Wildebeest analysis examples for:   swh-swhulb   —    February 11, 2023 at 19:39    Script wb_pprint_html.py   by Ulf Hermjakob

2542  EXO 35:10  Kila mwanaume mwenye ustadi kati yenu aje na afanye kila kitu ambacho Yahweh aliyaamuru
2884  LEV 7:4  zile figo mbili pamoja na mafuta yaliyo juu yake, yaliyo karibu na kiuno, na yanayofunika ininyama hii yote lazima iondolewe pamoja na hizo figo.
2901  LEV 7:21  Iwapo mtu yeyote anagusa kitu chochote kilichonajisiiwe ni unajisi wa binadamu, au wa mnyama aliyenajisi, au wa kitu fulani kilichonajisi na chenye kuchukiza, na kisha akala baadhi ya nyama ya dhabihu ya sadaka ya amani iliyotolewa kwa Yahweh, lazima mtu huyo akatiliwe mbali kutoka kwa watu wake.
2913  LEV 7:33  Yule kuhani, mmoja wa wazao wa Aroni, atoaye damu na mafuta ya sadaka ya amanini lazima atapata paja la kulia kama mgao wake wa sadaka.
2952  LEV 8:34  Kilichotendeka siku hii Yahweh ndiye amekiamru kitendekeke ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu.
2969  LEV 9:15  Aroni akaleta dhabihu ya watu mbuzi, kisha akamtoa kuwa dhabihu kwa ajili ya dhambi yao naye akamchinja, akaitoa dhabihu kwa ajili ya dhambi, kama alivyofanya kwa yule mbuzi wa kwanza.
3008  LEV 11:10  Lakini viumbe wote hai wasio na mapezi na magamba waliomo baharini au mitoni, pamoja na wale waendao majini na viumbe hai waliomo majini watakuwa chukizo kwenu.
3040  LEV 11:42  Chochote kitambaacho kwa kujivuta juu ya tumbo lake, na chochote kitembeacho kwa miguu yake yote minne, au chochote kilicho na miguu mingiwanyama wote ambao hutambaa juu ya nchi, hawa msiwale, kwa sababu watakuwa machukizo.
3111  LEV 13:58  Vazi au kitu chochote kilichosukwa au kufumwa kutokana na sufu, au kitani, au ngozi au kitu chochote kilichotengenezwa kwa ngoziiwapo unakisafisha kifaa nao ukungu ukawa umetoka, nacho kifaa lazima kisafishwe mara ya pili, kisha kitakuwa safi.
3239  LEV 17:3  Mtu yeyote wa Isreli anayeua fahali au mwanakondoo au mbuzi kambini, au amuuaye nje ya kambi, ili kumtoa dhabihu
3303  LEV 19:21  Ni lazima mtu huyo alete sadaka yake ya hatia kwenye ingilio la hema la kukutaniakondoo dume iwe sadaka ya hatia.
3329  LEV 20:10  Mwanaume yeyote afanyaye uzinzi na mke wa mwanaume mwingine, yaani, yeyote anayezini na mke wa jirani yakeyule mwanaume mzinzi na mwanamke mzinzi ni lazima wote wawili wauawe.
3336  LEV 20:17  Ikiwa mwanaume analala na dada yake, ama ni binti ya baba yake au binti ya mama yakeikiwa wamelala pamoja, hilo ni jambo la aibu. Ni lazima wakatiliwe mbali watoke machoni pa watu wao, kwa sababu amelala na dada yake. Ni lazima aibebe hatia yake.
3348  LEV 21:2  isipokuwa yule aliye ndugu wa karibumama yake, baba yake, mwanawe, bintiye, nduguye,
3349  LEV 21:3  au dada yake bikira anayemtegemea, kwa kuwa hana mumekwake huyo anaweza kujitia unajisi.
3354  LEV 21:8  Utamtenga kwa sababu yeye ndiye anayetoa mkate kwa Mungu wako. Ni lazima awe mtakatifu, kwa sababuMimi, Yahweh, ndimi niwatakasaye nyinyipia Mimi mwenyewe ni mtakatifu.
