119 | GEN 5:13 | Baada ya kumzaa Mahalaleli, Kenani aliishi miaka 840. Akawazaa wana wengi wa ume na wake. |
280 | GEN 11:13 | Alfaksadi aliishi miaka 403 baada ya kumzaa Shela. Akawazaa pia wana wengine wa kiume na wa kike. |
282 | GEN 11:15 | Shela aliishi miaka 403 baada ya kumzaa Eberi. Akawazaa pia wana wengine wa kiume na wa kike. |
284 | GEN 11:17 | Eberi aliishi miaka 430 baada ya kumzaa Pelegi. Akawazaa pia wana wengine wa kiume na wa kike. |
1857 | EXO 12:40 | Waisraeli waliishi Misri kwa miaka 430. |
1858 | EXO 12:41 | Baada ya miaka 430, siku hiyo hiyo, majeshi yote ya Yahweh yalio jiami waliondoka kutoka nchi ya Misri. |
2663 | EXO 38:29 | Nayo shaba ya toleo la kutikisa ilikuwa talanta sabini na shekeli 2, 400. |
3626 | NUM 1:21 | Waliwahesabu wanaume 46, 000 kutoka ukoo wa Reubeni. |
3630 | NUM 1:25 | Walihesabu wanaume 45, 650 kutoka kabila la Gadi. |
3632 | NUM 1:27 | walihesabiwa wanume 74, 000 kutoka kabila la Yuda. |
3634 | NUM 1:29 | Walihesabiwa wanaume 54, 000 kutoka kabila la Isakari. |
3636 | NUM 1:31 | Walihesabiwa wanume 57, 400 kutoka kabila la Zabuloni. |
3638 | NUM 1:33 | Walihesabiwa wanaume 40, 500 kutoka kabila la Efraimu. |
3646 | NUM 1:41 | Walihesabiwa wanaume 41, 500 kutoka ukoo wa Asheri. |
3648 | NUM 1:43 | Walihesabiwa wanaume 53, 400 kutoka kabila la Naftari |
3663 | NUM 2:4 | Idadi ya watu wa Yuda ni 74, 600. |
3665 | NUM 2:6 | Idadi ya kikosi chake ni wanaume 54, 000. |
3667 | NUM 2:8 | Idadi ya kikosi chake ni 57, 400. |
3668 | NUM 2:9 | Idadi yote ya kambi y a Yuda ni 186, 400. Watakuwa wa kwanza kuondoka. |
3670 | NUM 2:11 | Idadi ya kikosi chake ni 46, 500. |
3674 | NUM 2:15 | Idadi ya kikosi chake ni 45, 650. |
3675 | NUM 2:16 | Wote waliohesabiwa kwenye kambi ya Reubeni, kulingana na kikosi chake, ni 151, 450. Watakuwa wa pili kuondoka. |
3678 | NUM 2:19 | Hesabu ya kikosi hiki ni 40, 500. |
3687 | NUM 2:28 | Hesabu ya Kikosi hiki ni 41, 500. |
3689 | NUM 2:30 | Hesabu ya kikosi hiki ni 53, 400. |
3936 | NUM 7:85 | Zile sahani za fedha kila moja ilikuwa na uzani wa shaekeli 130 na kila bakuli ye fedha ilikuwa na uzani wa shekeli sabini. Vyombo vyote vya fedh vilikuwa na ujumla ya uzani wa shekeli 2, 400, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. |
4244 | NUM 17:14 | Idadi ya wale waliokuwa wamekufa kwa tauni walikuwa14, 000, nje na wale waliokufa kutokana na swala la Kora. |
4498 | NUM 26:7 | Hizi ndizo zilikuwa koo za uzao wa Reubeni, ambzo idadi yao ilikuwa wanaume 43, 730. |
4509 | NUM 26:18 | Hizi ndizo koo za uzao wa Gadi, idadi yao walikuwa wanaume 40, 500. |
4516 | NUM 26:25 | Hizi ndizo zilikuwa koo za Isakari, Idadi yao ilikuwa wanaume 64, 300. |
