129 | GEN 5:23 | Enoki aliishi jumla ya miaka 365. |
184 | GEN 7:24 | Maji yakaifunika dunia kwa siku 150. |
234 | GEN 9:28 | Baada ya gharika Noa aliishi miaka 350. |
299 | GEN 11:32 | Tera alikufa huko Harani akiwa na miaka 205. |
666 | GEN 25:7 | Kwa jumla, Abrahamu aliishi miaka 175. |
676 | GEN 25:17 | Kwa jumla Ishmaeli aliishi miaka 137. Akapumua pumzi ya mwisho, akafa, naye akakusanywa pamoja na watu wake. |
943 | GEN 32:15 | Mbuzi waume ishirini na mbuzi wake 200, kondoo dume ishirini na kondoo wake 200. |
1040 | GEN 35:28 | Isaki aliishi miaka 180. |
1430 | GEN 47:9 | Naye Yakobo akamwambia Farao, “Siku za miaka ya kusafiri kwangu ni miaka 130. Miaka yangu imekuwa michache na ya taabu, wala haikufikia miaka ya kusafiri ya baba zangu.” |
1449 | GEN 47:28 | Yakobo akaishi Misri miaka kumi na saba, nayo miaka ya maisha yake ilikuwa 147. |
1533 | GEN 50:26 | Kwa hiyo Yosefu akafa akiwa na umri wa miaka 110. Baada ya kumtia dawa ili asioze, akawekwa kwenye jeneza huko Misri. |
1672 | EXO 6:16 | Haya ndiyo majina ya wana wa Lawi kufuatana na orodha zao: Gershoni, Kohathi na Merari. Lawi aliishi miaka 137. |
1674 | EXO 6:18 | Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli. Kohathi aliishi miaka 133. |
1676 | EXO 6:20 | Amramu akamwoa Yokebedi, shangazi yake, ambaye alimzalia Aroni na Mose. Amramu aliishi miaka 137. |
1857 | EXO 12:40 | Waisraeli walikuwa wameishi Misri kwa muda wa miaka 430. |
3937 | NUM 7:86 | Sahani kumi na mbili za dhahabu zilizojazwa uvumba zilikuwa na uzito wa shekeli kumi kila moja, kulingana na shekeli ya mahali patakatifu. Kwa jumla, sahani za dhahabu zilikuwa na uzito wa shekeli 120. |
4501 | NUM 26:10 | Ardhi ilifunua kinywa chake na kuwameza pamoja na Kora, ambaye wafuasi wake walikufa wakati moto ulipowateketeza wanaume 250. Nao walikuwa kama alama ya onyo. |
4706 | NUM 31:40 | Watu 16,000 ambao ushuru kwa ajili ya Bwana ulikuwa watu 32. |
4801 | NUM 33:39 | Aroni alikufa juu ya Mlima Hori akiwa na umri wa miaka 123. |
6555 | JDG 2:8 | Yoshua mwana wa Nuni, mtumishi wa Bwana, akafa akiwa na umri wa miaka 110. |
7502 | 1SA 13:15 | Kisha Samweli akaondoka Gilgali, akapanda Gibea ya Benyamini, naye Sauli akawahesabu watu aliokuwa nao. Jumla yao walikuwa watu 600. |
9111 | 1KI 10:29 | Waliagiza magari kutoka Misri kwa bei ya shekeli 600 za fedha na farasi kwa shekeli 150. Pia waliwauza nje kwa wafalme wote wa Wahiti na wa Waaramu. |
9426 | 1KI 20:15 | Kwa hiyo Ahabu akawaita maafisa vijana majemadari wa majimbo, wanaume 232. Kisha akawakusanya Waisraeli wote waliobaki, jumla yao 7,000. |
9913 | 2KI 14:13 | Yehoashi mfalme wa Israeli akamteka Amazia mfalme wa Yuda, mwana wa Yoashi, mwana wa Ahazia, huko Beth-Shemeshi. Kisha Yehoashi akaenda Yerusalemu na kuubomoa ukuta wa Yerusalemu kuanzia Lango la Efraimu hadi Lango la Pembeni, sehemu yenye urefu wa kama dhiraa 400. |
10619 | 1CH 8:40 | Wana wa Ulamu walikuwa mashujaa hodari walioweza kutumia upinde. Alikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla yao 150. Hawa wote ndio walikuwa wazao wa Benyamini. |
10625 | 1CH 9:6 | Kwa wana wa Zera: Yeueli. Watu wa Yuda jumla yao walikuwa watu 690. |
10628 | 1CH 9:9 | Watu kutoka Benyamini kama walivyoorodheshwa katika koo zao jumla yao ni 956. Watu hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao. |
10641 | 1CH 9:22 | Jumla ya waliochaguliwa kuwa mabawabu katika sakafu za kupuria nafaka walikuwa watu 212. Waliandikishwa kwa koo zao kwenye vijiji vyao. Mabawabu hawa waliwekwa katika nafasi zao za kuaminiwa na Daudi pamoja na mwonaji Samweli. |
10802 | 1CH 15:6 | Kutoka wazao wa Merari, Asaya kiongozi na ndugu zake 220. |
