Wildebeest analysis examples for:   swh-swhulb   6    February 11, 2023 at 19:39    Script wb_pprint_html.py   by Ulf Hermjakob

124  GEN 5:18  Yaredi alipokuwa ameishi miaka 162, alimzaa Henoko.
126  GEN 5:20  Yaredi aliishi miaka 962 na kisha akafariki.
129  GEN 5:23  Henoko aliishi miaka 365.
133  GEN 5:27  Methusela aliishi miaka 969. Kisha akafariki.
1854  EXO 12:37  Waisraeli wakasafiri kutoka Ramesi kwenda Sakothi. Walikuwa na idadi ya wanaume 600, 000 kwa miguu, kuongezea kwa wanawake na watoto.
2660  EXO 38:26  ile nusu shekeli kwa ajili ya mtu mmoja ilikuwa nusu shekeli kulingana na shekeli ya mahali patakatifu,. Kwa kila mtu aliyekuwa akipita kuingia upande wa wale waliokuwa wameandikishwa kuanzia miaka ishirini na zaidi, jumla ya watu 603, 550.
3626  NUM 1:21  Waliwahesabu wanaume 46, 000 kutoka ukoo wa Reubeni.
3630  NUM 1:25  Walihesabu wanaume 45, 650 kutoka kabila la Gadi.
3644  NUM 1:39  Walihesabiwa wanaume 62, 000 kutoka kabila la Dani.
3651  NUM 1:46  Walihesabu wanaume 603, 550.
3663  NUM 2:4  Idadi ya watu wa Yuda ni 74, 600.
3668  NUM 2:9  Idadi yote ya kambi y a Yuda ni 186, 400. Watakuwa wa kwanza kuondoka.
3670  NUM 2:11  Idadi ya kikosi chake ni 46, 500.
3674  NUM 2:15  Idadi ya kikosi chake ni 45, 650.
3685  NUM 2:26  Hesabu ya kikosi hiki ni 62, 700.
3690  NUM 2:31  Wote waliohesabiwa kwenye kambi ya Dani ni 157, 600. Hawa watakuwa wa mwisho kuondoka kambini, wakifuata bango lao.
3691  NUM 2:32  Hawa ndio Waisraeli, waliohesabiwa kufuata familia zao. Wote waliohesabiwa kwenye kambi zao, kwa kufuata vikosi vyao ni 603, 550.
3721  NUM 3:28  Wanaume 8, 600 wenye umri wa mwezi mmoja au zaidi walihesabiwa ili kulinda vitu vya BWANA.
3727  NUM 3:34  Wanaume 6, 200 wenye umri wa mwezi mmoja na zaidi walihesabiwa.
3743  NUM 3:50  Musa akakusanya zile fedha kutoka kwa hao wazaliwa wa kwanza wa wana wa Israeli. Alikusanya jumla ya shekeli 1, 365, zenye kipimo sawa na mahali patakatifu. Musa akamlipa Haruni na wanawe hizo shekeli za wokovu.
3784  NUM 4:40  Wanaume wote waliohesabiwa kufuata koo na familia za mababu zao walikuwa 2, 630.
4046  NUM 11:21  Kisha Musa akasema, “Mimi nina watu 600, 000, na wewe umesema, “Nitawapa nyama mle kwa mwezi mmoja,'
4513  NUM 26:22  Hizi ndizo zilizokuwa koo za Yuda, idadi yao ilikuwa wanaume 76, 500.
4516  NUM 26:25  Hizi ndizo zilikuwa koo za Isakari, Idadi yao ilikuwa wanaume 64, 300.
4518  NUM 26:27  Hizi ndizo zilikuwa koo za Zabuloni, idadi y ao ilikuwa wanaume 60, 500.
4532  NUM 26:41  Hizi ndizo koo za uzao wa Benjamini. Idadai yao ilikuwa wanaume 45, 600.
4534  NUM 26:43  Idadi ya koo zote za Washuhamu ilikuwa wanaume 64, 400.
4542  NUM 26:51  Hii ndiyo iliyokuwa jumla kuu ya wanaume wa Israeli: 601, 730.
4698  NUM 31:32  Sasa zile nyara zilizokuwa zimebaki ambazo wanajeshi walikuwa wameteka zilikuwa kondoo 675, 000,
4703  NUM 31:37  BWANA ya kondoo ilikuwa kondoo 675.
4718  NUM 31:52  Vitu vyote vya sadaka ya dhahabu ambavyo walimpa BWANA- sadaka toka kwa makamanda wa maelfu na kutoka kwa makepteni wa mamia - vilikuwa na uzito wa shekeli 16, 750.