3375  LEV 22:5  au yeyote agusaye mnyama atakayemtia unajisi, au mtu yeyote atakayemfanya najisi, kwa hiyo unajisi wowote unaweza kuwa
3388  LEV 22:18  “Sema na Aroni na wanawe, na kwa watu wa Israeli wote. Waambie, Mwisraeli yeyote, au Mgeni anayeishi katika Israeli, waletapo dhabihuiwe ni kutimiza kiapo, au iwe ni sadaka ya hiari, au wanaleta kwa Yahweh sadaka ya kuteketezwa kwa moto,
3397  LEV 22:27  “Wakati ndama, mwanakondo au mwanambuzi azaliwapo, sharti abaki na mama yake kwa muda wa siku saba. Ndipo kuanzia siku ya nane na kuendelea, anaweza kupokelewa kuwa dhabihu iliyofanywa kwa moto kwa Yahweh.
3415  LEV 23:12  Siku ile mtakapoliinua lile fungu la masuke ya nafaka na kulileta kwangu, itawabidi kutoa mwanakondoo dume wa mwaka mmoja na asiye na dosari awe sadaka ya kuteketezwa kwa Yahweh.
3418  LEV 23:15  Tangu siku iliyofuata baada ya Sabatohiyo ilikuwa siku mlipolileta lie fungu la nafaka la matoleo ya kutikiswahesabuni majuma saba kamili.
3421  LEV 23:18  Mtaileta hiyo mikate pamoja na wanakondoo saba wa mwaka mmoja na wasiokuwa na dosari, fahali mmoja mchanga na dume wa kondoo wawili. Watakuwa matoleo ya kuteketezwa kwa moto kwa Yahweh, pamoja na matoleo yao ya nafaka na matoleo ya kinywaji, matoleo yaliyofanywa kwa moto na kutoa harufu nzuri ya kupendeza kwa Yahweh.
3422  LEV 23:19  Ni lazima mtowe mbuzi dume mmoja kwa ajili ya matoleo ya dhambi, na wanakondoo dume wawili wa mwaka mmoja kwa ajili ya dhabihu, wawe matoleo ya ushirika.
3540  LEV 26:15  na kutozitii amri hizi, na ikiwa mtayakataa maagizo yangu, na kuzichukia sana sheria zangu, kiasi kwamba hamtaweza kuzitii amri zangu zote, lakini mkalivunja agano langu
3541  LEV 26:16  kama mtafanya mambo haya, Nami nitafanya hili kwenu: Nitasababisha hofu juu yenu, maradhi na homa kali itakayoangamiza macho na kuondoa uhai wenu. Mtapanda mbegu zenu kwa hasara, kwa sababu adui zenu watakula mazao yake.
3565  LEV 26:40  Lakini kama watakiri dhambi zao na dhambi ya baba zao, na usaliti wao ambao kwao hawakuwa waaminifu kwangu, pia na mwenendo wao dhidi yangu
3566  LEV 26:41  ambao ulinisababisha kuwa kinyume nao, na kuwaleta katika nchi ya adui zaoiwapo mioyo yao isiyotahiriwa itanynyekezwa,
3587  LEV 27:16  Iwapo mtu anatenga sehemu ya ardhi yake mwenye, kisha tathmini yake itakuwa katika uwiano kwa kiwango cha kiasi cha mbegu inayotakiwa kuipanda katika ardhi hiyohomeri moja ya mbegu za shairi ambayo itathamanishwa kwa shekeli hamsini za fedha.
3719  NUM 3:26  Wataulinda ua, lile pazia la kwenye langoua unaozunguka mahali patakatifu na madhabahu. Watazilinda kamba za hema ya kukutania na vyote vilivyomo.
