Wildebeest analysis examples for:   swh-swhulb   5    February 11, 2023 at 19:39    Script wb_pprint_html.py   by Ulf Hermjakob

112  GEN 5:6  Wakati Sethi alipokuwa ameishi miaka 105, akamzaa Enoshi.
116  GEN 5:10  Baada ya kumzaa Kenani, Enoshi aliishi miaka 815. Akazaa wana wengi wa ume na wake.
117  GEN 5:11  Enoshi aliishi miaka 905 na kisha akafariki.
123  GEN 5:17  Mahalaleli aliishi miaka 895 na kisha akafariki.
129  GEN 5:23  Henoko aliishi miaka 365.
136  GEN 5:30  Lameki aliishi miaka 595 baada ya kumzaa baba wa Nuhu. Akazaa wanawengi wa ume na wake.
299  GEN 11:32  Tera akaishi miaka 205 kisha akafa hapao Harani.
666  GEN 25:7  Hizi ndizo zilikuwa siku za miaka ya uhai wake Abraham alizoishi, miaka 175.
2406  EXO 30:23  “Jitwalie manukato yaliyo bora, manemane mbichi shekeli mia tano, na mdalasini wenye harufu nzuri 250, na kane shekeli 250
2659  EXO 38:25  Nayo fedha ya wale walioandikishwa kati ya kusanyiko ilikuwa talanta mia moja na shekeli 1, 775 kulingana na shekeli ya mahali patakatifu,
2660  EXO 38:26  ile nusu shekeli kwa ajili ya mtu mmoja ilikuwa nusu shekeli kulingana na shekeli ya mahali patakatifu,. Kwa kila mtu aliyekuwa akipita kuingia upande wa wale waliokuwa wameandikishwa kuanzia miaka ishirini na zaidi, jumla ya watu 603, 550.
2662  EXO 38:28  Na kutokana na zile shekeli 1, 775 alifanyiza vibanio vya nguzo na kuvifunika sehemu yake ya juu na kuviunganisha pamoja.
3628  NUM 1:23  Walihesabu wanaume 59, 300 kutoka kabila la Simeoni.
3630  NUM 1:25  Walihesabu wanaume 45, 650 kutoka kabila la Gadi.
3634  NUM 1:29  Walihesabiwa wanaume 54, 000 kutoka kabila la Isakari.
3636  NUM 1:31  Walihesabiwa wanume 57, 400 kutoka kabila la Zabuloni.
3638  NUM 1:33  Walihesabiwa wanaume 40, 500 kutoka kabila la Efraimu.
3642  NUM 1:37  Walihesabiwa wanaume 35, 000 kutoka kabila la Benjamini.
3646  NUM 1:41  Walihesabiwa wanaume 41, 500 kutoka ukoo wa Asheri.
3648  NUM 1:43  Walihesabiwa wanaume 53, 400 kutoka kabila la Naftari
3651  NUM 1:46  Walihesabu wanaume 603, 550.
3665  NUM 2:6  Idadi ya kikosi chake ni wanaume 54, 000.
3667  NUM 2:8  Idadi ya kikosi chake ni 57, 400.
3670  NUM 2:11  Idadi ya kikosi chake ni 46, 500.
3672  NUM 2:13  Waliohesabiwa kwenye kikosi chake ni 59, 300.
3674  NUM 2:15  Idadi ya kikosi chake ni 45, 650.
3675  NUM 2:16  Wote waliohesabiwa kwenye kambi ya Reubeni, kulingana na kikosi chake, ni 151, 450. Watakuwa wa pili kuondoka.
3678  NUM 2:19  Hesabu ya kikosi hiki ni 40, 500.
3682  NUM 2:23  Hesabu ya kikosi hiki ni 35, 000
3687  NUM 2:28  Hesabu ya Kikosi hiki ni 41, 500.
3689  NUM 2:30  Hesabu ya kikosi hiki ni 53, 400.
3690  NUM 2:31  Wote waliohesabiwa kwenye kambi ya Dani ni 157, 600. Hawa watakuwa wa mwisho kuondoka kambini, wakifuata bango lao.
3691  NUM 2:32  Hawa ndio Waisraeli, waliohesabiwa kufuata familia zao. Wote waliohesabiwa kwenye kambi zao, kwa kufuata vikosi vyao ni 603, 550.
3715  NUM 3:22  Wanaume wote wenye umri wa mwezi mmoja au zaidi walihesabiwa na kufikia idadi ya 7, 500.
3743  NUM 3:50  Musa akakusanya zile fedha kutoka kwa hao wazaliwa wa kwanza wa wana wa Israeli. Alikusanya jumla ya shekeli 1, 365, zenye kipimo sawa na mahali patakatifu. Musa akamlipa Haruni na wanawe hizo shekeli za wokovu.
