Wildebeest analysis examples for:   swh-swhulb   Number,    February 11, 2023 at 19:39    Script wb_pprint_html.py   by Ulf Hermjakob

109  GEN 5:3  Wakati Adamu alipokuwa ameishi miaka 130, akamzaa mwana katika sura yake mwenyewe, kwa mfano wake, na akamuita jina lake Sethi.
112  GEN 5:6  Wakati Sethi alipokuwa ameishi miaka 105, akamzaa Enoshi.
120  GEN 5:14  Kenani aliishi miaka 910, na kisha akafariki.
124  GEN 5:18  Yaredi alipokuwa ameishi miaka 162, alimzaa Henoko.
131  GEN 5:25  Wakati Methusela alipokuwa ameishi miaka 187, alimzaa Lameki.
134  GEN 5:28  Wakati Lameki alipokuwa ameishi miaka 182, alimzaa mwana.
1854  EXO 12:37  Waisraeli wakasafiri kutoka Ramesi kwenda Sakothi. Walikuwa na idadi ya wanaume 600, 000 kwa miguu, kuongezea kwa wanawake na watoto.
1858  EXO 12:41  Baada ya miaka 430, siku hiyo hiyo, majeshi yote ya Yahweh yalio jiami waliondoka kutoka nchi ya Misri.
2406  EXO 30:23  “Jitwalie manukato yaliyo bora, manemane mbichi shekeli mia tano, na mdalasini wenye harufu nzuri 250, na kane shekeli 250
2659  EXO 38:25  Nayo fedha ya wale walioandikishwa kati ya kusanyiko ilikuwa talanta mia moja na shekeli 1, 775 kulingana na shekeli ya mahali patakatifu,
2660  EXO 38:26  ile nusu shekeli kwa ajili ya mtu mmoja ilikuwa nusu shekeli kulingana na shekeli ya mahali patakatifu,. Kwa kila mtu aliyekuwa akipita kuingia upande wa wale waliokuwa wameandikishwa kuanzia miaka ishirini na zaidi, jumla ya watu 603, 550.
2662  EXO 38:28  Na kutokana na zile shekeli 1, 775 alifanyiza vibanio vya nguzo na kuvifunika sehemu yake ya juu na kuviunganisha pamoja.
2663  EXO 38:29  Nayo shaba ya toleo la kutikisa ilikuwa talanta sabini na shekeli 2, 400.
3626  NUM 1:21  Waliwahesabu wanaume 46, 000 kutoka ukoo wa Reubeni.
3628  NUM 1:23  Walihesabu wanaume 59, 300 kutoka kabila la Simeoni.
3630  NUM 1:25  Walihesabu wanaume 45, 650 kutoka kabila la Gadi.
3632  NUM 1:27  walihesabiwa wanume 74, 000 kutoka kabila la Yuda.
3634  NUM 1:29  Walihesabiwa wanaume 54, 000 kutoka kabila la Isakari.
3636  NUM 1:31  Walihesabiwa wanume 57, 400 kutoka kabila la Zabuloni.
3638  NUM 1:33  Walihesabiwa wanaume 40, 500 kutoka kabila la Efraimu.
3640  NUM 1:35  Walihesabiwa wanaume 32, 000 kutoka kabila la Manase.
3642  NUM 1:37  Walihesabiwa wanaume 35, 000 kutoka kabila la Benjamini.
3644  NUM 1:39  Walihesabiwa wanaume 62, 000 kutoka kabila la Dani.
3646  NUM 1:41  Walihesabiwa wanaume 41, 500 kutoka ukoo wa Asheri.
3648  NUM 1:43  Walihesabiwa wanaume 53, 400 kutoka kabila la Naftari
3651  NUM 1:46  Walihesabu wanaume 603, 550.
3663  NUM 2:4  Idadi ya watu wa Yuda ni 74, 600.
3665  NUM 2:6  Idadi ya kikosi chake ni wanaume 54, 000.
3667  NUM 2:8  Idadi ya kikosi chake ni 57, 400.
3668  NUM 2:9  Idadi yote ya kambi y a Yuda ni 186, 400. Watakuwa wa kwanza kuondoka.
3670  NUM 2:11  Idadi ya kikosi chake ni 46, 500.
3672  NUM 2:13  Waliohesabiwa kwenye kikosi chake ni 59, 300.
3674  NUM 2:15  Idadi ya kikosi chake ni 45, 650.
3675  NUM 2:16  Wote waliohesabiwa kwenye kambi ya Reubeni, kulingana na kikosi chake, ni 151, 450. Watakuwa wa pili kuondoka.
