114 | GEN 5:8 | Sethi akaishi miaka 912 kisha akafariki. |
124 | GEN 5:18 | Yaredi alipokuwa ameishi miaka 162, alimzaa Henoko. |
126 | GEN 5:20 | Yaredi aliishi miaka 962 na kisha akafariki. |
132 | GEN 5:26 | Baada ya kumzaa Lameki, Methusela aliishi miaka 782. Akawazaa wana wengi wa ume na wake. |
134 | GEN 5:28 | Wakati Lameki alipokuwa ameishi miaka 182, alimzaa mwana. |
141 | GEN 6:3 | Yahwe akaema, “ roho yangu haitasalia kwa mwanadamu milele, kwa kuwa wao ni nyama. Wataishi miaka 120.” |
286 | GEN 11:19 | Pelegi aliishi miaka 209 baada ya kumza a Reu. Akawazaa pia wana wengine wa kiume na wa kike. |
288 | GEN 11:21 | Reu aliishi miaka207 baada ya kumzaa Seregu. Akawazaa pia wana wengine wa kiume na wa kike. |
299 | GEN 11:32 | Tera akaishi miaka 205 kisha akafa hapao Harani. |
2406 | EXO 30:23 | “Jitwalie manukato yaliyo bora, manemane mbichi shekeli mia tano, na mdalasini wenye harufu nzuri 250, na kane shekeli 250 |
2663 | EXO 38:29 | Nayo shaba ya toleo la kutikisa ilikuwa talanta sabini na shekeli 2, 400. |
3640 | NUM 1:35 | Walihesabiwa wanaume 32, 000 kutoka kabila la Manase. |
3644 | NUM 1:39 | Walihesabiwa wanaume 62, 000 kutoka kabila la Dani. |
3680 | NUM 2:21 | Hesabu ya kikosi hiki ni 32, 200. |
3685 | NUM 2:26 | Hesabu ya kikosi hiki ni 62, 700. |
3727 | NUM 3:34 | Wanaume 6, 200 wenye umri wa mwezi mmoja na zaidi walihesabiwa. |
3736 | NUM 3:43 | Aliwahesabu wazaliwa wote wa kwanza kwa mjina, wenye umri wa mwezi mmoja na zaidi. Alihesabu wanaume 22, 273. |
3739 | NUM 3:46 | Unikusanyie shekeli tano za wokovu kwa kila hao 273 za hao wazaliwa wa kwanza wa Israeli za hao wanaozidi idadi ya Walawi. |
3780 | NUM 4:36 | Waliwahesabu wanaume 2, 750 kwa kufuata koo zao. |
3784 | NUM 4:40 | Wanaume wote waliohesabiwa kufuata koo na familia za mababu zao walikuwa 2, 630. |
3788 | NUM 4:44 | Wanaume wote waliohesabiwa kupitia koo za familia za mababu zao walikuwa 3. 200. |
3936 | NUM 7:85 | Zile sahani za fedha kila moja ilikuwa na uzani wa shaekeli 130 na kila bakuli ye fedha ilikuwa na uzani wa shekeli sabini. Vyombo vyote vya fedh vilikuwa na ujumla ya uzani wa shekeli 2, 400, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. |
3937 | NUM 7:86 | Vile vijiko vya dhahabu vilivyokuwa vimejaa ubani, vilikuwa na uzani wa shekeli kumi kila kimoja. Vijiko vyote vya dhahabu vilikuwa na uzani wa shekeli 120. |
4230 | NUM 16:35 | Kisha moto ukashuka toka kwa BWANA na kuwaangamiza wale wanaume 250 waliokuwa wametoa ubani. |
4501 | NUM 26:10 | Pale ambapo dunia ilifungua kinywa na kuwameza pamoja na Kora wakati ambapo wafuasi wa Kora walikufa. Wakati ule, moto uliteketeza wanaume 250, amboa wlikuwa ishara ya onyo. |
4505 | NUM 26:14 | Hizi ndizo koo za uzao wa Simeoni, idadi yao ilikuwa wanaume 22, 200. |
