116 | GEN 5:10 | Baada ya kumzaa Kenani, Enoshi aliishi miaka 815. Akazaa wana wengi wa ume na wake. |
119 | GEN 5:13 | Baada ya kumzaa Mahalaleli, Kenani aliishi miaka 840. Akawazaa wana wengi wa ume na wake. |
122 | GEN 5:16 | Baada ya kumzaa Yaredi, Mahalaleli aliishi miaka 830. Akazaa wana wengi wa ume na wake. |
129 | GEN 5:23 | Henoko aliishi miaka 365. |
132 | GEN 5:26 | Baada ya kumzaa Lameki, Methusela aliishi miaka 782. Akawazaa wana wengi wa ume na wake. |
133 | GEN 5:27 | Methusela aliishi miaka 969. Kisha akafariki. |
137 | GEN 5:31 | Lameki aliishi miaka 777. Kisha akafariki. |
666 | GEN 25:7 | Hizi ndizo zilikuwa siku za miaka ya uhai wake Abraham alizoishi, miaka 175. |
1533 | GEN 50:26 | Hivyo Yusufu akafa, mwenye miaka 110. Wakampaka dawa na akawekwa katika jeneza huko Misri. |
1672 | EXO 6:16 | Hapa yameorodheshwa majina ya wana wa Lawi, pamoja na uzo wao. Walikuwa ni Gerishoni, Kohathi, na Merari. Lawi aliishi mpaka alipo kuwa na miaka 137. |
1674 | EXO 6:18 | Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Izhari, Hebroni, na uzieli. Kohathi aliishi hadi miaka 133. |
1857 | EXO 12:40 | Waisraeli waliishi Misri kwa miaka 430. |
2660 | EXO 38:26 | ile nusu shekeli kwa ajili ya mtu mmoja ilikuwa nusu shekeli kulingana na shekeli ya mahali patakatifu,. Kwa kila mtu aliyekuwa akipita kuingia upande wa wale waliokuwa wameandikishwa kuanzia miaka ishirini na zaidi, jumla ya watu 603, 550. |
2663 | EXO 38:29 | Nayo shaba ya toleo la kutikisa ilikuwa talanta sabini na shekeli 2, 400. |
3651 | NUM 1:46 | Walihesabu wanaume 603, 550. |
3663 | NUM 2:4 | Idadi ya watu wa Yuda ni 74, 600. |
3665 | NUM 2:6 | Idadi ya kikosi chake ni wanaume 54, 000. |
3667 | NUM 2:8 | Idadi ya kikosi chake ni 57, 400. |
3668 | NUM 2:9 | Idadi yote ya kambi y a Yuda ni 186, 400. Watakuwa wa kwanza kuondoka. |
3670 | NUM 2:11 | Idadi ya kikosi chake ni 46, 500. |
3672 | NUM 2:13 | Waliohesabiwa kwenye kikosi chake ni 59, 300. |
3674 | NUM 2:15 | Idadi ya kikosi chake ni 45, 650. |
3675 | NUM 2:16 | Wote waliohesabiwa kwenye kambi ya Reubeni, kulingana na kikosi chake, ni 151, 450. Watakuwa wa pili kuondoka. |
3678 | NUM 2:19 | Hesabu ya kikosi hiki ni 40, 500. |
3680 | NUM 2:21 | Hesabu ya kikosi hiki ni 32, 200. |
3683 | NUM 2:24 | Wote waliohesabiwa katika kambi ya Efraimu ni 108, 100. Watakuwa wa tatu kuondoka. |
3685 | NUM 2:26 | Hesabu ya kikosi hiki ni 62, 700. |
3687 | NUM 2:28 | Hesabu ya Kikosi hiki ni 41, 500. |
3689 | NUM 2:30 | Hesabu ya kikosi hiki ni 53, 400. |
3690 | NUM 2:31 | Wote waliohesabiwa kwenye kambi ya Dani ni 157, 600. Hawa watakuwa wa mwisho kuondoka kambini, wakifuata bango lao. |
3691 | NUM 2:32 | Hawa ndio Waisraeli, waliohesabiwa kufuata familia zao. Wote waliohesabiwa kwenye kambi zao, kwa kufuata vikosi vyao ni 603, 550. |
3715 | NUM 3:22 | Wanaume wote wenye umri wa mwezi mmoja au zaidi walihesabiwa na kufikia idadi ya 7, 500. |
3736 | NUM 3:43 | Aliwahesabu wazaliwa wote wa kwanza kwa mjina, wenye umri wa mwezi mmoja na zaidi. Alihesabu wanaume 22, 273. |
3784 | NUM 4:40 | Wanaume wote waliohesabiwa kufuata koo na familia za mababu zao walikuwa 2, 630. |