3678  NUM 2:19  Hesabu ya kikosi hiki ni 40, 500.
3680  NUM 2:21  Hesabu ya kikosi hiki ni 32, 200.
3682  NUM 2:23  Hesabu ya kikosi hiki ni 35, 000
3683  NUM 2:24  Wote waliohesabiwa katika kambi ya Efraimu ni 108, 100. Watakuwa wa tatu kuondoka.
3685  NUM 2:26  Hesabu ya kikosi hiki ni 62, 700.
3687  NUM 2:28  Hesabu ya Kikosi hiki ni 41, 500.
3689  NUM 2:30  Hesabu ya kikosi hiki ni 53, 400.
3690  NUM 2:31  Wote waliohesabiwa kwenye kambi ya Dani ni 157, 600. Hawa watakuwa wa mwisho kuondoka kambini, wakifuata bango lao.
3691  NUM 2:32  Hawa ndio Waisraeli, waliohesabiwa kufuata familia zao. Wote waliohesabiwa kwenye kambi zao, kwa kufuata vikosi vyao ni 603, 550.
3715  NUM 3:22  Wanaume wote wenye umri wa mwezi mmoja au zaidi walihesabiwa na kufikia idadi ya 7, 500.
3721  NUM 3:28  Wanaume 8, 600 wenye umri wa mwezi mmoja au zaidi walihesabiwa ili kulinda vitu vya BWANA.
3727  NUM 3:34  Wanaume 6, 200 wenye umri wa mwezi mmoja na zaidi walihesabiwa.
3736  NUM 3:43  Aliwahesabu wazaliwa wote wa kwanza kwa mjina, wenye umri wa mwezi mmoja na zaidi. Alihesabu wanaume 22, 273.
3743  NUM 3:50  Musa akakusanya zile fedha kutoka kwa hao wazaliwa wa kwanza wa wana wa Israeli. Alikusanya jumla ya shekeli 1, 365, zenye kipimo sawa na mahali patakatifu. Musa akamlipa Haruni na wanawe hizo shekeli za wokovu.
3780  NUM 4:36  Waliwahesabu wanaume 2, 750 kwa kufuata koo zao.
3784  NUM 4:40  Wanaume wote waliohesabiwa kufuata koo na familia za mababu zao walikuwa 2, 630.
3792  NUM 4:48  Waliwahesabu wanaume 8, 580.
3876  NUM 7:25  Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha lenye uzito wa shekeli sabini kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. vyombo vyote hivi vilikuwa vimeja unga mwembemba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
3936  NUM 7:85  Zile sahani za fedha kila moja ilikuwa na uzani wa shaekeli 130 na kila bakuli ye fedha ilikuwa na uzani wa shekeli sabini. Vyombo vyote vya fedh vilikuwa na ujumla ya uzani wa shekeli 2, 400, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu.
4046  NUM 11:21  Kisha Musa akasema, “Mimi nina watu 600, 000, na wewe umesema, “Nitawapa nyama mle kwa mwezi mmoja,'
4244  NUM 17:14  Idadi ya wale waliokuwa wamekufa kwa tauni walikuwa14, 000, nje na wale waliokufa kutokana na swala la Kora.
4498  NUM 26:7  Hizi ndizo zilikuwa koo za uzao wa Reubeni, ambzo idadi yao ilikuwa wanaume 43, 730.
4501  NUM 26:10  Pale ambapo dunia ilifungua kinywa na kuwameza pamoja na Kora wakati ambapo wafuasi wa Kora walikufa. Wakati ule, moto uliteketeza wanaume 250, amboa wlikuwa ishara ya onyo.
4505  NUM 26:14  Hizi ndizo koo za uzao wa Simeoni, idadi yao ilikuwa wanaume 22, 200.
4509  NUM 26:18  Hizi ndizo koo za uzao wa Gadi, idadi yao walikuwa wanaume 40, 500.
4513  NUM 26:22  Hizi ndizo zilizokuwa koo za Yuda, idadi yao ilikuwa wanaume 76, 500.
4516  NUM 26:25  Hizi ndizo zilikuwa koo za Isakari, Idadi yao ilikuwa wanaume 64, 300.
4518  NUM 26:27  Hizi ndizo zilikuwa koo za Zabuloni, idadi y ao ilikuwa wanaume 60, 500.
4525  NUM 26:34  Hizi ndizo koo za Manase, idadi yao ilikuwa wanaume 52, 700.
4528  NUM 26:37  Hizi ndizo koo za uzao wa Efraimu, idadi yao ilikuwa wanaume 32, 500. Huu ndio uzao wa Yusufu, uliohesabiwa toka kila koo zao.