3780  NUM 4:36  Waliwahesabu wanaume 2, 750 kwa kufuata koo zao.
3792  NUM 4:48  Waliwahesabu wanaume 8, 580.
4230  NUM 16:35  Kisha moto ukashuka toka kwa BWANA na kuwaangamiza wale wanaume 250 waliokuwa wametoa ubani.
4501  NUM 26:10  Pale ambapo dunia ilifungua kinywa na kuwameza pamoja na Kora wakati ambapo wafuasi wa Kora walikufa. Wakati ule, moto uliteketeza wanaume 250, amboa wlikuwa ishara ya onyo.
4509  NUM 26:18  Hizi ndizo koo za uzao wa Gadi, idadi yao walikuwa wanaume 40, 500.
4513  NUM 26:22  Hizi ndizo zilizokuwa koo za Yuda, idadi yao ilikuwa wanaume 76, 500.
4518  NUM 26:27  Hizi ndizo zilikuwa koo za Zabuloni, idadi y ao ilikuwa wanaume 60, 500.
4525  NUM 26:34  Hizi ndizo koo za Manase, idadi yao ilikuwa wanaume 52, 700.
4528  NUM 26:37  Hizi ndizo koo za uzao wa Efraimu, idadi yao ilikuwa wanaume 32, 500. Huu ndio uzao wa Yusufu, uliohesabiwa toka kila koo zao.
4532  NUM 26:41  Hizi ndizo koo za uzao wa Benjamini. Idadai yao ilikuwa wanaume 45, 600.
4538  NUM 26:47  Hizi ndizo koo za uzao wa Asheri, idadi yao ilikuwa wanaume 53, 400.
4541  NUM 26:50  Hizi ndizo zilizokuwa koo za uzao wa Naftali, idadi yao walikuwa wanaume 45, 000.
4698  NUM 31:32  Sasa zile nyara zilizokuwa zimebaki ambazo wanajeshi walikuwa wameteka zilikuwa kondoo 675, 000,
4703  NUM 31:37  BWANA ya kondoo ilikuwa kondoo 675.
4705  NUM 31:39  Punda walikuwa 30, 500 ambao sehemu ya BWANA ilikuwa sitini na moja.
4709  NUM 31:43  ile nusu y a watu ilikuwa kondoo 337, 500,
4711  NUM 31:45  punda 30, 500,
4718  NUM 31:52  Vitu vyote vya sadaka ya dhahabu ambavyo walimpa BWANA- sadaka toka kwa makamanda wa maelfu na kutoka kwa makepteni wa mamia - vilikuwa na uzito wa shekeli 16, 750.
4851  NUM 35:4  Hayo malisho yatakayozunguka miji hiyo ambayo mtawapa Walawi yataanzia kwenye maboma kwa ukubwa wa “mita 457” kila upande.
7091  JDG 20:35  Bwana akamshinda Benyamini mbele ya Israeli. Siku hiyo, askari wa Israeli waliwauawa watu wa Benyamini 25, 100. Wote hawa waliokufa walikuwa wale waliokuwa wamejifunza kupigana na upanga.
8704  2SA 24:9  Ndipo Yoabu alipotoa taarifa ya hesabu kamili kwa mfalme kuhusu watu wawezao kupigana vita. Katika Israeli kulikuwa na watu 800, 000 jasiri wawezao kutoa upanga, na wale wa Yuda walikuwa watu 500, 000.
8901  1KI 6:2  Hekalu ambalo mfalme Sulemani alimjengea BWANA lilikuwa na urefu wa mita 27, na upana wa mita 9, na kimo cha mita 13. 5.
8902  1KI 6:3  Na ukumbi uliokuwa mbele ya hekalu ulikuwa na urefu wa mita 9 na upana wa mita 4. 5 sawa na upana wa sehemu kuu ya hekalu.
8922  1KI 6:23  Sulemani akatengeneza makerubi mawili kwa mbao za mizeituni, kila moja lilikuwa na kimo cha mita 4. 5 kwa ajili ya chumba cha ndani.
8923  1KI 6:24  Bawa moja la kerubi wa kwanza lilikuwa na urefu wa mita 2. 3. Kwa hiyo kutoka ncha ya bawa moja hadi ncha ya bawa lingine kulikuwa na umbali wa mita 4. 5. Yule
8924  1KI 6:25  kerubi mwingine naye alikuwa na bawa lenye kipimo cha mita 4. 5 Makerubi hawa walikuwa wanafanana kwa umbo na kwa vipimo.
8925  1KI 6:26  Kimo cha kerubi mmoja kilikuwa mita 4. 5 na yule wa pili alikuwa hivyo hivyo.
8952  1KI 7:15  Huramu alizilemba zile nguzo mbili za shaba, kila moja ilikuwa na kimo cha mita 8. 3 na mzingo wa mita 5. 5.
9077  1KI 9:23  Hawa ndio waliokuwa maakida wakuu waliokuwa wakiwasimamia kazi za Sulemani, watu 550, walikuwa wasimamizi wa watu waliokuwa wakifanya kazi.
