Wildebeest analysis examples for:   swh-swhulb   “Word;    February 11, 2023 at 19:39    Script wb_pprint_html.py   by Ulf Hermjakob

4979  DEU 3:2  Yahwe aliniambia mimi, “Usimuogope; kwa kuwa nimekupa ushindi dhidi yake na nimewaweka watu wake wote na nchi yake chini ya utawala wako. Utamfanya kama ulivyomfanya Sihoni, mfalme wa Amorites, aliyeishi Heshbon.
6005  JOS 8:1  Yahweh akamwambia Yoshua, “Usiogope; usivunjike moyo. Chukua pamoja nawe watu wa vita. Pandeni kwenda Ai. Tazama nimemtia mkononi mwako mfalme wa Ai, watu wake, mji wake na nchi yake.
7283  1SA 3:5  Samweli alimwedea Eli na kusema, “Niko hapa, sababu uliniita.” Eli akasema, “Sikukuita; kalale tena.” Hivyo Samweli akarudi na kulala.
7405  1SA 9:12  Nao wakawajibu, na kusema, “Yupo; tazameni, yuko mbele yenu. Harakisheni, kwa maana anakuja mjini leo, sababu leo watu wanatoa dhabihu zao mahali pa juu.
7917  1SA 26:9  Daudi akamwambia Abishai, “Usimwangamize; kwa maana nani awezaye kunyoosha mkono wake dhidi ya mtiwa mafuta wa BWANA na asiwe na hatia?”
14859  PSA 60:8  Mungu ameongea katika utakatifu wake, “Nitashangilia; nitaigawanya Shekemu na kuligawa bonde la Sukothi.
15817  PSA 108:8  Mungu ameongea katika utakatifu wake; “Nitashangilia; nitaigawanya Shekemu na nitalipima bonde la Sukothi.
21425  EZK 35:12  Hivyo utajua kwamba mimi ni Yahwe. Nimeyasikia matukano yako yote uliyasema dhidi ya milima ya Israeli, uliposema, “Wameharibiwa; wametolewa kwetu tuwale.
25022  LUK 1:60  Lakini mama yake akajibu na kusema, “Hapana; ataitwa Yohana.”
25136  LUK 4:4  Yesu akamjibu, “Imeandikwa; 'mtu hataishi kwa mkate pekee.”
27354  ACT 10:26  Lakini Petro akamwinua na kusema “Simama; mimi mwenyewe pia ni mwanadamu.”