4532 | NUM 26:41 | Hizi ndizo koo za uzao wa Benjamini. Idadai yao ilikuwa wanaume 45, 600. |
4534 | NUM 26:43 | Idadi ya koo zote za Washuhamu ilikuwa wanaume 64, 400. |
4538 | NUM 26:47 | Hizi ndizo koo za uzao wa Asheri, idadi yao ilikuwa wanaume 53, 400. |
4541 | NUM 26:50 | Hizi ndizo zilizokuwa koo za uzao wa Naftali, idadi yao walikuwa wanaume 45, 000. |
4851 | NUM 35:4 | Hayo malisho yatakayozunguka miji hiyo ambayo mtawapa Walawi yataanzia kwenye maboma kwa ukubwa wa “mita 457” kila upande. |
7058 | JDG 20:2 | Viongozi wa watu wote, wa kabila zote za Israeli, wakachukua nafasi zao kwenye kusanyiko la watu wa Mungu-watu 400, 000 waendao kwa miguu, ambao walikuwa tayari kupigana na upanga. |
7073 | JDG 20:17 | Watu wa Israeli, bila kuhesabu namba kutoka kwa Benyamini, walikuwa na watu 400, 000 waliokuwa wamejifunza kupigana na upanga. Wote hawa walikuwa watu wa vita. |
7289 | 1SA 3:11 | BWANA akasema na Samweli, “Tazama, Niko tayari kufanya jambo katika Israeli ambalo masikio ya kila mmoja akisikia atashtuka. -14 |
8900 | 1KI 6:1 | Kwa hiyo Sulemani akaanza kulijenga hekalu. Hii ilikuwa mwaka wa 480 baada ya wana wa Israeli kutoka katika nchi ya Misri, katika mwaka wa nne wa utawala wa Sulemani huko Israeli, katika mwezi wa Ziv, ambao ndio mwezi wa pili. |
8902 | 1KI 6:3 | Na ukumbi uliokuwa mbele ya hekalu ulikuwa na urefu wa mita 9 na upana wa mita 4. 5 sawa na upana wa sehemu kuu ya hekalu. |
8922 | 1KI 6:23 | Sulemani akatengeneza makerubi mawili kwa mbao za mizeituni, kila moja lilikuwa na kimo cha mita 4. 5 kwa ajili ya chumba cha ndani. |
8923 | 1KI 6:24 | Bawa moja la kerubi wa kwanza lilikuwa na urefu wa mita 2. 3. Kwa hiyo kutoka ncha ya bawa moja hadi ncha ya bawa lingine kulikuwa na umbali wa mita 4. 5. Yule |
8924 | 1KI 6:25 | kerubi mwingine naye alikuwa na bawa lenye kipimo cha mita 4. 5 Makerubi hawa walikuwa wanafanana kwa umbo na kwa vipimo. |
8925 | 1KI 6:26 | Kimo cha kerubi mmoja kilikuwa mita 4. 5 na yule wa pili alikuwa hivyo hivyo. |
8939 | 1KI 7:2 | Aliijenga ikulu iliyoitwa mwitu wa Lebanoni. Urefu wake ulikuwa mita 46, na upanawake ulikuwa mita 23, na kimo chake kilikuwa mita 14. Nayo ilikuwa na safu nne ya nguzo za mierezi na mithili ya mwerezi juu ya nguzo. |
8943 | 1KI 7:6 | Akatengeneza baraza lenye uerfu wa mita 23 na upana wa mita 14. Mbele yake kulikuwa na ukumbi ulioezekwa. |
8947 | 1KI 7:10 | Msingi ulijengwa kwa mawe makubwa sana na ya thamani yenye urefu wa mita 3. 7 na mengine mita 4. 8. |
8960 | 1KI 7:23 | Tena akafanya bahari ya kusubu ya, yenye mita 2. 3 kutoka ukingo hadi ukingo, kimo chake kilikuwa mita 4. 6, mziingo wake ulikuwa mita 13. 7. |