3833  NUM 6:9  Ikitokea mtu amekufa ghafla pembeni yake na kukitia unajisi kichwa chake kitakatifu, ndipo atakaponyoa kichwa chake katika siku ya kujitakasa Siku ya saba atanyoa kichwa chake.
4143  NUM 14:34  Kama vile ilivyo hesabu ya siku ambayo mliipeleleza nchisiku arobaini, vivyo hivyo mtabeba madhara ya dhambi zenu kwa muda wa miaka arobainimwaka mmoja kwa kila siku moja, na mtajua kuwa ni sawa na kuwa adui yangu.
4235  NUM 17:5  ili kuwa ukumbusho kwa wana wa Israeli, ili kwamba asije akatokea mtu toka nje ya uzao wa Haruni akaja kutoa ubani kwa BWANA, ili wasije kuwa kama Kora na kundi lake kama vile BWANA alivyoamuru kupitia kinywa cha Musa.
4306  NUM 19:16  Vivyo hivyo, kwa mtu aliye nje ya hema ambaye atamgusa mtu aliyeuawa kwa upanga, au mzoga wowote, au mfupa wa mtu, au kaburimtu huyo atakuwa najisi kwa siku saba.
4310  NUM 19:20  Lakini yule atakayebaki najisi, anayekataa kujitakasa mwenyewe huyo mtu ataondolewa kutoka kwenye jamii, kwa sababu amepanajisi patakatifu pa BWANA. Hajanyunyiziwa maji ya utakaso; atabaki najisi.
8620  2SA 22:15  Alipiga mishale na kuwatawanya adui zakemiale ya radi na kuwasambaratisha.
11271  2CH 4:20  vinara pamoja na taa zake, ambazo zilitengezwa ili kumulika mbele ya chumba cha ndanihivi vilitengenezwa kwa dhahabu halisi;
11311  2CH 6:24  Watu wako watakaposhindwa na adui kwa sababu wamekutenda dhambi, kama watageuka nyuma kwako, wakilikili jina lako, wakisali na kuomba msamaha mbele zako hekaluni
11313  2CH 6:26  Wakati mbingu zimefungwa na hakuna mvua kwa sababu watu wamekutenda dhambiikiwa wataomba kuelekea sehemu hii, wakilikili jina lako, na kuziacha dhambi zao utakapokuwa umewaadhibu
11315  2CH 6:28  Kama kuna njaa katika nchi, au kama kuna ugonjwa, tauni au ukungu, nzige au viwavijeshi, au kama adui wake wameyavamia malango ya mji katika nchi yao, au kwamba kuna pigo lolote au ugonjwa
11316  2CH 6:29  na ikiwa sala na maombi yamefanywa na mtu au watu wako wote Israelkila mmoja akilijua pigo na huzuni katika moyo wake akinyosha mikono yake kuelekea hekalu hili.
11323  2CH 6:36  Kama wametenda dhambi dhidi yakokwa kuwa hakuna asiye tenda dhambina ikiwa una hasira nao na kuwakabidhi kwa adui zao, ili kwamba adui wakawabeba na kuwachukua kama mateka kwa ajili ya nchi zao, iwe mbali au karibu.
11359  2CH 8:8  watoto wao ambao waliachwa baada yao katika nchi, ambaoa watu wa Israeli hawakuwaangamizaSelemani akawafanyisha kazi kwa nguvu, ndivyo walivyo hata leo.
11443  2CH 12:1  Ikawa kwamba, Rehoboamu alipokuwa ameimarishwa na mwenye nguvu, kwamba akaikataa sheria ya Yahwena Waisraeli wote pamoja naye.
11504  2CH 15:9  Akawakusanya Yuda wote na Benyamini, na wae waliokaa pamoja naowatu wa kutoka Efraimu na Manase, na kutoka Simeoni. Kwa maana walikuja kwake katika hesabu kubwa kutoka Israeli, walipoona kwamba Yahwe Mungu wake alikuwa pamoja naye.