4525 | NUM 26:34 | Hizi ndizo koo za Manase, idadi yao ilikuwa wanaume 52, 700. |
4528 | NUM 26:37 | Hizi ndizo koo za uzao wa Efraimu, idadi yao ilikuwa wanaume 32, 500. Huu ndio uzao wa Yusufu, uliohesabiwa toka kila koo zao. |
4801 | NUM 33:39 | Haruni alikuwa na umri wa mika 123 alipokufa pale juu ya Mlima Hori. |
6731 | JDG 8:10 | Sasa Zeba na Salmuna walikuwa huko Karkori pamoja na jeshi lao, karibu na watu elfu kumi na tano, wote waliosalia nje ya jeshi lote la watu wa Mashariki, kwa kuwa walianguka watu 120, 000 waliofundishwa kupigana na upanga. |
7091 | JDG 20:35 | Bwana akamshinda Benyamini mbele ya Israeli. Siku hiyo, askari wa Israeli waliwauawa watu wa Benyamini 25, 100. Wote hawa waliokufa walikuwa wale waliokuwa wamejifunza kupigana na upanga. |
7616 | 1SA 16:19 | Hivyo Sauli akawatuma wajumbe kwa Yese, na kusema, “Nitumie mtoto wako Daudi, anayewatunza kondoo.” 1 Samweli! 6: 20-21 |
8901 | 1KI 6:2 | Hekalu ambalo mfalme Sulemani alimjengea BWANA lilikuwa na urefu wa mita 27, na upana wa mita 9, na kimo cha mita 13. 5. |
8905 | 1KI 6:6 | Kile chumba cha chini kilikuwa na upana wa mita 2. 3, kile cha kati kilikuwa na upana wa mita 2. 8. na kile cha tatu kilikuwa na upana wa mita 3. 2. upande wa nje akaupunguza ukuta wa nyumba pande zote, ili boriti zisishikamane ukutani mwa nyumba. |
8909 | 1KI 6:10 | Akajenga vyumba vya pembeni mwa hekalu, kila upande mita 2. 3 kwenda juu. Navyo vikaunganishwa na hekalu kwa mbao za mierezi. |
8923 | 1KI 6:24 | Bawa moja la kerubi wa kwanza lilikuwa na urefu wa mita 2. 3. Kwa hiyo kutoka ncha ya bawa moja hadi ncha ya bawa lingine kulikuwa na umbali wa mita 4. 5. Yule |
8939 | 1KI 7:2 | Aliijenga ikulu iliyoitwa mwitu wa Lebanoni. Urefu wake ulikuwa mita 46, na upanawake ulikuwa mita 23, na kimo chake kilikuwa mita 14. Nayo ilikuwa na safu nne ya nguzo za mierezi na mithili ya mwerezi juu ya nguzo. |
8943 | 1KI 7:6 | Akatengeneza baraza lenye uerfu wa mita 23 na upana wa mita 14. Mbele yake kulikuwa na ukumbi ulioezekwa. |
8953 | 1KI 7:16 | Akatengeneza taji mbili za shaba za kuwekwa juu ya zile nguzo. Kimo cha kila taji ilikuwa mita 2. 3. |
8960 | 1KI 7:23 | Tena akafanya bahari ya kusubu ya, yenye mita 2. 3 kutoka ukingo hadi ukingo, kimo chake kilikuwa mita 4. 6, mziingo wake ulikuwa mita 13. 7. |
9051 | 1KI 8:63 | Sulemani akatoa sadaka ya amani, ambayo aliifanya kwa BWANA: Nayo ilikuwa makisai elfu ishirini na mbili, na kondoo 120, 000. Kwa hiyo mfalme na watu wa Israeli wakaiweka wakfu nyumba ya BWANA. |
9426 | 1KI 20:15 | Ndipo Ahabu alipowataarifu wale vijna wanaowatumikia maliwali wa wilaya. Idadi yao ilikuwa 232. Baada yao aliwahesabu wanajeshi wote, jeshi lote la Israeli; idadi yao ilikuwa elfu saba. |
10453 | 1CH 5:21 | Walikamata wanya wao, pamoja na ngamia elfu hamsini, kondoo 250, 000, punda elfu mbili, na wanaume 100, 000. |