9082 | 1KI 9:28 | Walikwenda kwa Ofri pamoja na watumishi wa Sulemani. Kutoka huko walileta takribani tani 14. 5 za dhahabu kwa Sulemani. |
9092 | 1KI 10:10 | Basi Malikia alimpatia mfalme zaidi ya kilo 4500 za dhahabu na kiasi kikubwa cha mawe ya thamani. Hapakuwahi kutokea kiasi kikubwa cha viungo kama hiki ambacho Malkia wa Sheba alitoa kwa mfalme Sulemani kuwahi kutolewa tena. |
9108 | 1KI 10:26 | Sulemani alikusanya pamoja magari n a wapanda farasi. Alikuwa na magari 1, 400 na wapanda farasi elfu kumi na mbili ambao alikuwa amewaweka kwenye miji ya magari pamoja naye Yerusalemu. |
9363 | 1KI 18:19 | Kwa hiyo sasa, Tuma neno na unikusanyie Israeli yote katika mlima Kameli, pamoja na manabii 450 wa Baali na wale manabii 400 wa Ashera wanaokula kwenye meza ya Yezebeli.” |
9366 | 1KI 18:22 | Kisha Eliya akawaambia wale watu, “Mimi, pekee yangu, ndiye niliyebaki kuwa nabii wa BWANA, lakini manabii wa Baali wako 450. |
10546 | 1CH 7:7 | Wana watano wa Bela walikuwa Ezibono, Uzi, Uzieli, Yerimoti, na Iri. Walikua ni wanajeshi na waanzilishi wa koo. Watu wao walikuwa na idadi ya wanaume wa vita 22, 034, kwa mujibu wa orodha zilizomilikiwa na koo za mababu zao. |
10751 | 1CH 12:27 | Kutoka kwa Walawi kulikuwa na wanaume wa mapambano 4, 600. |
10944 | 1CH 21:5 | Yoabu akatoa taarifa ya idadi ya jumla ya wanaume wa mapambano kwa Daudi. Kulikuwa ndani ya Israeli wanaume 1, 100, 000 walio beba upanga. Yuda peke yake kulikuwa na wanajeshi 470, 000. |
11213 | 2CH 1:14 | Selemani akakusanya magari na wanaume waendesha farasi, naye alikuwa na magari 1, 400 na waendesha farasi kumi na mbili elfu ambao aliwaweka katika miji ya magari, pamoja naye, mfalme katika Yerusalemu. |
11369 | 2CH 8:18 | Hiramu akatuma meli zake kupitia watumishi wake ambao walikuwa wana maji wenye uzoefu. Wakasafiri na Selemani na watumishi wa Semani hadi Ofiri. Wakachukua kutoka huko talanta 450 za dhahabu ambazo walimletea Selemani. |
11461 | 2CH 13:3 | Abiya akaingia vitani na jeshi la askari, wenye nguvu, hodari, 400, 00 wanaume waliochaguliwa. Yeroboamu akapanga mistari ya vita dhidi yake yenye 800, 00 wanaume askari waliochaguliwa, wenye nguvu, hodari. |
12031 | EZR 1:10 | mabakuli thelathini ya dhahabu, mabakuli madogo ya fedha 410, na vitu elfu moja vya kuongezea. |
12032 | EZR 1:11 | Kulikuwa na vitu 5, 400 vya fedha na dhahabu. Sheshbaza akavileta vyote wakati wa uhamisho kutoka Babeli kwenda Yerusalem. |
12039 | EZR 2:7 | Wana wa Eliamu: 1, 254. |
12040 | EZR 2:8 | Wana wa Zatu: 945. |
12042 | EZR 2:10 | Wana wa Binui: 642. |
12047 | EZR 2:15 | Wana wa Adini: 454. |
12063 | EZR 2:31 | Wanaume wengine wa Elamu: 1, 254. |