11541  2CH 17:13  Akajenga ngome na miji ya maghala katika Yuda. Alikuwa na kazi nyingi katika miji ya Yuda, na wanajeshsiimara, wanaume hodarikatika Yerusalemu.
11601  2CH 20:9  'Ikiwa janga litakuja juu yetu upanga, hukumu, au ugonjwa, au njaatutasimama mbele ya nyumba hii, na mbele zako (kwa maana jina lako limo ndani ya nyumba hii), na tutakulilia wewe katika mateso yetu, na utatusikia na kutuokoa.' (Badala ya “hukumu” baadhi ya maandiko ya zamani yanasema “mafuriko”).
11642  2CH 21:13  bali umetembea katika njia za wafalme wa Israeli, na umewafanya Yuda na wakaaji wa Yerusalemu kuenenda kama kahaba, kama nyumba ya Ahabu walivyofanyana kwa sababu pia umewaua ndugu zako katika familia ya baba yako kwa upanga, watu waliokuwa bora kuliko wewe mwenyewe
11696  2CH 24:14  Walipomaliza, wakaleta fedha zilizobaki kwa mfalme na Yehoyada. Fedha hizo zilitumika kutengenezea samani kwa ajili ya nyumba ya Yahwe, vyombo vya huduma na kutolea dhabihuvijiko na vyombo vya dhahabu na fedha. Wakatoa sadaka za kuteketezwa bila kukomaa katika nyumba ya Yahwe kwa siku zote za Yehoyada.
11714  2CH 25:5  Aidha, Amazia aliwakusanya Yuda pamoja, na akawaandikisha kwa kufuata nyumba za babu zao, chini ya maakida wa maelfu na maakida wa mamia wote wa Yuda na wa Benyamini. Akawahesabu kuanzia wa mika ishirini na kuendelea, na akawaona wako 300, 000 wanaume waliochaguliwa, wawezaoa kwenda vitani, walioweza kushika mkuki na ngao.
11751  2CH 26:14  Uzia akaandaa kwa ajili yaokwa ajili ya jeshi lote ngao, mikuki, chapeo, deraya za majini, nyuta, na mawe ya kurusha.
11781  2CH 28:12  Kisha baadhi ya viongozi wa watu wa EfraimuAzaria mwana wa Yohanani, Berekia mwana wa Meshiremothi, na Yehizikia mwana wa Shalumu, na Amasa mwana wa Hadlai, wakasimama kinyume na wale waliorudi kutoka vitani.
11857  2CH 30:25  Kusanyiko lote la Yuda, pamoja na makuhani na Walawi na watu wote walikuja pamoja kutoka nchi ya Israeli na wale walioishi Yudawote wakafurahia.
11932  2CH 33:19  Katika matukio hayo kuna historia ya maombi yake, na jinsi Mungu alivyoguswa na maomabi hayo. Pia kuna kumbu kumbu ya dhambi zake zote na makosa yake, na sehemu ambako alikuwa amejenga sehemu za juu na kuzisimamisha Maashera na sanamu za kuchonga, kambla ya kujinyenyekesha mwenyewe na imeandikwa kuhusu hayo katika tarehe ya waonaji. (Maandishi ya kale yanasema hivi, “tarehe ya Hozai,” ambayo ni maandishi ya kifungu asili. Lakini matoleo mengi ya kisasa yamesahihisha na kusomeka “tarehe ya waonaj” Pia, matoleo machache ya kisasa yanasema “tarehe ya waonaji”.).
11963  2CH 34:25  Kwa sababu wamenisahau na wametoa sadaka za uvumba kwa miungu mingine, ili kwamba waniweke katika hasira kwa matendo yote waliyofanya kwa hiyo hasira yangu itamiminwa juu ya hii sehemu, na haitazimishwa. (Badala ya “ambayo yamemiminwa juu yetu”, baadhi ya matoleo yana “amabyo yamemlikwa zidi yetu”.)