10541 | 1CH 7:2 | Wana wa Tola walikuwa Uzi, Refaia, Yerie, Yamai, Ibisami, Shemueli. Walikua vichwa katika nyumba za baba yao, toka uzao wa Tola na waliorodheshwa kama mashujaa hodari miongoni mwa kizazi chao. Katika siku za Daudi walikua na idadi ya 22, 600. |
10546 | 1CH 7:7 | Wana watano wa Bela walikuwa Ezibono, Uzi, Uzieli, Yerimoti, na Iri. Walikua ni wanajeshi na waanzilishi wa koo. Watu wao walikuwa na idadi ya wanaume wa vita 22, 034, kwa mujibu wa orodha zilizomilikiwa na koo za mababu zao. |
10548 | 1CH 7:9 | Orodha ya koo zao ilikua na idadi ya 20, 200 viongozi wa familia na wanaume wa vita. |
10550 | 1CH 7:11 | Wote hawa waikuwa wana wa Yediaeli. Waliorodheshwa katika ukoo orodha ilikuwa 17, 200 viongozi na wanaume wa vita imara kwa kazi ya jeshi. |
10641 | 1CH 9:22 | Hawa wote walichaguliwa kana walinzi wa mageti ya kuingilia kwa idadi ya 212. Majina yao yaliandikwa kwenye kumbukumbu za watu katika vijiji vyao. Mtabiri aliwaweka Daudi na Samueli katika nafasi ya uaminifu. |
10755 | 1CH 12:31 | Kutoka kwa Waefraimu palikuwa na wanume wa mapambano 20, 800, wanaume maharufu kwenye familia za baba zao. |
10760 | 1CH 12:36 | Kutoka kwa Wadani palikuwa na wanaume 28, 600 wameandaliwa kwa ajili ya pambano. |
10762 | 1CH 12:38 | Kutoka upande wa pili wa Yordani, kutoka kwa Warubeni, Wagadi, na nusu kabila la Manase, palikuwa na wanaume 120, 000 wameandaliwa na silaha za kila namna kwa ajili ya pambano. |
10801 | 1CH 15:5 | Kutoka uzao wa Kohathi, palikuwa na Urieli kiongozi na ndugu zake, wanaume 120. |
10802 | 1CH 15:6 | Kutoka uzao wa Merari, palikuwa na Asaia kiongozi na ndugu zake, wanaume 220. |
10804 | 1CH 15:8 | Kutoka uzao wa Elizafani, palikuwa na Shemaia kiongozi na ndugu zake, wanaume 200. |
10806 | 1CH 15:10 | Kutoka uzao wa Uzieli, palikuwa na Aminadabu kiongozi na ndugu zake, wanaume 112. |
11058 | 1CH 25:7 | Wao na kaka zao walikuwa na uwelewa na walifundishwa kutengeneza muziki kwa Yahweh walikuwa na idadi ya 288. |
11114 | 1CH 26:32 | Yerija alikuwa na ndugu 2, 700, walio kuwa viongozi wenye uwezo katika familia. Daudi aliwafanya waangalizi wa makabila ya Rubeni na Gadi, na nusu kabila la Manase, kwa kila jambo linalo muhusu Mungu, na kwa mambo ya mfalme. |
11285 | 2CH 5:12 | Pia makuhani waliokuwa waimbaji, wote kwa ujumla wao, pamoja na Asafu, Hemani, Yeduthuni, na wana wao na ndugu zao, wakiwa wamevalia kitani safi na wakipiga matoazi, vinanda, na vinubi, wakaasimama upande wa mashariki wa mwisho wa madhabahu. Pamoja nao palikuwa na makuhuni 120 wakipuliza tarumbeta. |
11334 | 2CH 7:5 | Mfalme Selemani akatoa sadaka ya ng'ombe ishirini na mbili elfu na kondoo 120, 000 na mbuzi. Kwa hiyo mfalme na watu wote wakaiweka wakifu nyumba ya Mungu. |
