109 | GEN 5:3 | Adamu alipokuwa ameishi miaka 130, alikuwa na mwana aliyekuwa na sura yake, mwenye kufanana naye. Akamwita Sethi. |
110 | GEN 5:4 | Baada ya Sethi kuzaliwa, Adamu aliishi miaka 800, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike. |
111 | GEN 5:5 | Adamu aliishi jumla ya miaka 930, ndipo akafa. |
112 | GEN 5:6 | Sethi alipokuwa ameishi miaka 105, akamzaa Enoshi. |
113 | GEN 5:7 | Baada ya kumzaa Enoshi, Sethi aliishi miaka 807, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike. |
117 | GEN 5:11 | Enoshi aliishi jumla ya miaka 905, ndipo akafa. |
119 | GEN 5:13 | Baada ya kumzaa Mahalaleli, Kenani aliishi miaka 840, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike. |
120 | GEN 5:14 | Kenani aliishi jumla ya miaka 910, ndipo akafa. |
122 | GEN 5:16 | Baada ya kumzaa Yaredi, Mahalaleli aliishi miaka 830, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike. |
125 | GEN 5:19 | Baada ya kumzaa Enoki, Yaredi aliishi miaka 800, naye akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike. |
128 | GEN 5:22 | Baada ya kumzaa Methusela, Enoki alitembea na Mungu miaka 300, na akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike. |
138 | GEN 5:32 | Baada ya Noa kuishi miaka 500, aliwazaa Shemu, Hamu na Yafethi. |
141 | GEN 6:3 | Ndipo Bwana akasema, “Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele, kwa kuwa yeye ni wa kufa, siku zake zitakuwa miaka 120.” |
153 | GEN 6:15 | Hivi ndivyo utakavyoitengeneza: Safina iwe na urefu wa dhiraa 300, upana wake dhiraa hamsini na kimo chake dhiraa thelathini. |
166 | GEN 7:6 | Noa alikuwa na miaka 600 gharika ilipokuja juu ya dunia. |
171 | GEN 7:11 | Katika siku ya kumi na saba ya mwezi wa pili mwaka wa 600 wa kuishi kwake Noa, siku hiyo ndipo chemchemi zote hata zilizo chini sana ya ardhi zilibubujika kwa nguvu, na malango ya mafuriko ya mbinguni yakafunguliwa. |
184 | GEN 7:24 | Maji yakaifunika dunia kwa siku 150. |
187 | GEN 8:3 | Maji yakaendelea kupungua taratibu katika nchi. Kunako mwisho wa siku ya 150, maji yalikuwa yamepungua, |
197 | GEN 8:13 | Katika siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza ya mwaka 601, wa kuishi kwake Noa, maji yalikuwa yamekauka duniani. Kisha Noa akafungua mlango wa safina akaona ya kuwa uso wa ardhi ulikuwa umekauka. |
234 | GEN 9:28 | Baada ya gharika Noa aliishi miaka 350. |
235 | GEN 9:29 | Noa alikuwa na jumla ya miaka 950, ndipo akafa. |
277 | GEN 11:10 | Hivi ndivyo vizazi vya Shemu. Miaka miwili baada ya gharika, Shemu alipokuwa na miaka 100, akamzaa Arfaksadi. |
278 | GEN 11:11 | Baada ya kumzaa Arfaksadi, Shemu aliishi miaka 500, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike. |
280 | GEN 11:13 | Baada ya Arfaksadi kumzaa Shela, aliishi miaka 403, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike. |
282 | GEN 11:15 | Shela baada ya kumzaa Eberi, aliishi miaka 403, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike. |
284 | GEN 11:17 | Baada ya Eberi kumzaa Pelegi, aliishi miaka 430, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike. |
286 | GEN 11:19 | Baada ya Pelegi kumzaa Reu, aliishi miaka 209, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike. |
