Wildebeest analysis examples for:   swh-swhulb   Word?!”    February 11, 2023 at 19:39    Script wb_pprint_html.py   by Ulf Hermjakob

8307  2SA 12:18  Ikawa siku ya saba mtoto akafa. Watumishi wa Daudi wakaogopa kumwambia kwamba mtoto amekufa, kwa maana walisema, “Tazama, wakati mtoto alipokuwa hai tuliongea naye, lakini hakuisikiliza sauti yetu. Atakuwaje ikiwa tutamwambia kwamba kijana amekufa?!”