11361 | 2CH 8:10 | Pia hawa walikuwa wakuu wa wakuu wakisimamia wasimamizi waliokuwa wa mfalme Selemani, walikuwa 250, waliowasimamia watu walioifanya kazi. |
11378 | 2CH 9:9 | Akampa mfalme talanta 120 za dhahabu na kiasi kikubwa manukato na vit vya thamani. Selemani hakupewa tena kiasi kikubwa cha manukato kama hiki amabacho alipewa na malakia wa Sheba. |
11488 | 2CH 14:7 | Asa alikuwa na jeshi ambalo lilibeba ngao na mikuki; kutoka Yuda alikuwa na wanaume 300, 000, na kutoka Benyamini, wanaume 280, 000 waliobeba ngao na kuvuta pinde. |
11543 | 2CH 17:15 | akifuatiwa na Yehonani jemedari, na pamoja naye wanaume 280, 00; |
11544 | 2CH 17:16 | akifuatiwa na Amasia mwana wa Zikri, ambaye kwa hiari alijitoa kumtumikia Yahwe; na pamoja naye wanaume wa kwenda vitani 200, 000. |
11545 | 2CH 17:17 | Kutoka Benyamini: Eliada mtu jasiri, na pamoja naye watu 200, 000 waliovaa upinde na ngao; |
11749 | 2CH 26:12 | Jumla ya wakuu wa nyumba za mababu, watu wa kupigana vita, walikuwa 2, 600. |
11775 | 2CH 28:6 | Kwa maana Peka mwana wa Remalia, aliwaua katika Yuda wanajeshi 120, 00 kwa siku moja, wote walikuwa wanaume hodari, kwa maana walikuwa wamemsahau Yahwe, Mungu wa babu zao. |
11777 | 2CH 28:8 | Jeshsi la Israeli likachukua mateka kutoka kwa ndugu zao 200, 000 wake, wana, na mabinti. Pia wakachukua nyara nyingi, ambazo walipeleka Samaria. |
11979 | 2CH 35:8 | Viongozi wake wakatoa sadaka za hiari kwa watu, makuhani, na Walawi. Hilki, Zekaria, na Yeieli, viongozi wasimamizi wa nyumba ya Mungu, wakawapa makuhani ndama 2, 600 na maksai mia tatu kwa ajili ya matoleo ya Paska. |
12035 | EZR 2:3 | Waporoshi: 2, 172 |
12036 | EZR 2:4 | Wana wa Shefatia: 372 |
12038 | EZR 2:6 | Wana wa Path-Moabu, kupitia Yeshua na Yoabu: 2, 812. |
12039 | EZR 2:7 | Wana wa Eliamu: 1, 254. |
12042 | EZR 2:10 | Wana wa Binui: 642. |
12043 | EZR 2:11 | Wana wa Bebai: 623. |
12044 | EZR 2:12 | Wana wa Azgadi: 1, 222. |
12046 | EZR 2:14 | Wana wa Bigwai: 2, 056. |
12049 | EZR 2:17 | Wana wa Besai: 323. |
12050 | EZR 2:18 | Wana wa Harifu: 112. |
12051 | EZR 2:19 | Wanaume wa Hashimu: 223. |
12053 | EZR 2:21 | Wanaume wa Bethlehemu: 123. |
12055 | EZR 2:23 | Wanaume wa Anathothi: 128. |
12058 | EZR 2:26 | Wanaume wa Rama na Geba: 621. |
12059 | EZR 2:27 | Wanaume wa Mikmashi: 122. |
12060 | EZR 2:28 | Wanaume wa Betheli, na Ai: 223. |
12063 | EZR 2:31 | Wanaume wengine wa Elamu: 1, 254. |
12064 | EZR 2:32 | nne. Wanaume wa Harimu: 320. |
12065 | EZR 2:33 | Wanaume wa Lodi, na Hadidi, na Ono: 725. |
12069 | EZR 2:37 | Wana wa Imeri: 1, 052. |
12070 | EZR 2:38 | Wana wa Pashuri: 1, 247. |
12073 | EZR 2:41 | nne. Waimbaji hekaluni wana wa Asafu: 128. |
12096 | EZR 2:64 | Jumla ya kundi 42, 360, |
12098 | EZR 2:66 | Farasi wao: 736, Nyumbu wao: 245. |