288 | GEN 11:21 | Baada ya Reu kumzaa Serugi, aliishi miaka 207, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike. |
290 | GEN 11:23 | Baada ya Serugi kumzaa Nahori, aliishi miaka 200, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike. |
299 | GEN 11:32 | Tera alikufa huko Harani akiwa na miaka 205. |
519 | GEN 21:5 | Abrahamu alikuwa na miaka 100 wakati Isaki mwanawe alipozaliwa. |
587 | GEN 23:15 | “Nisikilize, bwana wangu, thamani ya ardhi hiyo ni shekeli 400 za fedha, lakini hiyo ni nini kati yako na mimi? Mzike maiti wako.” |
588 | GEN 23:16 | Abrahamu akakubali masharti ya Efroni, akampimia ile fedha aliyotaja masikioni mwa Wahiti: Shekeli 400 za fedha kulingana na viwango vya uzito vilivyokuwa vikitumika wakati huo na wafanyabiashara. |
935 | GEN 32:7 | Wajumbe waliporudi kwa Yakobo, wakamwambia, “Tulikwenda kuonana na ndugu yako Esau, naye sasa anakuja kukulaki akifuatana na wanaume 400.” |
943 | GEN 32:15 | Mbuzi waume ishirini na mbuzi wake 200, kondoo dume ishirini na kondoo wake 200. |
962 | GEN 33:1 | Yakobo akainua macho akamwona Esau akija na watu wake 400, kwa hiyo akawagawanya watoto kati ya Lea, Raheli na wale watumishi wake wawili wa kike. |
1040 | GEN 35:28 | Isaki aliishi miaka 180. |
1381 | GEN 45:22 | Kila mmoja mavazi mapya, lakini Benyamini akampa shekeli 300 za fedha, na jozi tano za nguo. |
1430 | GEN 47:9 | Naye Yakobo akamwambia Farao, “Siku za miaka ya kusafiri kwangu ni miaka 130. Miaka yangu imekuwa michache na ya taabu, wala haikufikia miaka ya kusafiri ya baba zangu.” |
1529 | GEN 50:22 | Yosefu akakaa katika nchi ya Misri, yeye pamoja na jamaa yote ya baba yake. Akaishi miaka 110, |
1533 | GEN 50:26 | Kwa hiyo Yosefu akafa akiwa na umri wa miaka 110. Baada ya kumtia dawa ili asioze, akawekwa kwenye jeneza huko Misri. |
1854 | EXO 12:37 | Waisraeli wakasafiri kutoka Ramesesi mpaka Sukothi. Walikuwepo wanaume wapatao 600,000 waendao kwa miguu bila kuhesabu wanawake na watoto. |
1857 | EXO 12:40 | Waisraeli walikuwa wameishi Misri kwa muda wa miaka 430. |
1858 | EXO 12:41 | Ilikuwa ni siku ya mwisho ya hiyo miaka 430, vikosi vyote vya Bwana vilipokuwa vimeondoka Misri. |
2406 | EXO 30:23 | “Chukua vikolezi bora vifuatavyo: shekeli 500 za manemane ya maji, shekeli 250 za mdalasini wenye harufu nzuri, shekeli 250 za miwa yenye harufu nzuri, |
2407 | EXO 30:24 | shekeli 500 za aina nyingine ya mdalasini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, pia hini ya mafuta ya zeituni. |
2467 | EXO 32:28 | Walawi wakafanya kama Mose alivyoamuru, siku ile wakafa watu wapatao 3,000. |
2658 | EXO 38:24 | Jumla ya dhahabu iliyopatikana kutokana na sadaka ya kuinuliwa kwa ajili ya kazi ya mahali patakatifu ilikuwa na uzito wa talanta 29 na shekeli 730, kulingana na shekeli ya mahali patakatifu. |
2660 | EXO 38:26 | Kila mtu alitoa beka moja, ambayo ni sawa na nusu shekeli ya fedha, kwa kazi ya mahali patakatifu, kutoka kwa kila mtu aliyekuwa amehesabiwa mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi, ambao jumla yao walikuwa wanaume 603,550. |
2661 | EXO 38:27 | Talanta hizo 100 za fedha zilitumika kusubu vile vitako mia moja kwa ajili ya mahali patakatifu na pazia: vitako mia moja kwa talanta mia, yaani, talanta moja kwa kila kitako. |