3788 | NUM 4:44 | Wanaume wote waliohesabiwa kupitia koo za familia za mababu zao walikuwa 3. 200. |
3792 | NUM 4:48 | Waliwahesabu wanaume 8, 580. |
3937 | NUM 7:86 | Vile vijiko vya dhahabu vilivyokuwa vimejaa ubani, vilikuwa na uzani wa shekeli kumi kila kimoja. Vijiko vyote vya dhahabu vilikuwa na uzani wa shekeli 120. |
4498 | NUM 26:7 | Hizi ndizo zilikuwa koo za uzao wa Reubeni, ambzo idadi yao ilikuwa wanaume 43, 730. |
4505 | NUM 26:14 | Hizi ndizo koo za uzao wa Simeoni, idadi yao ilikuwa wanaume 22, 200. |
4509 | NUM 26:18 | Hizi ndizo koo za uzao wa Gadi, idadi yao walikuwa wanaume 40, 500. |
4513 | NUM 26:22 | Hizi ndizo zilizokuwa koo za Yuda, idadi yao ilikuwa wanaume 76, 500. |
4516 | NUM 26:25 | Hizi ndizo zilikuwa koo za Isakari, Idadi yao ilikuwa wanaume 64, 300. |
4518 | NUM 26:27 | Hizi ndizo zilikuwa koo za Zabuloni, idadi y ao ilikuwa wanaume 60, 500. |
4525 | NUM 26:34 | Hizi ndizo koo za Manase, idadi yao ilikuwa wanaume 52, 700. |
4528 | NUM 26:37 | Hizi ndizo koo za uzao wa Efraimu, idadi yao ilikuwa wanaume 32, 500. Huu ndio uzao wa Yusufu, uliohesabiwa toka kila koo zao. |
4532 | NUM 26:41 | Hizi ndizo koo za uzao wa Benjamini. Idadai yao ilikuwa wanaume 45, 600. |
4534 | NUM 26:43 | Idadi ya koo zote za Washuhamu ilikuwa wanaume 64, 400. |
4538 | NUM 26:47 | Hizi ndizo koo za uzao wa Asheri, idadi yao ilikuwa wanaume 53, 400. |
4541 | NUM 26:50 | Hizi ndizo zilizokuwa koo za uzao wa Naftali, idadi yao walikuwa wanaume 45, 000. |
4542 | NUM 26:51 | Hii ndiyo iliyokuwa jumla kuu ya wanaume wa Israeli: 601, 730. |
4702 | NUM 31:36 | Ile hesabu ya nusu iliyokuwa imetunzwa kwa ajili ya wanajeshi ilikuwa kondoo 337, 000. Ile sehemu ya |
4703 | NUM 31:37 | BWANA ya kondoo ilikuwa kondoo 675. |
4718 | NUM 31:52 | Vitu vyote vya sadaka ya dhahabu ambavyo walimpa BWANA- sadaka toka kwa makamanda wa maelfu na kutoka kwa makepteni wa mamia - vilikuwa na uzito wa shekeli 16, 750. |
6507 | JOS 24:29 | Baada ya mambo haya, Yoshua mwana wa Nuni, mtumishi wa Yahweh, alikufa akiwa na miaka 110. |
6555 | JDG 2:8 | Yoshua mwana wa Nuni, mtumishi wa Bwana, alikufa akiwa na umri wa miaka 110. |
7091 | JDG 20:35 | Bwana akamshinda Benyamini mbele ya Israeli. Siku hiyo, askari wa Israeli waliwauawa watu wa Benyamini 25, 100. Wote hawa waliokufa walikuwa wale waliokuwa wamejifunza kupigana na upanga. |
8704 | 2SA 24:9 | Ndipo Yoabu alipotoa taarifa ya hesabu kamili kwa mfalme kuhusu watu wawezao kupigana vita. Katika Israeli kulikuwa na watu 800, 000 jasiri wawezao kutoa upanga, na wale wa Yuda walikuwa watu 500, 000. |
8901 | 1KI 6:2 | Hekalu ambalo mfalme Sulemani alimjengea BWANA lilikuwa na urefu wa mita 27, na upana wa mita 9, na kimo cha mita 13. 5. |
8902 | 1KI 6:3 | Na ukumbi uliokuwa mbele ya hekalu ulikuwa na urefu wa mita 9 na upana wa mita 4. 5 sawa na upana wa sehemu kuu ya hekalu. |
8905 | 1KI 6:6 | Kile chumba cha chini kilikuwa na upana wa mita 2. 3, kile cha kati kilikuwa na upana wa mita 2. 8. na kile cha tatu kilikuwa na upana wa mita 3. 2. upande wa nje akaupunguza ukuta wa nyumba pande zote, ili boriti zisishikamane ukutani mwa nyumba. |