6601  JDG 3:31  Baada ya Ehudi, mwamuzi aliyefuata alikuwa Shamgari mwana wa Anathi ambaye aliwaua Wafilisti 600 kwa konzo la ng'ombe. Pia aliwaokoa Israeli kutoka kwenye hatari.
7292  1SA 3:14  Hii ndiyo sababu nimeapa kwa nyumba ya Eli, kwamba dhambi za nyumba yake hazitasahehewa kwa dhabihu au kwa sadaka kamwe.” 16
7616  1SA 16:19  Hivyo Sauli akawatuma wajumbe kwa Yese, na kusema, “Nitumie mtoto wako Daudi, anayewatunza kondoo.” 1 Samweli! 6: 20-21
8083  2SA 2:31  Lakini watu wa Daudi walikuwa wameua watu 360 wa Benjamini na Abneri.
8939  1KI 7:2  Aliijenga ikulu iliyoitwa mwitu wa Lebanoni. Urefu wake ulikuwa mita 46, na upanawake ulikuwa mita 23, na kimo chake kilikuwa mita 14. Nayo ilikuwa na safu nne ya nguzo za mierezi na mithili ya mwerezi juu ya nguzo.
8960  1KI 7:23  Tena akafanya bahari ya kusubu ya, yenye mita 2. 3 kutoka ukingo hadi ukingo, kimo chake kilikuwa mita 4. 6, mziingo wake ulikuwa mita 13. 7.
9310  1KI 16:24  Akakinunua kilima cha Samaria kutoka kwa Shemeri kwa kilo 68 za fedha. Akajenga mji juu ya mlima na ule mji akauita Samaria, kwa sababu ya jina la Shemeri, mmiliki wa awali wa kile kilima.
10541  1CH 7:2  Wana wa Tola walikuwa Uzi, Refaia, Yerie, Yamai, Ibisami, Shemueli. Walikua vichwa katika nyumba za baba yao, toka uzao wa Tola na waliorodheshwa kama mashujaa hodari miongoni mwa kizazi chao. Katika siku za Daudi walikua na idadi ya 22, 600.
10625  1CH 9:6  Kati ya uzao wa Zera alikuwa Yeuli. Uzao wao ulikuwa na namba 690.
10628  1CH 9:9  Ndugu zao waliandika kwenye orodha ya namba 956 ya vizazi vyao. Wanaume wote hawa walikuwa viongozi wa koo za mababu zao.
10632  1CH 9:13  Ndugu zao, ambao walikuwa viongozi katika koo za mababu zao, idadi ya 1, 760. Walikuwa ni wanaume wenye uwezo sana wa kufanya kazi katika nyumba ya Mungu.
10749  1CH 12:25  Kutoka Yuda walio beba ngao na mkuki ni 6, 800, tayari kwa vita.
10751  1CH 12:27  Kutoka kwa Walawi kulikuwa na wanaume wa mapambano 4, 600.
10760  1CH 12:36  Kutoka kwa Wadani palikuwa na wanaume 28, 600 wameandaliwa kwa ajili ya pambano.
11218  2CH 2:1  Selemeni akateua wanaume elfu sabini wabebe mizigo, na wanaume elfu themanini wa kukata mbao katika mlima, na wanaume 3, 600 kwa ajili ya kusimamia.
11233  2CH 2:16  Selemani akawahesabu watu wageni waliokuwa katika nchi ya Israeli, kwa kutumia njia ya Daudi, baba yake, aliyoitumia kuwahesabu. Walikutwa wako 153, 600.
11234  2CH 2:17  Miongoni mwao aliwateua sabini elfu ili wabebe mizigo, themanini elfu kuwa wakataji wa mbao katika milima, na 3, 600 kuwa wasimamizi wa kuwasimamia watu wafanye kazi.
11382  2CH 9:13  Sasa uzito wa dhahabu ambayo ililetwa kwa Selemani ndani ya mwaka mmoja ulikuwa talanta 666 za dhahabu,
11749  2CH 26:12  Jumla ya wakuu wa nyumba za mababu, watu wa kupigana vita, walikuwa 2, 600.
11979  2CH 35:8  Viongozi wake wakatoa sadaka za hiari kwa watu, makuhani, na Walawi. Hilki, Zekaria, na Yeieli, viongozi wasimamizi wa nyumba ya Mungu, wakawapa makuhani ndama 2, 600 na maksai mia tatu kwa ajili ya matoleo ya Paska.
