Wildebeest analysis examples for:   swh-swhonen   “Word;    February 11, 2023 at 19:39    Script wb_pprint_html.py   by Ulf Hermjakob

7283  1SA 3:5  Naye akakimbia kwa Eli na kumwambia, “Mimi hapa, kwa kuwa umeniita.” Lakini Eli akasema, “Sikukuita; rudi ukalale.” Hivyo akaenda kulala.
7883  1SA 25:19  Kisha akawaambia watumishi wake, “Tangulieni; mimi nitakuja nyuma yenu.” Lakini hakumwambia Nabali mumewe.
17864  ISA 7:12  Lakini Ahazi akasema, “Sitaomba; sitamjaribu Bwana.”
18620  ISA 44:17  Mabaki yake hutengeneza mungu, sanamu yake; yeye huisujudia na kuiabudu. Huiomba na kusema, “Niokoe; wewe ni mungu wangu.”
23911  MAT 21:16  Wakamuuliza Yesu, “Je, unasikia hayo hawa wanayosema?” Akawajibu, “Naam; kwani hamkusoma, “ ‘Midomoni mwa watoto wachanga na wanyonyao umeamuru sifa’?”