2663 | EXO 38:29 | Shaba iliyopatikana kutokana na sadaka ya kuinuliwa ilikuwa na uzito wa talanta 70 na shekeli 2,400. |
3626 | NUM 1:21 | Idadi kutoka kabila la Reubeni ilikuwa watu 46,500. |
3628 | NUM 1:23 | Idadi kutoka kabila la Simeoni walikuwa watu 59,300. |
3630 | NUM 1:25 | Idadi kutoka kabila la Gadi walikuwa watu 45,650. |
3632 | NUM 1:27 | Idadi kutoka kabila la Yuda walikuwa watu 74,600. |
3634 | NUM 1:29 | Idadi kutoka kabila la Isakari walikuwa watu 54,400. |
3636 | NUM 1:31 | Idadi kutoka kabila la Zabuloni walikuwa watu 57,400. |
3638 | NUM 1:33 | Idadi kutoka kabila la Efraimu walikuwa watu 40,500. |
3640 | NUM 1:35 | Idadi kutoka kabila la Manase walikuwa watu 32,200. |
3642 | NUM 1:37 | Idadi kutoka kabila la Benyamini walikuwa watu 35,400. |
3644 | NUM 1:39 | Idadi kutoka kabila la Dani walikuwa watu 62,700. |
3646 | NUM 1:41 | Idadi kutoka kabila la Asheri walikuwa watu 41,500. |
3648 | NUM 1:43 | Idadi kutoka kabila la Naftali walikuwa watu 53,400. |
3651 | NUM 1:46 | Jumla ya hesabu yao ilikuwa watu 603,550. |
3663 | NUM 2:4 | Kundi lake lina watu 74,600. |
3665 | NUM 2:6 | Kundi lake lina watu 54,400. |
3667 | NUM 2:8 | Kundi lake lina watu 57,400. |
3668 | NUM 2:9 | Wanaume wote walio katika kambi ya Yuda, kufuatana na makundi yao, ni 186,400. Wao watatangulia kuondoka. |
3670 | NUM 2:11 | Kundi lake lina watu 46,500. |
3672 | NUM 2:13 | Kundi lake lina watu 59,300. |
3674 | NUM 2:15 | Kundi lake lina watu 45,650. |
3675 | NUM 2:16 | Wanaume wote walio katika kambi ya Reubeni, kufuatana na makundi yao, ni 151,450. Nao watakuwa nafasi ya pili kuondoka. |
3678 | NUM 2:19 | Kundi lake lina watu 40,500. |
3680 | NUM 2:21 | Kundi lake lina watu 32,200. |
3682 | NUM 2:23 | Kundi lake lina watu 35,400. |
3683 | NUM 2:24 | Wanaume wote walio katika kambi ya Efraimu kufuatana na makundi yao ni 108,100. Nao watakuwa nafasi ya tatu kuondoka. |
3685 | NUM 2:26 | Kundi lake lina watu 62,700. |
3687 | NUM 2:28 | Kundi lake lina watu 41,500. |
3689 | NUM 2:30 | Kundi lake lina watu 53,400. |
3690 | NUM 2:31 | Wanaume wote walio katika kambi ya Dani ni 157,600. Wao watakuwa wa mwisho kuondoka chini ya alama yao. |
3691 | NUM 2:32 | Hawa ndio Waisraeli, wakiwa wamehesabiwa kufuatana na jamaa zao. Wote walio kambini kwa makundi yao ni watu 603,550. |
3715 | NUM 3:22 | Idadi ya waume wote waliokuwa na mwezi mmoja au zaidi waliohesabiwa walikuwa 7,500. |
3721 | NUM 3:28 | Hesabu ya waume wote wenye mwezi mmoja au zaidi ilikuwa watu 8,600. Wakohathi waliwajibika kutunza mahali patakatifu. |
3727 | NUM 3:34 | Hesabu ya waume wote wenye umri wa mwaka mmoja au zaidi waliohesabiwa walikuwa 6,200. |
3732 | NUM 3:39 | Jumla ya hesabu ya Walawi waliohesabiwa na Mose na Aroni kwa amri ya Bwana, kufuatana na koo, pamoja na kila mume mwenye umri wa mwezi mmoja au zaidi, walikuwa 22,000. |
3780 | NUM 4:36 | waliohesabiwa kwa koo zao, walikuwa 2,750. |
3784 | NUM 4:40 | waliohesabiwa kwa koo zao na jamaa zao, walikuwa 2,630. |
3788 | NUM 4:44 | waliohesabiwa kwa koo zao, walikuwa 3,200. |
3792 | NUM 4:48 | walikuwa watu 8,580. |
3864 | NUM 7:13 | Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka; |
3870 | NUM 7:19 | Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka; |