4532  NUM 26:41  Hizi ndizo koo za uzao wa Benjamini. Idadai yao ilikuwa wanaume 45, 600.
4534  NUM 26:43  Idadi ya koo zote za Washuhamu ilikuwa wanaume 64, 400.
4538  NUM 26:47  Hizi ndizo koo za uzao wa Asheri, idadi yao ilikuwa wanaume 53, 400.
4541  NUM 26:50  Hizi ndizo zilizokuwa koo za uzao wa Naftali, idadi yao walikuwa wanaume 45, 000.
4542  NUM 26:51  Hii ndiyo iliyokuwa jumla kuu ya wanaume wa Israeli: 601, 730.
4698  NUM 31:32  Sasa zile nyara zilizokuwa zimebaki ambazo wanajeshi walikuwa wameteka zilikuwa kondoo 675, 000,
4702  NUM 31:36  Ile hesabu ya nusu iliyokuwa imetunzwa kwa ajili ya wanajeshi ilikuwa kondoo 337, 000. Ile sehemu ya
4705  NUM 31:39  Punda walikuwa 30, 500 ambao sehemu ya BWANA ilikuwa sitini na moja.
4709  NUM 31:43  ile nusu y a watu ilikuwa kondoo 337, 500,
4711  NUM 31:45  punda 30, 500,
4718  NUM 31:52  Vitu vyote vya sadaka ya dhahabu ambavyo walimpa BWANA- sadaka toka kwa makamanda wa maelfu na kutoka kwa makepteni wa mamia - vilikuwa na uzito wa shekeli 16, 750.
6731  JDG 8:10  Sasa Zeba na Salmuna walikuwa huko Karkori pamoja na jeshi lao, karibu na watu elfu kumi na tano, wote waliosalia nje ya jeshi lote la watu wa Mashariki, kwa kuwa walianguka watu 120, 000 waliofundishwa kupigana na upanga.
6747  JDG 8:26  Uzito wa pete za dhahabu alizoomba zilikuwa shekeli 1, 700 za dhahabu. Nyara hizi zilikuwa ni pamoja na mapambo ya makoja, vidani, nguo ya rangi ya zambarau waliyovaa na wafalme wa Midiani, na zaidi ya minyororo iliyokuwa karibu na shingo za ngamia zao.
6956  JDG 16:5  Wale wakuu wa Wafilisti wakamwendea, wakamwambia, “mdanganye Samsoni ili uone mahali zilipo nguvu zake kuu, na kwa namna gani tunaweza kumshinda, ili tumfunge na kumtesa. Fanya hili, na kila mmoja wetu atakupa vipande 1, 100 vya fedha.”
6984  JDG 17:2  Akamwambia mama yake, “Shilingi 1, 100 za fedha ambazo zilichukuliwa kutoka kwako, ambazo ulizungumza kwa kiapo, na kuniambia-tazama hapa! Ninazo fedha pamoja nami. Nimeziiba.” Mama yake akasema, 'Na Bwana atakubariki, mwanangu!'
6985  JDG 17:3  Alirejesha vipande 1, 100 vya fedha kwa mama yake na mama yake akasema, “Nimeweka fedha hii kwa Bwana, kwa ajili ya mwanangu kuifanya na kuchonga takwimu za chuma.
7058  JDG 20:2  Viongozi wa watu wote, wa kabila zote za Israeli, wakachukua nafasi zao kwenye kusanyiko la watu wa Mungu-watu 400, 000 waendao kwa miguu, ambao walikuwa tayari kupigana na upanga.
7073  JDG 20:17  Watu wa Israeli, bila kuhesabu namba kutoka kwa Benyamini, walikuwa na watu 400, 000 waliokuwa wamejifunza kupigana na upanga. Wote hawa walikuwa watu wa vita.
7091  JDG 20:35  Bwana akamshinda Benyamini mbele ya Israeli. Siku hiyo, askari wa Israeli waliwauawa watu wa Benyamini 25, 100. Wote hawa waliokufa walikuwa wale waliokuwa wamejifunza kupigana na upanga.