8909 | 1KI 6:10 | Akajenga vyumba vya pembeni mwa hekalu, kila upande mita 2. 3 kwenda juu. Navyo vikaunganishwa na hekalu kwa mbao za mierezi. |
8916 | 1KI 6:17 | Ule ukumbu mkuu, ulikuwa mahali pakatifu amabao ulikuwa mbele ya patakatifu sana, ulikuwa wa mita 18. hapo kulikwa na mbao za mwerezi ndani ya hekalu, zilizokuwa zimechongwa kwa sura ya vibuyu na maua yaliyochanua. |
8919 | 1KI 6:20 | Kile chumba cha ndani kilikuwa na upana wa mita 9, na kimo cha mita 9. Sulemani alizifunika kuta kwa dhabahu na madhabahu aliifunika kwa mbao za mierezi. |
8922 | 1KI 6:23 | Sulemani akatengeneza makerubi mawili kwa mbao za mizeituni, kila moja lilikuwa na kimo cha mita 4. 5 kwa ajili ya chumba cha ndani. |
8923 | 1KI 6:24 | Bawa moja la kerubi wa kwanza lilikuwa na urefu wa mita 2. 3. Kwa hiyo kutoka ncha ya bawa moja hadi ncha ya bawa lingine kulikuwa na umbali wa mita 4. 5. Yule |
8924 | 1KI 6:25 | kerubi mwingine naye alikuwa na bawa lenye kipimo cha mita 4. 5 Makerubi hawa walikuwa wanafanana kwa umbo na kwa vipimo. |
8925 | 1KI 6:26 | Kimo cha kerubi mmoja kilikuwa mita 4. 5 na yule wa pili alikuwa hivyo hivyo. |
8939 | 1KI 7:2 | Aliijenga ikulu iliyoitwa mwitu wa Lebanoni. Urefu wake ulikuwa mita 46, na upanawake ulikuwa mita 23, na kimo chake kilikuwa mita 14. Nayo ilikuwa na safu nne ya nguzo za mierezi na mithili ya mwerezi juu ya nguzo. |
8943 | 1KI 7:6 | Akatengeneza baraza lenye uerfu wa mita 23 na upana wa mita 14. Mbele yake kulikuwa na ukumbi ulioezekwa. |
8947 | 1KI 7:10 | Msingi ulijengwa kwa mawe makubwa sana na ya thamani yenye urefu wa mita 3. 7 na mengine mita 4. 8. |
8952 | 1KI 7:15 | Huramu alizilemba zile nguzo mbili za shaba, kila moja ilikuwa na kimo cha mita 8. 3 na mzingo wa mita 5. 5. |
8953 | 1KI 7:16 | Akatengeneza taji mbili za shaba za kuwekwa juu ya zile nguzo. Kimo cha kila taji ilikuwa mita 2. 3. |
8956 | 1KI 7:19 | Zile taji kwenye vile vichwa vya nguzo za ukumbi zilikuwa zimepambwa kwa maua, yenye vimo vya mita 1. 8. |
8960 | 1KI 7:23 | Tena akafanya bahari ya kusubu ya, yenye mita 2. 3 kutoka ukingo hadi ukingo, kimo chake kilikuwa mita 4. 6, mziingo wake ulikuwa mita 13. 7. |
8964 | 1KI 7:27 | Huramu akatengeneza makalio kumi ya shaba. Kila kalio lilkuwa na urefu wa mita 1. 8, upana wa mita 1. 8, na kimo cha mita 1. 3. |
8975 | 1KI 7:38 | Huramu akatengeneza birika kumi za shaba. Birika moja liliweza kubeba bathi arobaini za maji. Kila birika lilikuwa mita 1. 8 toka birika moja hadi jingine na kulikuwa na birika moja katika kila kalio kati ya yale kumi. |
9051 | 1KI 8:63 | Sulemani akatoa sadaka ya amani, ambayo aliifanya kwa BWANA: Nayo ilikuwa makisai elfu ishirini na mbili, na kondoo 120, 000. Kwa hiyo mfalme na watu wa Israeli wakaiweka wakfu nyumba ya BWANA. |
9082 | 1KI 9:28 | Walikwenda kwa Ofri pamoja na watumishi wa Sulemani. Kutoka huko walileta takribani tani 14. 5 za dhahabu kwa Sulemani. |
9366 | 1KI 18:22 | Kisha Eliya akawaambia wale watu, “Mimi, pekee yangu, ndiye niliyebaki kuwa nabii wa BWANA, lakini manabii wa Baali wako 450. |