12041  EZR 2:9  Wana wa Zakai: 760.
12042  EZR 2:10  Wana wa Binui: 642.
12043  EZR 2:11  Wana wa Bebai: 623.
12045  EZR 2:13  Wana wa Adonikamu: 666.
12046  EZR 2:14  Wana wa Bigwai: 2, 056.
12058  EZR 2:26  Wanaume wa Rama na Geba: 621.
12062  EZR 2:30  Wanaume wa Magbishi: 156.
12067  EZR 2:35  Wanaume wa Senaa: 3, 630.
12096  EZR 2:64  Jumla ya kundi 42, 360,
12098  EZR 2:66  Farasi wao: 736, Nyumbu wao: 245.
12099  EZR 2:67  Ngamia wao: 435. Punda wao: 6, 720.
12435  NEH 7:10  Wana wa Ara, 652.
12439  NEH 7:14  Wana wa Zatu, 845. Wana wa Zakai, 760.
12440  NEH 7:15  Wana wa Binnui, 648.
12441  NEH 7:16  Wana wa Bebai, 628.
12443  NEH 7:18  Wana wa Adonikamu, 667.
12444  NEH 7:19  Wana wa Bigwai, 2, 067.
12445  NEH 7:20  Wana wa Adini, 655.
12455  NEH 7:30  Watu wa Rama na Geba, 621.
12487  NEH 7:62  wana wa Delaya, wana wa Tobia, na wana wa Nekoda, 642.
12491  NEH 7:66  Kusanyiko lote lilikuwa 42, 360,
12493  NEH 7:68  Farasi zao zilikuwa 736 kwa idadi, nyumbu zao, 245, ngamia zao, 435, na punda zao, 6, 720.
12598  NEH 11:6  Wana wote wa Peresi waliokaa Yerusalemu walikuwa 468. Walikuwa masujaa.
20375  JER 52:30  Katika mwaka wa ishirini na tatu wa Nebukadneza, Nebuzaradani, jemedari wa walinzi wa mfalme, aliwahamisha Wayudea 745. Jumla ya watu walioamishwa walikuwa 4, 600.
24951  MRK 16:9  (Zingatia: Nakala za kale hazina Marko 16: 9-20) Mapema katika siku ya kwanza ya juma, baada ya kufufuka, alimtokea kwanza Mariamu Magdalena, ambaye kutoka kwake alimtoa mapepo saba.
24954  MRK 16:12  (Zingatia: Nakala za kale hazina Marko 16: 9-20) Baada ya hayo, akajitokeza katika namna tofauti kwa watu wengine wawili, wakati walipokuwa wakitembea kutoka katika nchi.
24956  MRK 16:14  (Zingatia: Nakala za kale hazina Marko 16: 9-20) Yesu baadaye akajitokeza kwa wale kumi na mmoja walipokuwa wameegama katika meza, na akawakemea kwa kutokuamini kwao na ugumu wa mioyo, kwa sababu hawakuwaamini wale waliomwona baada ya kufufuka kutoka kwa wafu.
24959  MRK 16:17  (Zingatia: Nakala za kale hazina Marko 16: 9-20) Ishara hizi zitaambatana na wote waaminio. Kwa jina langu watatoa pepo. Watasema kwa lugha mpya.
27842  ACT 24:5  Kwa maana tumempata mtu huyu mkorofi, na anasababisha Wayahudi wote kuasi duniani. Tena ni kiongozi wa madhehebu ya Wanazorayo. (Zingatia: Sehemu ya maneno ya mstari huu 24: 6
27960  ACT 27:37  Tulikuwa watu 276 ndani ya meli.
28428  ROM 16:24  (Zingatia: Katika nakala halisi za kwanza, mstari huu haupo. Tazama Warumi 16: 20. “Neema ya Bwana Yesu Kristo ikae nanyi nyote. Amina.”)
30943  REV 11:3  Nitawapa mashahidi wangu wawili mamlaka ya kutabiri kwa muda wa siku 1, 260, wakiwa wamevaa magunia.”
30965  REV 12:6  na mwanamke alikimbilia nyikani, mahali ambapo Mungu alikuwa ameandaa eneo kwa ajili yake, ili aweze kuhudumiwa kwa siku 1, 260.
30995  REV 13:18  Hii inahitaji busara. Ikiwa yeyote ana ufahamu, mwache aweze kufanya hesabu ya namba ya mnyama. Maana ni namba ya kibinadamu. Namba yake ni 666.
31015  REV 14:20  Chujio la divai lilipondwapondwa nje ya mji na damu ikamwagika kutoka katika hicho kimo cha hatamu ya farasi, kwa stadia 1, 600.