11965  2CH 34:27  kwa sababu moyo wako ulipondeka, na ulijinyenyekeza mbele yangu ulipoyasikia maneno yake zidi ya sehemu hii na wakaaji wake, na kwa sababu umejinyenyekeza mwenyewe mbele zangu, pia nimekusikiliza hili ni azimio la Yahwe
11997  2CH 35:26  Kwa mambao mengine kuhusu Yosia, na matendo yake mema aliyoyafanya katika utii kwa kile kilichoandikwa katika sheria ya Yahwe
12016  2CH 36:18  Vyombo vyote vya nyumba ya Mungu, vikubwa na vidogo, hazina za nyumba ya Yahwe, na hazina za mfalme na watumishi wakevyote hivi akavipeleka Babeli.
16488  PRO 1:18  Watu hawa huvizia kujiua wenyewewanatega mtego kwa ajili yao wenyewe.
17731  ISA 1:7  Nchi yenu imeharibiwa; miji yenu imechomwa moto; mashamba yenu mbele, wageni wamehiaribu; wamepatelekeza katika uharibifu, ulioangushwa na wageni
17737  ISA 1:13  Msilete tena sadaka zisizo na maana; maana zinaniongezea uchafu mmekusanyika katika siku yenu mpya ya mwenzi na sabatoMimi siwezi vumlia mikusanyio hii ya waovu.
17872  ISA 7:20  Katika mda huo Bwana atamnyoa kichwani kichwani na nywele za miguuni kwa wembe ulioazimwa mto Efrarate mfalme wa Asiria - na vilevile utasafisha ndevu zote.
18102  ISA 20:3  Yahwe asema, ''Kama ilivyokuwa kwa mtumishi wangu Isaya alivyotembea uchi na pasipo kuvaa viatu kwa miaka mitatu, ni ishara na dalili kuhusu Misri na kuhusu Ethiopia
18555  ISA 42:5  Mungu Yahwe asema hiviyeye aliyeziumba mbingu na yeye zinyoosha nje, yeye aliyeiumba nchi na vitu vyote izalishavyo, yeye aliyewapa punzi watu na wale waishio juu:
18609  ISA 44:6  Yahwe asema hiviMfalme wa Israeli na Mkombozi wake, Yahwe wa majeshi: ''Mimi ni mwanzo na ni mwisho; na hakuna mungu ila mimi.
18993  ISA 66:2  Mkono wangu umeyafanya haya yote; hivi ndovyo jinsi ambavyo vitu vitatokeavyohili ndilo tamko la Yahwe. Mtu niliyempitisha, mwenye roho iliyopondeka na mwenye kujutia roho, na atetemekaye kwa ajili ya neno langu.
19000  ISA 66:9  Ninawezaje kumleta mtoto azaliwe na nisimruhusu mtoto azaliwe? Yahwe auliza? au Je ninamleta mtoto wakati tu wa kujifungua na halafu nimshikilie tena - anauliza Yahwe.''
19012  ISA 66:21  Baadhi ya vitu hivi nitavichagua kama makuhani na walawi asema Yahwe.
19013  ISA 66:22  Maana itakuwa mbingu mpya na nchi mpya ambayo nitakayoifanya ibaki mbele zangu Hili ndilo tamko la Yahwe Hivyo ndivyo ukoo wenu utakavyobakia, na jina lenu litabaki.
19014  ISA 66:23  Kutoka mwenzi mmoja mpaka mwingine, na kutoka sabato moja mpaka nyingine, watu wote watakuja kukuinamia chini asema Yahwe.
19037  JER 2:3  Israeli alikuwa ametengwa kwa BWANA, malimbuko yake ya mavuno yake! Wote waliokula malimbuko yake walikuwa na hatia! majanga yaliwajiaasema BWANA.'”
19629  JER 25:26  wafalme wote wa kaskazini, wale wa karibu na wale wa mbalikila mmoja na ndugu zake na falme zote za ulimwengu ambazo ziko chini ya uso wa dunia. Hatimaye mfalme wa Babeli atakunywa baada yao wote.
