika umoja.