9082  1KI 9:28  Walikwenda kwa Ofri pamoja na watumishi wa Sulemani. Kutoka huko walileta takribani tani 14. 5 za dhahabu kwa Sulemani.
9092  1KI 10:10  Basi Malikia alimpatia mfalme zaidi ya kilo 4500 za dhahabu na kiasi kikubwa cha mawe ya thamani. Hapakuwahi kutokea kiasi kikubwa cha viungo kama hiki ambacho Malkia wa Sheba alitoa kwa mfalme Sulemani kuwahi kutolewa tena.
9111  1KI 10:29  Magari yalinunuliwa kutoka Misri kwa shekeli mia sita za fedha kila moja, na farasi kwa shekeli 150 kila moja. Vitu vingi katika hivi baadaye viliuzwa kwa wafalme wote wa Wahiti na Aramu.
9363  1KI 18:19  Kwa hiyo sasa, Tuma neno na unikusanyie Israeli yote katika mlima Kameli, pamoja na manabii 450 wa Baali na wale manabii 400 wa Ashera wanaokula kwenye meza ya Yezebeli.”
9366  1KI 18:22  Kisha Eliya akawaambia wale watu, “Mimi, pekee yangu, ndiye niliyebaki kuwa nabii wa BWANA, lakini manabii wa Baali wako 450.
10100  2KI 19:35  Ikawa kuhusu usiku huo ambao malaika wa Yahwe alitoka na kuvamia kambi ya Waashuru, akawaua maaskari185, 000. Kisha watu wakaamka asubuhi na mapema, miili ya watu waliokuwa wamekufa ilikuwa imelala kila mahali.
10453  1CH 5:21  Walikamata wanya wao, pamoja na ngamia elfu hamsini, kondoo 250, 000, punda elfu mbili, na wanaume 100, 000.
10619  1CH 8:40  Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini.
10628  1CH 9:9  Ndugu zao waliandika kwenye orodha ya namba 956 ya vizazi vyao. Wanaume wote hawa walikuwa viongozi wa koo za mababu zao.
11216  2CH 1:17  Waliagiza gari kutoka Misiri kwa shekeli mia sita za fedha, na farasi mmoja kwa shekeli 150. Pia walinunua kutoka kwa wafalme wa Wahiti na wafalme wa Washamu.
11233  2CH 2:16  Selemani akawahesabu watu wageni waliokuwa katika nchi ya Israeli, kwa kutumia njia ya Daudi, baba yake, aliyoitumia kuwahesabu. Walikutwa wako 153, 600.
11361  2CH 8:10  Pia hawa walikuwa wakuu wa wakuu wakisimamia wasimamizi waliokuwa wa mfalme Selemani, walikuwa 250, waliowasimamia watu walioifanya kazi.
11369  2CH 8:18  Hiramu akatuma meli zake kupitia watumishi wake ambao walikuwa wana maji wenye uzoefu. Wakasafiri na Selemani na watumishi wa Semani hadi Ofiri. Wakachukua kutoka huko talanta 450 za dhahabu ambazo walimletea Selemani.
11475  2CH 13:17  Abiya na jeshi lake wakawaua kwa mauji makuu; 500, 000 watu wanaume waliochaguliwa wa Israeli wakaanguka wamekufa.
11750  2CH 26:13  Chini ya mkono wao kulikuwa na jeshi la watu 307, 500 ambao walifanya vita kwa nguvu ili kumsaidia mfalme idi ya maadui.
12032  EZR 1:11  Kulikuwa na vitu 5, 400 vya fedha na dhahabu. Sheshbaza akavileta vyote wakati wa uhamisho kutoka Babeli kwenda Yerusalem.
12037  EZR 2:5  Wana wa Ara: 775.
12039  EZR 2:7  Wana wa Eliamu: 1, 254.
12040  EZR 2:8  Wana wa Zatu: 945.
12046  EZR 2:14  Wana wa Bigwai: 2, 056.
12047  EZR 2:15  Wana wa Adini: 454.
12062  EZR 2:30  Wanaume wa Magbishi: 156.
12063  EZR 2:31  Wanaume wengine wa Elamu: 1, 254.
12065  EZR 2:33  Wanaume wa Lodi, na Hadidi, na Ono: 725.
12066  EZR 2:34  Wanaume wa Yeriko: 345.
12069  EZR 2:37  Wana wa Imeri: 1, 052.
12098  EZR 2:66  Farasi wao: 736, Nyumbu wao: 245.
12099  EZR 2:67  Ngamia wao: 435. Punda wao: 6, 720.
12404  NEH 5:17  Katika meza yangu walikuwa Wayahudi na maafisa, watu 150, isipokuwa wale waliokuja kwetu kutoka kwa mataifa waliokuwa wakituzunguka.
12435  NEH 7:10  Wana wa Ara, 652.
12438  NEH 7:13  Wana wa Elamu, 1, 254.
12439  NEH 7:14  Wana wa Zatu, 845. Wana wa Zakai, 760.
12445  NEH 7:20  Wana wa Adini, 655.