19645  JER 26:4  Kwa hiyo lazima useme kwao, 'Yahwe anasema hivi: Kama hamtanisikiliza ili mtembee katika sheria yangu ambayo nimeiweka mbele yenu
19646  JER 26:5  kama hamsikilizi maneno ya watumishi wangu manabii ambao naendelea kuwatuma kwenulakini hamjasikiliza!
19655  JER 26:14  Mimi mwenyeweniangalieni! niko mikononi mwenu. Nitendeeni yaliyo mema na sahihi katika macho yenu.
19661  JER 26:20  Wakati huo huo palikuwa na mtu mwingine ambaye alitabiri katika jina la YahweUria mwan wa Shemaya kutoka Kiriath Yearimupia alitabiri juu ya mji na nchi hii, akikubaliana na maneno yote ya Yeremia.
19663  JER 26:22  Kisha mfalme Yehoyakimu alituma watu kwenda MisiriElnathani mwana wa Achbori na watu kwenda Misiri kumfuata Uria.
19673  JER 27:8  Kwa hiyo taifa na ufalme ambo haumtumikii Nebukadreza, mfalme wa Babeli, na ule usioweka shingo yake chini ya nira ya Nebukadreza mfalme wa Babelinitaliadhibu taifa hilo kwa upanga, njaa, na pigohili ni tangazo la Yahwehadi nitakapokuwa nimewateketeza kwa mkono wake.
19676  JER 27:11  Lakini taifa ambalo wataweka shingo zao chini ya nira ya mfalme wa Babeli na kumtumikia, nitawaruhusu kupumzika katika nchi yaohili ni tangazo la Yahwena watailima na kufanya nyumba zao humo.””
19678  JER 27:13  Kwa nini mfewewe na watu wakokwa upanga, njaa, na pigo, kama vile nilivyotangaza kuhusu taifa ambalo watapuuza kumtumikia mfalme wa Babeli?
19680  JER 27:15  'Kwa maana mimi sikuwatumahili ni tangazo la Yahwekwa maana wanatabiri uongo katika jina langu ili kwamba niwafukeze inje na muangamie, ninyi nyote na manabii wanaotabiri kwenu.”'
19684  JER 27:19  Yahwe wa majeshi anasema hivi kuhusu zile nguzo, bahari, na kitako, na vyombo vyote vilivyosalia katika mji huu
19687  JER 27:22  'Vitaletwa Babeli, na vitabaki huko hadi siku niyovipangia kutimiahili ni tangazo la Yahwekisha nitavileta na kuvirudisha kataika sehemu hii.”
19691  JER 28:4  Kisha nitawarudisha katika sehemu hii Yekonia mwana wa Yehotakimu, mfalme wa Yuda, na mateka wote wa Yuda ambao walipelekwa Babelihili ni tangazo la Yahwekwa maana nitaivunja nira ya mfalme wa Babeli.”
19696  JER 28:9  Kwa hiyo nabii anayetabiri kwamba kutakuwa na amanikama neno lake litatimia, basi itajulikana kwamba yeye ni nabii kweli aliyetumwa na Yahwe.”
19713  JER 29:9  Kwa maana wanatabiri uongo kwenu katika jina langu. Mimi sikuwatumahili ni tangazo la Yahwe.'
19715  JER 29:11  Kwa maana mimi mwenyewe naijua mipangao niliyonayo kwa ajili yenuhili ni tangazo la Yahwemipango kwa ajili ya amani na siyo kwa ajili ya mabaya, ili kuwapa ninyi tumaini na siku zenu za mwisho.
19718  JER 29:14  Kisha nitapatikana kwenuhili ni tangazo la Yahwena nitawarudisha watu wenu waliofungwa; nitawakusanya kutoka mataifa yote na sehehemu zote ambako nimewatawanyahili ni tangazo la Yahwekwa maana nitawarudisha kutoka sehemu ambako niliwasababisha kuwa mateka.