10803 | 1CH 15:7 | Kutoka wazao wa Gershoni, Yoeli kiongozi na ndugu zake 130. |
10804 | 1CH 15:8 | Kutoka wazao wa Elisafani, Shemaya kiongozi na ndugu zake 200. |
10805 | 1CH 15:9 | Kutoka wazao wa Hebroni, Elieli kiongozi na ndugu zake 80. |
10806 | 1CH 15:10 | Kutoka wazao wa Uzieli, Aminadabu kiongozi na ndugu zake 112. |
10899 | 1CH 18:4 | Daudi akateka magari ya vita 1,000 miongoni mwa magari yake, waendesha hayo magari ya kukokotwa na farasi 7,000 na askari wa miguu 20,000. Daudi akakata mishipa ya miguu ya nyuma ya farasi wote wakokotao magari, ila akabakiza 100. |
11058 | 1CH 25:7 | Pamoja na ndugu zao wote walikuwa wamefundishwa na kuwa stadi wa uimbaji kwa Bwana. Idadi yao walikuwa 288. |
11082 | 1CH 25:31 | ya ishirini na nne ikamwangukia Romamti-Ezeri, wanawe na jamaa zake, 12. |
11216 | 2CH 1:17 | Waliagiza magari kutoka Misri kwa bei ya shekeli 600 za fedha, na farasi kwa shekeli 150. Pia waliwauza nje kwa wafalme wote wa Wahiti na wa Waaramu. |
11697 | 2CH 24:15 | Basi Yehoyada alikuwa mzee aliyeshiba siku wakati alipofariki. Alikufa akiwa na umri wa miaka 130. |
11732 | 2CH 25:23 | Yehoashi mfalme wa Israeli akamteka Amazia mfalme wa Yuda, mwana wa Yoashi, mwana wa Ahazia, huko Beth-Shemeshi. Kisha Yehoashi akamleta Yerusalemu na kuubomoa ukuta wa Yerusalemu kuanzia lango la Efraimu hadi Lango la Pembeni, sehemu yenye urefu wa kama dhiraa 400. |
11828 | 2CH 29:32 | Idadi ya sadaka za kuteketezwa zilizoletwa na kusanyiko zilikuwa mafahali sabini, kondoo dume 100 na wana-kondoo dume 200. Wote hawa walikuwa kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa kwa Bwana. |
11979 | 2CH 35:8 | Pia maafisa wake, wakatoa kwa hiari yao wakawapa watu, makuhani na Walawi. Hilkia, Zekaria na Yehieli, waliokuwa maafisa wakuu wa Hekalu la Mungu, wakawapa makuhani sadaka za Pasaka wana-kondoo na wana-mbuzi 2,600 na mafahali 300. |
12097 | EZR 2:65 | tena zaidi ya hao walikuwepo watumishi wa kiume na wa kike 7,337; pia walikuwamo waimbaji wanaume na wanawake 200. |
12492 | NEH 7:67 | tena zaidi ya hao walikuwepo watumishi wa kiume na wa kike 7,337; pia walikuwamo waimbaji wanaume na wanawake 245. |
12600 | NEH 11:8 | na wafuasi wake, Gabai na Salai watu 928. |
12604 | NEH 11:12 | pamoja na wenzao waliofanya kazi hekaluni: watu 822. Adaya mwana wa Yerohamu, mwana wa Pelalia, mwana wa Amsi, mwana wa Zekaria, mwana wa Pashuri, mwana wa Malkiya, |
12605 | NEH 11:13 | na wenzao, waliokuwa viongozi wa jamaa: watu 242. Amashisai mwana wa Azareli, mwana wa Azai, mwana wa Meshilemothi, mwana wa Imeri, |
12606 | NEH 11:14 | na wenzao waliokuwa wenye uwezo: watu 128. Afisa wao mkuu alikuwa Zabdieli mwana wa Hagedolimu. |
12610 | NEH 11:18 | Jumla ya Walawi waliokaa katika mji mtakatifu walikuwa watu 284. |
12611 | NEH 11:19 | Mabawabu: Akubu, Talmoni na wenzao, waliolinda malango: watu 172. |
12844 | EST 9:6 | Katika ngome ya Shushani Wayahudi waliua na kuangamiza wanaume 500. |
26978 | JHN 21:11 | Simoni Petro akapanda kwenye mashua na kuukokota ule wavu pwani. Ulikuwa umejaa samaki wakubwa 153. Ingawa samaki walikuwa wengi kiasi hicho, ule wavu haukuchanika. |
27451 | ACT 13:20 | Haya yote yalichukua kama muda wa miaka 450. “Baada ya haya, Mungu akawapa waamuzi mpaka wakati wa nabii Samweli. |
27960 | ACT 27:37 | Ndani ya meli tulikuwa jumla ya watu 276. |
30995 | REV 13:18 | Hapa ndipo penye hekima. Yeye aliye na ufahamu na ahesabu tarakimu za huyo mnyama, kwa maana ni tarakimu za kibinadamu. Tarakimu zake ni 666. |
31015 | REV 14:20 | Lile shinikizo likakanyagwa nje ya mji, nayo damu ikatiririka kama mafuriko kutoka hilo shinikizo kufikia kimo cha hatamu za farasi, kwa umbali wa maili 200. |