Wildebeest analysis examples for:   swh-swhulb   .    February 11, 2023 at 19:39    Script wb_pprint_html.py   by Ulf Hermjakob

7316  1SA 4:17  Yule mtu aliyeleta hizo habari alijibu na kusema, “Israeli wamewakimbia Wafilisti. Pia watu wengi wameuwawa. Watoto wako, Hofni na Finehasi, wamekufa, na sanduku la Mungu limechukuliwa.” .
7499  1SA 13:12  nikasema, 'Sasa Wafilisti watashuka dhidi yangu huko Gilgali, na sijaomba kibali cha BWANA.' Kwa hiyo nikajilazimisha mwenyewe kutoa sadaka ya kuteketezwa.” .
23620  MAT 13:12  Lakini yeyote aliyenacho, kwake yeye ataongezewa zaidi, na atapata faida kubwa. Ilasiye nacho hata kile alichonacho atanyang'anywa. .
23626  MAT 13:18  . Sasa sikilizeni mfano wa mpanzi.
30094  HEB 4:13  . Hakuna kilichoumbwa kilichojificha katika uso wa Mungu. Badala yake, kila kitu ni dhahiri na wazi kwa macho ya mmoja ambaye ni lazima tutoe hesabu.