9426 | 1KI 20:15 | Ndipo Ahabu alipowataarifu wale vijna wanaowatumikia maliwali wa wilaya. Idadi yao ilikuwa 232. Baada yao aliwahesabu wanajeshi wote, jeshi lote la Israeli; idadi yao ilikuwa elfu saba. |
9584 | 2KI 3:4 | Basi Mesha mfalme wa Moabu alifuga kondoo. Alikuwa akimpatia mfalme wa Israeli kondoo 100, 000 na manyoya ya kondoo dume 100, 000. |
10100 | 2KI 19:35 | Ikawa kuhusu usiku huo ambao malaika wa Yahwe alitoka na kuvamia kambi ya Waashuru, akawaua maaskari185, 000. Kisha watu wakaamka asubuhi na mapema, miili ya watu waliokuwa wamekufa ilikuwa imelala kila mahali. |
10453 | 1CH 5:21 | Walikamata wanya wao, pamoja na ngamia elfu hamsini, kondoo 250, 000, punda elfu mbili, na wanaume 100, 000. |
10541 | 1CH 7:2 | Wana wa Tola walikuwa Uzi, Refaia, Yerie, Yamai, Ibisami, Shemueli. Walikua vichwa katika nyumba za baba yao, toka uzao wa Tola na waliorodheshwa kama mashujaa hodari miongoni mwa kizazi chao. Katika siku za Daudi walikua na idadi ya 22, 600. |
10619 | 1CH 8:40 | Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini. |
10625 | 1CH 9:6 | Kati ya uzao wa Zera alikuwa Yeuli. Uzao wao ulikuwa na namba 690. |
10632 | 1CH 9:13 | Ndugu zao, ambao walikuwa viongozi katika koo za mababu zao, idadi ya 1, 760. Walikuwa ni wanaume wenye uwezo sana wa kufanya kazi katika nyumba ya Mungu. |
10641 | 1CH 9:22 | Hawa wote walichaguliwa kana walinzi wa mageti ya kuingilia kwa idadi ya 212. Majina yao yaliandikwa kwenye kumbukumbu za watu katika vijiji vyao. Mtabiri aliwaweka Daudi na Samueli katika nafasi ya uaminifu. |
10751 | 1CH 12:27 | Kutoka kwa Walawi kulikuwa na wanaume wa mapambano 4, 600. |
10752 | 1CH 12:28 | Yehoiada alikuwa kiongozi wa uzao wa Aruni, na kwa yeye walikuwa 3, 700. |
10801 | 1CH 15:5 | Kutoka uzao wa Kohathi, palikuwa na Urieli kiongozi na ndugu zake, wanaume 120. |
10802 | 1CH 15:6 | Kutoka uzao wa Merari, palikuwa na Asaia kiongozi na ndugu zake, wanaume 220. |
10803 | 1CH 15:7 | Kutoka uzao wa Gerishomu, palikuwa na Yoeli kiongozi na ndugu zake, wanaume 130. |
10804 | 1CH 15:8 | Kutoka uzao wa Elizafani, palikuwa na Shemaia kiongozi na ndugu zake, wanaume 200. |
10806 | 1CH 15:10 | Kutoka uzao wa Uzieli, palikuwa na Aminadabu kiongozi na ndugu zake, wanaume 112. |
10944 | 1CH 21:5 | Yoabu akatoa taarifa ya idadi ya jumla ya wanaume wa mapambano kwa Daudi. Kulikuwa ndani ya Israeli wanaume 1, 100, 000 walio beba upanga. Yuda peke yake kulikuwa na wanajeshi 470, 000. |
11058 | 1CH 25:7 | Wao na kaka zao walikuwa na uwelewa na walifundishwa kutengeneza muziki kwa Yahweh walikuwa na idadi ya 288. |
11176 | 1CH 29:7 | Walitoa kwa ajili ya huduma ya nyumba ya Mungu talanta elfu tano na darkoni elfu kumi za dhahabu, talanta elfu kumi za fedha, talanta elfu nane za fedha, na talanta za chuma 100, 000. |
11216 | 2CH 1:17 | Waliagiza gari kutoka Misiri kwa shekeli mia sita za fedha, na farasi mmoja kwa shekeli 150. Pia walinunua kutoka kwa wafalme wa Wahiti na wafalme wa Washamu. |
11233 | 2CH 2:16 | Selemani akawahesabu watu wageni waliokuwa katika nchi ya Israeli, kwa kutumia njia ya Daudi, baba yake, aliyoitumia kuwahesabu. Walikutwa wako 153, 600. |