Wildebeest analysis examples for:   swh-swhonen   Word.]    February 11, 2023 at 19:39    Script wb_pprint_html.py   by Ulf Hermjakob

23807  MAT 18:11  Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kuokoa kile kilichopotea.]
24001  MAT 23:14  Ole wenu walimu wa sheria na Mafarisayo, enyi wanafiki! Mnakula katika nyumba za wajane, nanyi kwa kujifanya kuwa wema, mnasali sala ndefu. Kwa hiyo hukumu yenu itakuwa kuu zaidi.]
24651  MRK 9:44  Mahali ambako funza wake hawafi wala moto wake hauzimiki.]
24653  MRK 9:46  Mahali ambako funza wake hawafi wala moto hauzimiki.]
24962  MRK 16:20  Kisha wanafunzi wake wakatoka, wakahubiri kila mahali, naye Bwana akatenda kazi pamoja nao na kulithibitisha neno lake kwa ishara zilizofuatana nalo.]
26021  LUK 23:17  Kwa kuwa ilikuwa lazima kuwafungulia mfungwa mmoja wakati wa Sikukuu.]
27545  ACT 15:34  Lakini Sila bado akaendelea kukaa huko.]
27996  ACT 28:29  Naye akiisha kusema maneno haya, Wayahudi wakaondoka wakiwa na hoja nyingi miongoni mwao.]
28428  ROM 16:24  Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe pamoja nanyi nyote. Amen.]