12066 | EZR 2:34 | Wanaume wa Yeriko: 345. |
12070 | EZR 2:38 | Wana wa Pashuri: 1, 247. |
12096 | EZR 2:64 | Jumla ya kundi 42, 360, |
12098 | EZR 2:66 | Farasi wao: 736, Nyumbu wao: 245. |
12099 | EZR 2:67 | Ngamia wao: 435. Punda wao: 6, 720. |
12438 | NEH 7:13 | Wana wa Elamu, 1, 254. |
12439 | NEH 7:14 | Wana wa Zatu, 845. Wana wa Zakai, 760. |
12440 | NEH 7:15 | Wana wa Binnui, 648. |
12448 | NEH 7:23 | Wana wa Besai, 324. |
12453 | NEH 7:28 | Watu wa Beth Azmaweth, 42. |
12454 | NEH 7:29 | Watu wa Kiriath Yearimu, Kefira, na Beerothi, 743. |
12459 | NEH 7:34 | Watu wa Elamu wa pili, 1, 254. |
12461 | NEH 7:36 | Watu wa Yeriko, 345. |
12466 | NEH 7:41 | Wana wa Pashuri, 1, 247. |
12468 | NEH 7:43 | Walawi, wana wa Yeshua, wa Kadmieli, wa Binui, wa Hodavia, 74. |
12469 | NEH 7:44 | Waimbaji wana wa Asafu; 148. |
12487 | NEH 7:62 | wana wa Delaya, wana wa Tobia, na wana wa Nekoda, 642. |
12491 | NEH 7:66 | Kusanyiko lote lilikuwa 42, 360, |
12492 | NEH 7:67 | isipokuwa watumishi wao wa kiume na watumishi wao wa kike, ambao walikuwa 7, 337. Walikuwa na wanaume na wanawake wa kuimba 245. |
12493 | NEH 7:68 | Farasi zao zilikuwa 736 kwa idadi, nyumbu zao, 245, ngamia zao, 435, na punda zao, 6, 720. |
12598 | NEH 11:6 | Wana wote wa Peresi waliokaa Yerusalemu walikuwa 468. Walikuwa masujaa. |
12605 | NEH 11:13 | Nao walikuwa washirika wake waliokuwa wakuu wa jamaa, wanaume 242, na Maasai mwana wa Azareli, mwana wa Azai, mwana wa Meshilemothi, mwana wa Imeri; |
12610 | NEH 11:18 | Katika mji wote mtakatifu walikuwa Walawi 284. |
13942 | JOB 42:16 | Baada ya haya, Ayubu aliishi miaka 140; aliwaona wana wake na wana wa wanawe, hata kizazi cha nne. |
20375 | JER 52:30 | Katika mwaka wa ishirini na tatu wa Nebukadneza, Nebuzaradani, jemedari wa walinzi wa mfalme, aliwahamisha Wayudea 745. Jumla ya watu walioamishwa walikuwa 4, 600. |
21787 | EZK 48:16 | Hivi ndivyo vitakuwa vipimo vya mji: upande wa kaskazini utakuwa ridhaa 4, 500 urefu; upande wa kusini utakuwa ridhaa 4, 500 urefu; upande wa magharibi utakuwa ridhaa 4, 500 urefu; na magharibi itakuwa ridhaa 4, 500 urefu. |
21801 | EZK 48:30 | Hawa ndio watakaoishi kutoka kwenye nchi: upande wa kaskazini, ambapo patapimwa ridhaa 4, 500 kwa urefu, |
21803 | EZK 48:32 | Kwa upande wa mashariki, ambapo patapimwa ridhaa 4, 500 kwa urefu, kutakuwa na malango matatu: lango moja kwa ajili ya Yusufu, lango moja kwa ajili ya Benjamini, na lango moja kwa ajili ya Dani. |
21804 | EZK 48:33 | Kwa upande wa mashariki, kutakuwa na kipimo cha ridhaa 4, 500 urefu, kutakuwa na malango matatu: lango moja kwa ajili ya Simioni, lango moja kwa ajili ya Isakari, na moja kwa ajili ya Zebuloni. |