8216  2SA 8:4  Daudi aliteka magari 1, 700 ya farasi na askari ishirini elfu waendao kwa miguu. Daudi akawakata miguu farasi wa magari, lakini akahifadhi wakutosha magari mia moja.
8704  2SA 24:9  Ndipo Yoabu alipotoa taarifa ya hesabu kamili kwa mfalme kuhusu watu wawezao kupigana vita. Katika Israeli kulikuwa na watu 800, 000 jasiri wawezao kutoa upanga, na wale wa Yuda walikuwa watu 500, 000.
8897  1KI 5:30  zaidi ya hao, walikuwepo maakida 3, 300 ambao pia waliokuwa wakiisimamia hiyo kazi.
8901  1KI 6:2  Hekalu ambalo mfalme Sulemani alimjengea BWANA lilikuwa na urefu wa mita 27, na upana wa mita 9, na kimo cha mita 13. 5.
8905  1KI 6:6  Kile chumba cha chini kilikuwa na upana wa mita 2. 3, kile cha kati kilikuwa na upana wa mita 2. 8. na kile cha tatu kilikuwa na upana wa mita 3. 2. upande wa nje akaupunguza ukuta wa nyumba pande zote, ili boriti zisishikamane ukutani mwa nyumba.
8919  1KI 6:20  Kile chumba cha ndani kilikuwa na upana wa mita 9, na kimo cha mita 9. Sulemani alizifunika kuta kwa dhabahu na madhabahu aliifunika kwa mbao za mierezi.
8939  1KI 7:2  Aliijenga ikulu iliyoitwa mwitu wa Lebanoni. Urefu wake ulikuwa mita 46, na upanawake ulikuwa mita 23, na kimo chake kilikuwa mita 14. Nayo ilikuwa na safu nne ya nguzo za mierezi na mithili ya mwerezi juu ya nguzo.
8960  1KI 7:23  Tena akafanya bahari ya kusubu ya, yenye mita 2. 3 kutoka ukingo hadi ukingo, kimo chake kilikuwa mita 4. 6, mziingo wake ulikuwa mita 13. 7.
8964  1KI 7:27  Huramu akatengeneza makalio kumi ya shaba. Kila kalio lilkuwa na urefu wa mita 1. 8, upana wa mita 1. 8, na kimo cha mita 1. 3.
9051  1KI 8:63  Sulemani akatoa sadaka ya amani, ambayo aliifanya kwa BWANA: Nayo ilikuwa makisai elfu ishirini na mbili, na kondoo 120, 000. Kwa hiyo mfalme na watu wa Israeli wakaiweka wakfu nyumba ya BWANA.
9077  1KI 9:23  Hawa ndio waliokuwa maakida wakuu waliokuwa wakiwasimamia kazi za Sulemani, watu 550, walikuwa wasimamizi wa watu waliokuwa wakifanya kazi.
9108  1KI 10:26  Sulemani alikusanya pamoja magari n a wapanda farasi. Alikuwa na magari 1, 400 na wapanda farasi elfu kumi na mbili ambao alikuwa amewaweka kwenye miji ya magari pamoja naye Yerusalemu.
9440  1KI 20:29  Kwa hiyo majeshi yakaweka kambi yakikabiliana kwa muda wa siku saba. Kisha siku ya saba vita vikaanza. Watu wa Israeli wakawaua Washami 100, 000 wanajeshi wa ardhini kwa siku moja.
9584  2KI 3:4  Basi Mesha mfalme wa Moabu alifuga kondoo. Alikuwa akimpatia mfalme wa Israeli kondoo 100, 000 na manyoya ya kondoo dume 100, 000.
10453  1CH 5:21  Walikamata wanya wao, pamoja na ngamia elfu hamsini, kondoo 250, 000, punda elfu mbili, na wanaume 100, 000.
10541  1CH 7:2  Wana wa Tola walikuwa Uzi, Refaia, Yerie, Yamai, Ibisami, Shemueli. Walikua vichwa katika nyumba za baba yao, toka uzao wa Tola na waliorodheshwa kama mashujaa hodari miongoni mwa kizazi chao. Katika siku za Daudi walikua na idadi ya 22, 600.
10546  1CH 7:7  Wana watano wa Bela walikuwa Ezibono, Uzi, Uzieli, Yerimoti, na Iri. Walikua ni wanajeshi na waanzilishi wa koo. Watu wao walikuwa na idadi ya wanaume wa vita 22, 034, kwa mujibu wa orodha zilizomilikiwa na koo za mababu zao.