19720  JER 29:16  Yahwe anasema hivi kwa mfalme aliyeketi katika kiti cha enzi cha Daudi na watu wote wakaao katika mji huo, ndugu zenu ambao hawakwenda pamoja nanyi utumwani
19722  JER 29:18  Kisha nitawafuata kwa upanga, njaa, na tauni na kuwafanya kuwa kitu cha kushangaza kwa falme zote juu ya duniakitu cha kuogofya, kitu cha kulaaniwa na kuzomewa, na kitu cha aibu miongoni mwa mataifa yote ambako nilimtawanya.
19723  JER 29:19  Hii ni kwa sababu hawakulisikiliza neno languhili ni tangazo la Yahweambalo nililituma kwao kupitia watumishi wangu manabii. Niliwatuma tena na tena, lakini hamkusikilizahili ni tangazo la Yahwe. '
19727  JER 29:23  Hili litatokea kwa sababu ya mambo ya aibu waliyofanya katika Israeli walipofanya uzinzi na wake za majarani zao na kutangaza maneno ya uongo katika jina langu, mambo ambayo sikuwaamuru wayaseme. Kwa maana mimi ndiye nijuaye; mimi ni shahidihili ni tangazo la Yahwe.”'
19736  JER 29:32  kwa hiyo Yahwe anasema hivi: Angalia, niko karibu kumwadhibu Shemaya Mnehelami na uzao wake. Hapatakuwa na mtu wa kukaa miongoni mwa watu hawa kwa ajili yake. Hataona mema nitakayofanya kwa ajili ya watu wanguhili ni tangazo la Yahwekwa maana ametangaza uasi dhidi ya Yahwe.””
19739  JER 30:3  Maana ona, siku zinakujahili ni tangazo la Yahwenitakapowarudisha mateka wa watu wangu Israeli na Yuda. Mimi, Yahwe, nimesema hili. Kwa maana nitawarudisha kwenye nchi ambayo niliwapa babu zao, na wataimiliki.”'
19744  JER 30:8  Kwa maana itakuwa katika siku hiyohili ni tangazo la Yahwe wa majeshikwamba nitaivunja nira ya shingo zenu, na nitaisambaza minyororo yenu, kwa hiyo wageni hawatawafanya watumwa tena.
19746  JER 30:10  Kwa hiyo wewe, mtumishi wangu Yakobo, usiogopehili ni tangazo la Yahwena usikate tamaa, Israeli. Maana ona, niko karibu kukurudisha kutoka mbali, na uzao wako kutoka nchi ya utumwa,. Yakobo atarudi na kuwa katika amani; ataokolewa, na hapatakuwa na hofu zaidi.
19747  JER 30:11  Kwa maana niko pamoja nawehili ni tangazo la Yahweili kukuokoa. Kisha nitaleta mwisho kamili kwa mataifa yote ambako nimewatawanya. Bali sitaweka mwisho kwako, ingawa ninakuadhibu kwa haki na kwa hakika sitakuacha bila kukuadhibu.'
19753  JER 30:17  Kwa maana nitaleta uponyaji juu yako; nitakuponya majeraha yakohili ni tangazo la Yahwenitafanya hivyo kwa sababu walikuita: Mwenyekutupwa. Hakuna anayeujali Sayuni.”
19757  JER 30:21  Kiongozi wao atatoka miongoni mwao. Atatokeza kutoka kati yao nitakapomleta karibu na atakapanikaribia mimi. kama sitafanya hivyo, ni nani atakayethubutu kunisogelea? hili ni tangazo la Yahwe.
19761  JER 31:1  “Katika wakati huohili ni tangazo la YahweNitakuwa Mungu wa familia zote za Israel, na watakuwa watu wangu.”
19774  JER 31:14  Kisha nitayaloanaisha sana maisha ya makuhani. Watu wangu watajijaza wenyewe kwa wemahili ni tangazo la Yahwe.”