Wildebeest analysis examples for:   swh-swhulb   Word;”    February 11, 2023 at 19:39    Script wb_pprint_html.py   by Ulf Hermjakob

14091  PSA 13:5  Usimuache adui yangu aseme, “Nimemshinda huyu,” ili kwamba asiweze kusema, “Nimemtawala adui yangu;” la sivyo, maadui zangu watafurahia nitakapo shushwa chini.
23189  MAL 2:17  Mmechosha Bwana na maneno. Lakini mwasema, “Tumekuchoshaje?” Kwa kusema Kila mmoja aliyefanya uovu ni mzuri kwa upande wa Bwana, na anafuraha nao;” au “Yuko wapi Mungu wa Haki?”